Nyota wa filamu Angelina Jolie azuru Kenya

Aa wapii water access in Dar right now is comparable to none in EA's capital cities.

According to whom?

And water is the biggest culprit in the spread of this and the othe diseases as well. Water supply, or lack of is not the problem.
 
Miongon mwa mshabiki wa movie zake mkubwa ni mie.

Tazama SALT utaipenda japo movie zake zote ni kali sana. Pamoja na hali yake ya kiafya kuwa si nziri sana,lakin bado anajituma.

KARIBU SANA ANJELINA JOLIE.
 
jiulize kwanza Angelina Jolie ni Envoy wa nini kwanza... halafu kisha jiulize June 20th ni siku kuu gani. Kisha niambie if it has to do with Kenyan women
Ina maana hata kusoma hiyo habari iliyoanzishwa na Mkenya mwenzio umeshindwa. Kwa hiyo unabisha hakuja kwa ajili ya kampeni kupinga violence towards women?
 
jol10.jpg
jol5.jpg
jol7.jpg
 
Huko wanazuru kwa shughuli za kujitolea wakati Tanzania wanakuja kula maraha. Jionee tofauti
Aaah!!

Guess who made more money?

Angelina Jolie came in a 300 capacity UN chattered Jet

Booked a whole Hotel for a week.
Ate and Travelled in 4 cities
Booked Cars for Transport

Hehe Beckham alikuja na watu wangapi TZ?
 
Aaah!!

Guess who made more money?

Angelina Jolie came in a 300 capacity UN chattered Jet

Booked a whole Hotel for a week.
Ate and Travelled in 4 cities
Booked Cars for Transport

Hehe Beckham alikuja na watu wangapi TZ?
Leta evidence the whole hotel was booked for her! Beckham n her family in total 5 slept at a 5000$/day private lodge n came with a private jet n used private chatter. Still stayed for a week. We talk of +50,000$
 
A reason mnapata tourism revenues around $700 mln while ours is over $2.3 bln. Yet we receive same number of tourists, u just can't compare what u offer in comparison to us. And truth to be told by the time Magu winds up his Presidency Air Tanzania will be flyinf to Europe n Asia n Kenya will not be getting even a penny from landing fees of around those 300000 tourists that come to Tanzania via Nairobi.
 
They are both correct, there is nowhere in the dictionary that says an actor is of male gender.
 
_96558195_angelinajolie.jpg

Angelina Jolie azuru Kenya ili kuzungumzia kuhusu dhuluma za kingono wakati wa vita

Nyota wa filamu nchini Marekani Anjelina Jolie yuko mjini Nairobi nchini Kenya ambapo anatarajiwa kuzungumza kuhusu dhuluma za kingono katika vita.

Anatarajiwa kuhutubia kongamano liloandaliwa na jeshi la Uingereza la kukabiliana na dhuluma za kingono wakati wa vita.




bbc swahili
Wewe labda hujui maana ya kuzuru! Mtu anakuja kufanya kazi wewe unasema amekuja kuzuru?
 
Aisee hongera sana jolie na karibu kenya hakuna matata...hapa utapiga unge'nge wako mwanzo hadi mwisho, hadi kule vijijini huku ukieleweka fresh kabisa. Ungedhubutu kule uswahilini dah hali sio hali..ni jambo zuri maana sisi na nyinyi wamerekani ni wamoja..
Umesema nyie na marekani ni wamoja? Mbona sijaona wanawaletea hata mahindi kuwanusuru na njaa!? Umoja wenu ni upi labda
 
Back
Top Bottom