Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 6,925
- 7,935
5. Umbo namba 8- Daz Baba ft. Fid Q
6. Mikasi- Mchizi Mox ft. Ngwair&Mkoloni
Namba 5 nakupinga. Audio kali na video kali, kwa kipindi kile ni sahihi kabisa kushoot video kwa quality ile.
5. Umbo namba 8- Daz Baba ft. Fid Q
6. Mikasi- Mchizi Mox ft. Ngwair&Mkoloni
Mkuu uko vizuriMaua sama - Sisikii
Marlaw - Sorry Sana ( Jamaa hajatoa video hadi leo 😭)
Ommy Dimpoz - Me and you (Video mbovu dunia nzima, OGOPA videos wamekula hela ya jamaa 😭)
Isaack - Acha waseme we ndo wangu girlfriend (Audio kali video 0 😭)
Tundaman ft mat mo - mapenzi na dhiki (video hakuna hadi leo 😭)
Inshu si quality ya video. Inshu ni uhalisia wa video kuendana na audio. Video vixen aliecheza mule hana wala hafanani na hilo figure 8 linalosifiwa muleNamba 5 nakupinga. Audio kali na video kali, kwa kipindi kile ni sahihi kabisa kushoot video kwa quality ile.
sawa ni kweli ..Inshu si quality ya video. Inshu ni uhalisia wa video kuendana na audio. Video vixen aliecheza mule hana wala hafanani na hilo figure 8 linalosifiwa mule
Ile inaitwa mshkaji mmojaHiyo namba 4 haikupaswa kukosa video. Pia jamaa ana wimbo mwingine kuhusu ukimwi nao hakutoa video. Sijui anakwama wapi huyu bwana, Joslin.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee yusuph-vip
Hii ilivujaLala salama by Diamond
Sijawahi ionaHii ilivuja
Ngosha video nying anazinguaga jamaa... sijui kwannpropaganda ya fid q
Huo wimbo" Lala Salama" ulivuja haukua officially released.Sijawahi iona
ilikuwa zamani sikuhizi naona amejilekebishaNgosha video nying anazinguaga jamaa... sijui kwann
Itakuwa amesoma hii threadilikuwa zamani sikuhizi naona amejilekebisha
Okey.. ila ngoma kaliHuo wimbo" Lala Salama" ulivuja haukua officially released.