Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,666
- 19,674
Kuna kajamaa kanatuma sms mfururizo za kujifanya kanamjari mke wangu huku kanavutia kanambutia kwake mara vipi umelala mama? pole na uchovu,mara mbona leo sijakuona nimekumiss? aisee a lot of fu....kin shit nimegundua kwenye simu ya huyu mama mtawala wangu coz siku nyingi mno sijawahi shika simu yake leo nimeona mapicha ya ajabu natamani niamue kitu ila naona kama nitakurupuka vile so nikaona bora niwashirikishe ndugu zangu kipi cha busara kuamua kwenye haka katatizo.
NB:Mwenzangu hajajua chochote kama nimepitia kwenye inbox yake.
NB:Mwenzangu hajajua chochote kama nimepitia kwenye inbox yake.