abdulqadirj
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,018
- 3,204
Habari zenu wakuu leo katika pitapita zangu huko nkakutana na hii picha ya huyu jamaa inasemekana kamuua huyo nyoka anyeitwa koboko au Black mamba.
Kilichonishangaza ni maoni ya watu kua huyo nyoka ni hatari sana na wadau walikua wanadai huyo nyoka hawezi kuuliwa na mtu mmoja himself, wengine wanadai huyo nyoka ni zaidi ya simba na nasikia wanapatikana kwa wingi huko Tabora, Kigoma , kwa wafipa huko na sehemu nyingine zinazopakana na hizo.
So ndugu zangu kwa mwenye
NAWASILISHA.
Kilichonishangaza ni maoni ya watu kua huyo nyoka ni hatari sana na wadau walikua wanadai huyo nyoka hawezi kuuliwa na mtu mmoja himself, wengine wanadai huyo nyoka ni zaidi ya simba na nasikia wanapatikana kwa wingi huko Tabora, Kigoma , kwa wafipa huko na sehemu nyingine zinazopakana na hizo.
So ndugu zangu kwa mwenye
- Info zozote juu ya huyo mwamba
- Mwenye ushuhuda juu ya huyo kiumbe tunaomba tupeane uzoefu.
- Pia tusisahau na precautions za kuchukua endapo utakutana nae au kama utapata effects zozote kwake.
NAWASILISHA.