Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Mimi nashindwa kuelewa nyimbo nyingine wanapiga club. Jana nacheza mziki mara unakuja wimbo wa Enrique Iglesias - Tonight im f*** u. Ghafla mademu wanajirusha kwa nguvu kweli. Nikajua labda leo tunapewa za bure...kumbe wanacheza wimbo tu na ukiisha hao nyumbani wenyewe!! Nadhani nyimbo kama hizo zikipigwa inabidi zifanyiwe kweli...
http://www.youtube.com/watch?v=S6Gtw3izTs0
lakini huu wimbo ni mkali hasa ukiwekewa beat la house lazima ucheze...!
nawakilisha....
http://www.youtube.com/watch?v=S6Gtw3izTs0
lakini huu wimbo ni mkali hasa ukiwekewa beat la house lazima ucheze...!
nawakilisha....