kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,636
- 7,005
Nakumbuka mwanzo wa muziki wa bongofleva watu wazima walichukizwa na mtindo huo na kuziona nyimbo hizo kama za kihuni.
Ni baada tu ya jitihada kubwa za baadhi ya wasanii maarufu kama akina Sugu, Prof J, lady JD na wengine waliofanya muziki huu uanze kubalika hata kwa watu wazima kutokana na kuimba mambo yasiyo na ukakasi hasa wimbo huo unapopigwa eneo la umma ama nyumbani wakiwepo watoto na watu wazima.
Sasa jitihada hizo naona zinabomolewa kwa kasi na hawa Clouds ambao siwaelewi kabisa. Leo natamani Clouds kwa sababu ya kuendeleza upumbavu huu hata iungue moto na kutoweka kabisa.Nyimbo zinadhalilisha utu wa mtu kwao ndio zinapewa kipaumbele.
Nyimbo kama mwanaume machine, zinamdhalilisha hadi mmiliki wa Clouds mwenyewe Kusaga ambaye iliwahi kusemwa na mwanadada mmoja maarufu mitandaoni kuwa "umbile lake linaweza kujadilika likamdhalilisha.
Nadhani umefika wakati wa kuwang'oa hawa wafanyakazi wa Clouds wasio na akili hata kuhisi tu baadhi ya nyimbo zinawadhalilisha hadi wazazi wao.
Kusaga amka na kama una ndugu zako wapo hapo Clouds hawajielewi kwani wanaendeleza udhalilishaji dhidi yako mwenyewe na watu wengi kwa ujumla.
Ni baada tu ya jitihada kubwa za baadhi ya wasanii maarufu kama akina Sugu, Prof J, lady JD na wengine waliofanya muziki huu uanze kubalika hata kwa watu wazima kutokana na kuimba mambo yasiyo na ukakasi hasa wimbo huo unapopigwa eneo la umma ama nyumbani wakiwepo watoto na watu wazima.
Sasa jitihada hizo naona zinabomolewa kwa kasi na hawa Clouds ambao siwaelewi kabisa. Leo natamani Clouds kwa sababu ya kuendeleza upumbavu huu hata iungue moto na kutoweka kabisa.Nyimbo zinadhalilisha utu wa mtu kwao ndio zinapewa kipaumbele.
Nyimbo kama mwanaume machine, zinamdhalilisha hadi mmiliki wa Clouds mwenyewe Kusaga ambaye iliwahi kusemwa na mwanadada mmoja maarufu mitandaoni kuwa "umbile lake linaweza kujadilika likamdhalilisha.
Nadhani umefika wakati wa kuwang'oa hawa wafanyakazi wa Clouds wasio na akili hata kuhisi tu baadhi ya nyimbo zinawadhalilisha hadi wazazi wao.
Kusaga amka na kama una ndugu zako wapo hapo Clouds hawajielewi kwani wanaendeleza udhalilishaji dhidi yako mwenyewe na watu wengi kwa ujumla.