Loy MX
JF-Expert Member
- Mar 26, 2012
- 1,253
- 312
Hii nimeitoa sehem flani...
Jamaa
Katika pilika zake za hapa na pale akiwa stend kuna
dada kadondosha simu
akaiona akamuita daah dada
alivyomsonya dah mtu mzima
akaaibika akaikota ile simu na kuondoka nayo
baadaye
akampigia akamwambia yeye ni
mwenye simu jamaa akamuambia na
mimi ndiyo yule uliyemsonya
stendi yule sister akamwomba msamaha
akamwomba amuelekeze mahali alipo
ili amrudishie simu.......sijajua jamaa alichukua hatua gani.
Jamaa
Katika pilika zake za hapa na pale akiwa stend kuna
dada kadondosha simu
akaiona akamuita daah dada
alivyomsonya dah mtu mzima
akaaibika akaikota ile simu na kuondoka nayo
baadaye
akampigia akamwambia yeye ni
mwenye simu jamaa akamuambia na
mimi ndiyo yule uliyemsonya
stendi yule sister akamwomba msamaha
akamwomba amuelekeze mahali alipo
ili amrudishie simu.......sijajua jamaa alichukua hatua gani.