Sopa de pollo
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 461
- 417
Say something by Christina & agullera
Ameimba Nani mkuu hyo nyimbo? Am just curious to know this song, help!"If you come back" nafikiri hii itakuliza tena
Hii ndo yenyewe haswaaMbele kwa mbele-Capt Komba
BASI NENDA-MO MUSICNi nyimbo za aina gani nzuri kujiliwaza unapokua upo mpweke na mwenye maumivu ya kuachwa .... Wakuu
Hahahaahhahahaahahahahaha ila MMU jamani lol! Sina mbavu hapaMbele kwa mbele-Capt Komba
Wanawake wazur wazur wameolewa wamebaki manungayembe wanatembeza. Nimemsahau mtunzi
Hahahahahaha jaman