cha1509
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 258
- 402
Stalin baada ya kifo chake alirithiwa na Nikita Khrushchev. Siku mmoja akiwa anahutubia Kamati Kuu huku akipinga sera nyingi ya mtangulizi wake, Mjumbe mmoja bila ya kujitambulisha alikereka na akamundikia ki note cha kumshutumu na kumlaumu, "We Nikita ulikua msaidizi wa Stalin, kwanini hukusema haya kipindi hicho Stalin akiwa hai?"
Khrushchev akakisoma na akaomba Mjumbe aliyeandika anyooshe mkono juu amtambue ili amjibu. Hakukuwa mkono ulionyooshwa. Khrushchev akasema: "kinachokushinda wewe kunyoosha mkono leo, ndo hicho hicho kilichonishinda mimi kusema enzi hizo"
Khrushchev akakisoma na akaomba Mjumbe aliyeandika anyooshe mkono juu amtambue ili amjibu. Hakukuwa mkono ulionyooshwa. Khrushchev akasema: "kinachokushinda wewe kunyoosha mkono leo, ndo hicho hicho kilichonishinda mimi kusema enzi hizo"