"Nyinyi life failures sitaki kuwaona hapa" dah nikikumbuka

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Jul 5, 2018
6,191
13,614
Mzuqa wanaJF!

Her ya mwaka mpya tumeuona.

Huyu jamaa nakumbuka alikuaga na nyodo sana. Kwake kwa nje ya fens kulikuwa nakamti flan kanaleta kivuli. Basi masela kitaa tukaweka mawe na bench tunacheza draft na story.

Siku moja akaja huku kashika shoka kwa jazba akatufukuza nakutuambia nyinyi life failures ondokeni hapa sitaki kuwaona eneo langu nakuukata ule mti kwa fujo bila sabab na hupo nje ya fens yake.

Akitembea alikuwa akipandisha mabega nakutanua mikono sehemu za makwapa kifuani zikitanuka utadhan king kobra.

Alishamtukana msela flani huna hela wewe huna elimu.

Alikuwa akimyanyasa sana mdogo wake wa kiume kwa kumfungia nje. Dogo alikuwa anapenda sana kucheza mpira hakosi mazoez.

Kuna ndugu zake walimtembelea usiku akawafukuza akiwa ndani ya geti akiwafokea mbona hawakumtaarifu kabla hawajaja? "Laleni nje mnilinde na kesho mtangulie wenyewe kituoni polis.

Mdogo wake alikuwa anatusimulia vioja alivyokuwa anavyovifanya na mke wake. Kabla hawajaondoka kwenda kazini wanapanga vitu kama CD style flan wakirudi wakute zimegeuzwa wanaulizwa kwa nini?

Sasa jana nimesogezewa umbea na wanoko jamaa sasa hivi hali mbaya anapumulia mashine ni kati ya wale wenye vyeti feki Jiwe aliwaondoa.

Dah life!
 
Dahh!! Dharau hazifai kabisa mkuu pole kwa matusi aliyo kupa nimejifunza kitu hapa
Mzuqa wanaJF!

Her ya mwaka mpya tumeuona.

Huyu jamaa nakumbuka alikuaga na nyodo sana. Kwake kwa nje ya fens kulikuwa nakamti flan kanaleta kivuli. Basi masela kitaa tukaweka mawe na bench tunacheza draft na story.

Siku moja akaja huku kashika shoka kwa jazba akatufukuza nakutuambia nyinyi life failures ondokeni hapa sitaki kuwaona eneo langu nakuukata ule mti kwa fujo bila sabab na hupo nje ya fens yake.

Akitembea alikuwa akipandisha mabega nakutanua mikono sehemu za makwapa kifuani zikitanuka utadhan king kobra.

Alishamtukana msela flani huna hela wewe huna elimu.

Alikuwa akimyanyasa sana mdogo wake wa kiume kwa kumfungia nje. Dogo alikuwa anapenda sana kucheza mpira hakosi mazoez.

Kuna ndugu zake walimtembelea usiku akawafukuza akiwa ndani ya geti akiwafokea mbona hawakumtaarifu kabla hawajaja? "Laleni nje mnilinde na kesho mtangulie wenyewe kituoni polis.

Mdogo wake alikuwa anatusimulia vioja alivyokuwa anavyovifanya na mke wake. Kabla hawajaondoka kwenda kazini wanapanga vitu kama CD style flan wakirudi wakute zimegeuzwa wanaulizwa kwa nini?

Sasa jana nimesogezewa umbea na wanoko jamaa sasa hivi hali mbaya anapumulia mashine ni kati ya wale wenye vyeti feki Jiwe aliwaondoa.

Dah life!
 
Mzuqa wanaJF!

Her ya mwaka mpya tumeuona.

Huyu jamaa nakumbuka alikuaga na nyodo sana. Kwake kwa nje ya fens kulikuwa nakamti flan kanaleta kivuli. Basi masela kitaa tukaweka mawe na bench tunacheza draft na story.

Siku moja akaja huku kashika shoka kwa jazba akatufukuza nakutuambia nyinyi life failures ondokeni hapa sitaki kuwaona eneo langu nakuukata ule mti kwa fujo bila sabab na hupo nje ya fens yake.

Akitembea alikuwa akipandisha mabega nakutanua mikono sehemu za makwapa kifuani zikitanuka utadhan king kobra.

Alishamtukana msela flani huna hela wewe huna elimu.

Alikuwa akimyanyasa sana mdogo wake wa kiume kwa kumfungia nje. Dogo alikuwa anapenda sana kucheza mpira hakosi mazoez.

Kuna ndugu zake walimtembelea usiku akawafukuza akiwa ndani ya geti akiwafokea mbona hawakumtaarifu kabla hawajaja? "Laleni nje mnilinde na kesho mtangulie wenyewe kituoni polis.

Mdogo wake alikuwa anatusimulia vioja alivyokuwa anavyovifanya na mke wake. Kabla hawajaondoka kwenda kazini wanapanga vitu kama CD style flan wakirudi wakute zimegeuzwa wanaulizwa kwa nini?

Sasa jana nimesogezewa umbea na wanoko jamaa sasa hivi hali mbaya anapumulia mashine ni kati ya wale wenye vyeti feki Jiwe aliwaondoa.

Dah life!
Mimi niliambiwa" Nina uwezo wa kufundisha (masomo) familia yenu yote". Jamaa ni kweli alituzidi elimu..but not anymore...not any more at all.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mchawi tu, kukaa kumuombea alie juu ashuke ili uchekelee, pambana na wewe uende juu
 
Wewe ni mchawi tu, kukaa kumuombea alie juu ashuke ili uchekelee, pambana na wewe uende juu
Sijafurahi ila nimeleta uzi tujifunze. Tunajisahau sana tukiwa welloff. What goes around comes around. Karma is a bitch. Nikumuomba Mungu tu kwasababu life is not guarantee
 
Huo umbea kuwa kafulia umekuhuzunisha au umefurahi?
Sijafurahi ila nimeleta uzi tujifunze. Tunajisahau sana tukiwa welloff. What goes around comes around. Karma is a bitch. Nikumuomba Mungu tu kwasababu life is not guarantee
 
Back
Top Bottom