cement
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 581
- 218
Wadau mwenye kujua namna navyoweza kumtoa maana sielewi kaingia lini na kajificha wapi maana nimemwaga mafuta ya taa nyumba nzima pia nikachoma mpira na nimemuona leo asubuhi hata kazini nimeshindwa kwenda kabisa, watu wote tupo nje mpaka sasa hivi! Mwenye kujua ni namna gani naweza kumpata na kumtoa maana sijui kama yupo mwenyewe au kuna wenzake humo plz jamani mawazo yanahitajika ni Kimara hukuna tukishindwa kumpata tutashindwa kulala ndani wadau leo!
UPDATES
Katika hatua za kumtafuta nyoka hayawi hayawi mwisho wake kapatikana aisee ni mkubwa sana alikuwa kajificha nyuma ya friji upande unaotoka joto, imenishangaza sana lakini pamoja na kumpata bado tunaendelea kupanga mambo hapa ilikuweka mambo vizuri isije ikatokea akapatikana wakati mwingine!
Nawashukuru sana kwa msaada wenu mafuta ya taa yamesaidia sana na kuchoma mapira ndani thanks sana kwa msaada wenu
UPDATES
Katika hatua za kumtafuta nyoka hayawi hayawi mwisho wake kapatikana aisee ni mkubwa sana alikuwa kajificha nyuma ya friji upande unaotoka joto, imenishangaza sana lakini pamoja na kumpata bado tunaendelea kupanga mambo hapa ilikuweka mambo vizuri isije ikatokea akapatikana wakati mwingine!
Nawashukuru sana kwa msaada wenu mafuta ya taa yamesaidia sana na kuchoma mapira ndani thanks sana kwa msaada wenu