Duh! Wanamuelewa kweli? Hapa nimeamini kua hiki chama hakina mvuto hata hii thready watu wanaangalia tu nakupita baada yakuona hiyo uniform ya black and blue!
Najisikia aibu utadhani ndie mimi niliyekuwa nahutubia hapo. Kweli Nape ana roho (gamba) ngumu.
hahahahahaha mbavu zangu jamani sijacheka kuanzia asubuhi lakini sasa imenibidi nicheke :biggrin1:
au ilikuwa siku maalumu kwa watoto?
tehe tehe teheWalianza na shindano la kiduku....
Laela ni mji uliopo kati ya Tunduma na Sumbawanga... Vijana wengi ni JOBLESS... cha kushangaza hawakuwepo... pole sana Nape...