Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
akiongea kwa mbwembwe andrew chenge alijiita ni nyoka wa makengeza na huwa halazi damu mbele ya fursa za kutoka kama wanavyoita vijana siku hizi.
naomba nimuulize huko kwenye katiba pandikizi hujaweka huko fursa zako?uwe wazi ili tarehe ya kupiga kura tuihukumu kwa haki.
naomba nimuulize huko kwenye katiba pandikizi hujaweka huko fursa zako?uwe wazi ili tarehe ya kupiga kura tuihukumu kwa haki.