Nyingine ya RICHIMONDULI

Sanda Matuta

JF-Expert Member
May 9, 2007
949
134
Naye Lowasa akawaambia mawaziri wengine, KESHENI mkiomba kwani hamjui siku wala saa atakayokuja Dr.Mwakyembe. Nami naenda mtaani kuwaandalia kijiwe ili nitakapokuwa nanyi muwepo.

Amini nawaambia, muonapo tume zaundwa basi mtambue muda wa mavuno ya MAFISADI umekaribia.

Kisha akarudi tena Ikulu kuomba Rais asimfilisi. Lakini RICHMOND akatokea na jeshi la Mwakyembe na kusema,
Nitakayembusu huyo ndie....!

Naye Lowasa akawaambia mawaziri wengine, KESHENI mkiomba kwani hamjui siku wala saa atakayokuja Dr.Mwakyembe. Nami naenda mtaani kuwaandalia kijiwe ili nitakapokuwa nanyi muwepo.

Amini nawaambia, muonapo tume zaundwa basi mtambue muda wa mavuno ya MAFISADI umekaribia.

Kisha akarudi tena Ikulu kuomba Rais asimfilisi. Lakini RICHMOND akatokea na jeshi la Mwakyembe na kusema,
Nitakayembusu huyo ndie....!


Naye Lowasa akawaambia mawaziri wengine, KESHENI mkiomba kwani hamjui siku wala saa atakayokuja Dr.Mwakyembe. Nami naenda mtaani kuwaandalia kijiwe ili nitakapokuwa nanyi muwepo.

Amini nawaambia, muonapo tume zaundwa basi mtambue muda wa mavuno ya MAFISADI umekaribia.

Kisha akarudi tena Ikulu kuomba Rais asimfilisi. Lakini RICHMOND akatokea na jeshi la Mwakyembe na kusema,
Nitakayembusu huyo ndie....!



Naye Lowasa akawaambia mawaziri wengine, KESHENI mkiomba kwani hamjui siku wala saa atakayokuja Dr.Mwakyembe. Nami naenda mtaani kuwaandalia kijiwe ili nitakapokuwa nanyi muwepo.

Amini nawaambia, muonapo tume zaundwa basi mtambue muda wa mavuno ya MAFISADI umekaribia.

Kisha akarudi tena Ikulu kuomba Rais asimfilisi. Lakini RICHMOND akatokea na jeshi la Mwakyembe na kusema,
Nitakayembusu huyo ndie....!
 
Sanda Matuta, what are trying to say? Kweli huu UDAKU!!!!! Isingekuwa udaku ningeendeleza thread, lakini sasa, mmmmhhhh endeleeni, mimi simo!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom