Mafuta ya taa, Oil chafu, Diesel, choma mipira vyote hivyo ni sumu kwa nyoka atatoka tu.
Mafuta ya taa, Oil chafu, Diesel, choma mipira vyote hivyo ni sumu kwa nyoka atatoka tu.
nyoka yupi??uwiiiiii
pole naogopa nyoka....
kuweni waangalifu, na solution ni kumsaka huku mkiwa makini
Uwiiii!nyoka,namuogopaje!
Wadau mwenye kujua namna navyoweza kumtoa maana sielewi kaingia lini na kajificha wapi maana nimemwaga mafuta ya taa nyumba nzima pia nikachoma mpira na nimemuona leo asubuhi hata kazini nimeshindwa kwenda kbs watu wote tupo nje mpk ss hv!mwenye kujua ni namna gani naweza kumpata na kumtoa maana cjui kama yupo mwenyewe au kuna wenzake humo plz jamani mawazo yanahitajika ni kimara huku,na tukishindwa kumpata tutashindwa kulala ndani wadau leo!
huyo nyoka anafananaje....kama ulimuona.....ili nikwambie tabia zake...
Mh, kingo za nyuma yako atatoka kweli??Najaribu kufata ushauri kwa kila anaye nipatia nimeagiza oil chafu ss hv niweke kwenye kingo za nyuma yangu!
Ukishindwa kumtoa waite Fire and Rescue waje wamtoe, ndiyo kazi zao hizo. Ulaya wazungu wanaita fire and rescue kisa paka kanasa kwenye mtego iwe wewe ambaye kuna nyoka anayetishia maisha ya familia yako?Kwa hili tatizo linaninyima raha kabisa maana kama asipotoke tutaingiaje ndani!hapa ss hv ndo tunachoma mapira ndani na mlango uko wazi!ila pia tunajaribu kutoa vitu ndani kupata nafasi kama pengine tunaweza kumuona!inachanganya sana hata kazini nimeshindwa kwenda!
icee hiyo ni ofice yangu mimi nafuga nyoka niambie nisehem gani nikuje mchukua tafadhali musimuuwe kwani hiyo ni Ajira sio Hatari kama muionavyo poleni waungwana
Hahah, umkome nyani giladi???Pole mzee sasa ni hv... Kwanza unatema mate ili yeye asikutemee, afu unachukua kanga, kitenge au taulo unaviringisha kama kata ili asiweze kukimbia abaki pale pale alipo! Ndipo umtafte! Ukshndwa N-pm nije nimkome Nyani.