Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ba-Mushka,
Mbona kupaa kwa kwaanzia juu na kutua chini? Mi nilitegemea kuona wakipaa kuanzia chini na kwenda juu.
Nyoka wanaoweza kupaa angani wanafanyiwa utafiti kujua wanapaa kwa nguvu ipi.
Source: CNN 24/Nov/2010
Wasisahau kuunganisha pia wale wenzetu wanaopaa kwa ungo hapa kwetu, hua wanapata wapi petroli??????????
wasisahau kuunganisha pia wale wenzetu wanaopaa kwa ungo hapa kwetu, hua wanapata wapi petroli??????????
green mamba wanapaa sijui kuhusu boomslang
Nyoka wanaoweza kupaa angani wanafanyiwa utafiti kujua wanapaa kwa nguvu ipi.
Source: CNN 24/Nov/2010
Nyoka wa aina hii si wageni, walikuwapo tangu zamani. Hata nakumbuka bibi yetu alikuwa akitusimulia hadithi fulani za nyoka hao ambao walikuwa wakidhuru watu kwa kuwang'ata kichwani. Na watu wakagundua njia ya kuwatega kwa kujitwisha kichwani uji wa moto ambao akijitumbukiza tu basi ndiyo mwisho wake.
Mkuu,
huyu nyoka anaitwa KOBOKO au Black Mamba. Huyu anatabia ya kusimamia almost Mkia na kuanza kwenda kwa speed kali sana. Akikuwa mara nyingi huwa anaenda mbali sana na watu. Tatizo ni pale anapokwenda na kujenga makazi yake karibu na njia za porini kutoka kijiji kimoja kuja kijiji kingine.
Hapa kwetu ilishawahi kutokea hivyo. Nyoka aliweka makazi kwenye njia pori kutoka kitongoji cha kijiji chetu kwenda Sikonge wilayani. Kulikuwa kuna barabara ila inabidi uzunguke na hivyo watu walikuwa wakipita hiyo njia. Huyu nyoka alikuwa na tabaia ya kukaa juu ya mti na mtu akipita chini, anachukulia kama umekuja kumchokoza kwenye makazi yake. Anakushukia na kukutwanga akiwa juu. Ila si kuwa anaruka, laa hasha, yeye anakuwa bado kashikilia tawi kwenye mkia na kichwa kinaning'inia chini.
Dawa yake kweli ilikuwa hiyo. Mama mmoja jasiri alichukua Chungu na ndani kuna vitu kama Pumba na takataka nyingine zinazotunza moto wa hiyo liquid. Anabandika chungu kichwani na kujipitisha chini ya mti. Nyoka akishuka kugonga, kwishieni.
Mkuu,
huyu nyoka anaitwa KOBOKO au Black Mamba. Huyu anatabia ya kusimamia almost Mkia na kuanza kwenda kwa speed kali sana. Akikuwa mara nyingi huwa anaenda mbali sana na watu. Tatizo ni pale anapokwenda na kujenga makazi yake karibu na njia za porini kutoka kijiji kimoja kuja kijiji kingine.
Hapa kwetu ilishawahi kutokea hivyo. Nyoka aliweka makazi kwenye njia pori kutoka kitongoji cha kijiji chetu kwenda Sikonge wilayani. Kulikuwa kuna barabara ila inabidi uzunguke na hivyo watu walikuwa wakipita hiyo njia. Huyu nyoka alikuwa na tabaia ya kukaa juu ya mti na mtu akipita chini, anachukulia kama umekuja kumchokoza kwenye makazi yake. Anakushukia na kukutwanga akiwa juu. Ila si kuwa anaruka, laa hasha, yeye anakuwa bado kashikilia tawi kwenye mkia na kichwa kinaning'inia chini.
Dawa yake kweli ilikuwa hiyo. Mama mmoja jasiri alichukua Chungu na ndani kuna vitu kama Pumba na takataka nyingine zinazotunza moto wa hiyo liquid. Anabandika chungu kichwani na kujipitisha chini ya mti. Nyoka akishuka kugonga, kwishieni.
Kwenda wap?huyo nyoka ni noma ukigongwa nae huchukui mda unasepa