Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Hii Nyongo inategemea ntu na ntu, kuna wanaoitoa kwa kutapika wengine kwa kuharisha na wengine huwa hawapati kwabisa.
Hivi hii nyongo kisababishi chake ni nini haswa? kwasabu utasikia mlevi anasema sipendi kinywaji fulani kwasababu kina nyongo sana.
Pia kuna ile hali ya kutetemeka Mikono kwa baadhi ya watu kama wakifululiza kunywa hii inasababishwa na nini?
Hivi hii nyongo kisababishi chake ni nini haswa? kwasabu utasikia mlevi anasema sipendi kinywaji fulani kwasababu kina nyongo sana.
Pia kuna ile hali ya kutetemeka Mikono kwa baadhi ya watu kama wakifululiza kunywa hii inasababishwa na nini?