Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,538
- 3,826
Mangwea - Ghetto Langu
KwaniniIngekua enzi izi ya Youtube isingekua miziki hio
Kweli belle9 alitulia sana humo..sijui alifeli wapWanitaka ya Belle 9 ilikua ngoma kali lakini video haikutolewa.
BBM ya Ngwair na Diamond bonge la ngoma video hola.
Una maanisha moyo wangu ile ya wema auJux ft Ruby_wambela
Diamond plutnumz –my heart
labda aliogopa majini(maana hawapendi show off) hahahaMpenzi Jini '- Z Anto
Ferouz na kundi lake ndio wavivu wa kwanza kwenye huu uziZawadi -Keisha
Nililala naouta- Q chilla na Jaydee
Njoo-chege
Nikipata wangu, Kylin na jay moe
Mvua na Jua
Jirushe- ferooz
Ile ilikua remix ya coke studio na Casper nyovest sidhani kama anayo ruhusa ya kufanya uwe mziki wake mpaka kuutolea videoUna maanisha moyo wangu ile ya wema au
Muhenga nakuonamtaa wa saba-mbaraka mwishehe
Video ilitoka ila ilikuwa mbaya.kuna ule wimbo wa niki wa pili ft johmakin,jux,vanessa,aika &nahreah na g nako unaitwa safari audio kali ila video mpaka korona itaisha yenyewe haijatoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha pale alikuwa bado hajiwezi..ukute ile video walishoot na camera za h8Sumu ya Penzi by BELLE 9
Dogo alizingua sana. Video ilisubiriwa kwa hamu kweli. Yeye kaleta vituko.Sumu ya Penzi by BELLE 9
Akiomba radhi kwa kutokuwa seriaz.Hahaha pale alikuwa bado hajiwezi..ukute ile video walishoot na camera za h8