Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,024
- 1,960
Walevi chini msumbuji wakipata cha mtema kuni baada ya kunywa kilevi cha pombe ya kienyeji ilichaganywa na nyongo ya mamba.
serikali nchini msumbiji imetaganza siku ya tatu za maombolezo nchi zima baada ya watu 50 kupoteza maisha kwa kilevi hicho, na watu wengine wamelazwa hospitiali ya taifa.
maafisa wamesema kuwa kilevi hicho cha kienyeji kilichotegenzwa kwa mtama na mahindi kilikuwa kumewekewa mchanganyiko wa nyongo ya mamba
sampuli za damu zawaathirika na pombe hiyo zimechukuliwa na maabara kuu ya nchi hiyo kwa uchunguzi zaidi wa kitaalamu.
hata hivyo mwanamke aliyetegeneza pombe hiyo pamoja na wezake ni moja kati za watu 50 waliofariki.
source;bbcnews
serikali nchini msumbiji imetaganza siku ya tatu za maombolezo nchi zima baada ya watu 50 kupoteza maisha kwa kilevi hicho, na watu wengine wamelazwa hospitiali ya taifa.
maafisa wamesema kuwa kilevi hicho cha kienyeji kilichotegenzwa kwa mtama na mahindi kilikuwa kumewekewa mchanganyiko wa nyongo ya mamba
sampuli za damu zawaathirika na pombe hiyo zimechukuliwa na maabara kuu ya nchi hiyo kwa uchunguzi zaidi wa kitaalamu.
hata hivyo mwanamke aliyetegeneza pombe hiyo pamoja na wezake ni moja kati za watu 50 waliofariki.
source;bbcnews