kinondoniilala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 988
- 762
Wanabodi...!
Msimamo wa umoja wa wamiliki wa vyombo vya habari nchini Tanzania, kwa kauli moja wapo mbioni kutoa tamko juu ya kutopiga nyimbo za Jaguar katika vyombo vyao vya radio na television ikiwa pamoja na kutokuchapisha habari zake ikiwa hatoomba radhi ndani ya siku ya 3 kuanzia kesho tarehe 26 Juni 2019.
Nawasilisha
Msimamo wa umoja wa wamiliki wa vyombo vya habari nchini Tanzania, kwa kauli moja wapo mbioni kutoa tamko juu ya kutopiga nyimbo za Jaguar katika vyombo vyao vya radio na television ikiwa pamoja na kutokuchapisha habari zake ikiwa hatoomba radhi ndani ya siku ya 3 kuanzia kesho tarehe 26 Juni 2019.
Nawasilisha