S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,615
- 32,716
Nyota wa Nigeria kwenye mtandao aliyehuduria harusi pamoja na wapenzi wake sita wenye ujauzito akosolewa na umma Gazeti la Daily Mail la Uingereza limesema, nyota wa Nigeria kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram anayejulikana kama " Pretty Mike " amehudhuria sherehe moja ya harusi akiambatana na wapenzi wake sita wenye ujauzito , huku akisema yeye ndio mhusika na ujauzito wa wanawake hao wote . Nyota huyo mwenye mashabiki laki 3 kwenye Instagram pia amewabusu wapenzi wake na kupapasa matumbo yao . Kitendo hicho kimezusha hasira ya umma na kukosolewa na watumiaji wengi wa mitandao ya kijamii.
Hii aione warumi 😊
Hii aione warumi 😊