Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,498
- 9,279
Angelina Jolie azuru Kenya ili kuzungumzia kuhusu dhuluma za kingono wakati wa vita
Nyota wa filamu nchini Marekani Anjelina Jolie yuko mjini Nairobi nchini Kenya ambapo anatarajiwa kuzungumza kuhusu dhuluma za kingono katika vita.
Anatarajiwa kuhutubia kongamano liloandaliwa na jeshi la Uingereza la kukabiliana na dhuluma za kingono wakati wa vita.
bbc swahili