Nyie wenye ndoa, mliwezaje kufanya maamuzi mpaka mkaingia ndani ya ndoa?

Mtu kama Diamond Platnumz akipata mwanamke anaefanana nae tabia. Itakuaje hapo? Baba ana watoto 4 kwa mama tofauti, Mama nae ana watoto 4 kwa baba tofauti. Baba leo ana scandle ya kutoka na fulani, Mama nae kesho anajibu mapigo.


Sidhani kama namba zitasoma.
Ndio maana walipatana na Zari, Hamisa maana kila.mtu alikua na skendo zake na watoto wengine huko, ila bado anahitaji typical tandale girl ambae ni tit for tat, yaani dai akimwaga mboga tandale girl nae anamwaga ugali
 
Ndio maana walipatana na Zari, Hamisa maana kila.mtu alikua na skendo zake na watoto wengine huko, ila bado anahitaji typical tandale girl ambae ni tit for tat, yaani dai akimwaga mboga tandale girl nae anamwaga ugali
Atakufa, na kama asipokufa basi atatembea mtaani kavaa boxer kichwani. Yaani ampate Mwajuma Ndala Mbili au Husna Kitamu Kioze kila kigodoro cha mjini lazima kipate kibali toka kwao kwanza kabla ya tukio zima. Salaaale!!!

Wema tu alimliza kama mtoto mdogo. Anyways, Diamond alifeli sana kwa zari, yule mwanamke ndio aliomfungua akili kimaisha, kama angekua nae mpaka sasa basi daimond angekua mbali sana sana.
 
Atakufa, na kama asipokufa basi atatembea mtaani kavaa boxer kichwani. Yaani ampate Mwajuma Ndala Mbili au Husna Kitamu Kioze kila kigodoro cha mjini lazima kipate kibali toka kwao kwanza kabla ya tukio zima. Salaaale!!!

Wema tu alimliza kama mtoto mdogo. Anyways, Diamond alifeli sana kwa zari, yule mwanamke ndio aliomfungua akili kimaisha, kama angekua nae mpaka sasa basi daimond angekua mbali sana sana.
Yeah hata mimi niliipenda sana couple yao, and Zari is smart na alikua anajielewa sema it didn't work
 
Wanajamvi salama?

SAMAHANI KWA HILI ANDIKO REFU KIDOGO.

Naomba mliooa mnipe darasa kidogo. Nina Miaka 31 na nyumbani kelele nyingii ni utaoa lini? Mimi ni yatima na nimelelewa na ndugu@extended family. Tatizo lilianza pale ndugu wa kiume niliokuwa nao wotee wameoa. Na rafiki zangu wotee (wale close friends) wameoa.

Sasa bana ndugu zangu wotee kwasasa ni "NA WEWE UTAOA LINI?" Yaani ni kama movement wameianzisha kunishinikiza nioe. Sababu zinazonifanya nisite kuoa. Kwanza kabisa Mimi ni mwajiriwa wa Serikali.

1. ELIMU
Nilipanga kuoa nikimaliza bachelor (nilianza Kazi nikiwa na diploma) nilivyomaliza bachelor, nikapata fursa kusoma Masters nayo nikamaliza. Sasa hivi naona Masters haitoshi Nahitaji PhD.

Huwa nawaza vile naoa halafu namwacha mke wangu TZ mi napanda ndege kwenda kusoma PhD, sasa naoa ili niache mke alone?

2. KAZI
Niliajiriwa nikiwa very low level civil servant. Nilikua na mshahara hata Mimi haunibariki, nikawaza ""Kama huu mshahara Mimi tu haunitoshi je huyo mke atalishwa na nini, na je akileta mtoto duniani atalelewa na mshahara gani?""

Nilivyomaliza tu masters nikakaimishwa idara (kaimu mkuu wa idara).

Nilihoji utumishi Dodoma kuwa mkuu wa Idara kamili. Nilijibiwa Mimi bado mdogo kazini (period of work vs Cheo), nivumilie soon nitakua senior, hivyo nivumilie muda ukifika nitakua mkuu wa Idara kamili.

Kazini nao kila siku "We boss oa bana" Ila wasichokijua Nina mawazo tofauti, hii ofisi/Cheo nilikipata April/2020 ila kwasasa nishakichoka. Nakiona kidogo nahitaji something big. Kwasasa niko nafanya lobbying na connections ili nipate post kubwaa ofisi nyengine huko.

Pia tokea April nisha aply sanaa UN, AU, SADC na kwengine huko (Inter. Org) ili nikafanye Kazi, naiona ofisi yangu ndogo sanaa kwangu. Ila Hawa inter. Org hawajawahi kuniita hata interview jamani😭😭

Sasa nawaza, ""Kwasasa akili yangu iko race na finding green pasture, huyo mke akija sasa asipo kuwa sambasamba na ndoto zangu itakuaje?""

3. INVESTMENTS
Nina uwekezaji naufanya wa project za kilimo. Nimepanda maembe, Parachichi na miti ya mbao. Na lengo langu ni kuwa na Eka 1000 za uwekezaji. Uwekezaji wangu bado ni mdogo kiumri ila ni wa eka nyingi, haujaanza kutoa return, hapa sasa ndio tatizo linaanza.

Kwakuwa mashamba yangu yotee bado yanahitaji huduma, then asilimia kubwa ya mshahara wangu unaenda Shambani. Naweza kupeleka hela yotee shambani mi nikabaki na mpaka na 50,000/= ndio inilee mwezi. Na hii ndio sababu imenifanya nipotezee marafiki, maana hawanioni Tena bar Wala starehe yoyote. Yaani nimekua bahili hasaaa, nimepiga chini pombe, kuchoma nyama na vituu vingii vya kuwa pamoja na marafiki.

Mimi ni kazini >>> nyumbani >>> shambani.

Sasa najiuliza ""Mimi na mashamba yangu mshahara haututoshi, huyu mke atalelewa na pesa gani?"" Vile anasema "baby nataka hela ya kusuka" huku kibarua nae shambani "bosi nataka hela Kazi" Hapa nani atapewa na nani atanyimwa?

4. MTOTO
Nina mtoto ila mimi na mama ake hatukufanikiwa kufika mbali, baada ya kudumu miaka mi3. Nilikuja kumfumania akigongana na mchungaji wa Kanisa langu KKKT baada ya Mimi kurudi kutoka safari ghafla. Aisee niliumia balaa yaani kitandani kwangu na mchungaji wangu. Niliwaambia tu ""mkimaliza muondoke""

Nilirudi nje nikasepa, nilivyorudi sikuwakuta, ilikuwa 2018. Yule mwanamke aliomba msamaha sanaaa, nikamwambia "ili nikusamehe katoe USHUHUDA kanisani juu ya mchungaji" alishindwa ndio ikawa mwisho wetu.

Na yule mchungaji alihamaga usharika wa huku. Tena Kuna siku niliiona post FB ana hubiri kuhusu vijana tuoe, nilimshangaa yule mbwaaa. Nikionaga vile watu Wana comment video zake za mahubiri wakimtukuzaa dah huwa nachoka sanaa na hawa wachungaji.

Then mtoto nipo nae sanaa, mama ake yupo DSM anapambana na maisha, mwaka jana nilitumiwa sms na mdogo ake "shemeji" kuwa mama mtoto/dada ake kaamua kubadili dini na kuolewa na shekhe.

Nilimwambie tu amwambie ""maisha mema"" Hii ndio ikiwa chatting ya mwisho na ukoo wa mama wa mwanangu. Sina mawasiliano nao yoyotee tokea 2018. Nampenda sanaa mwanangu. Sasa nawaza ""Mwanamke gani atakuja kwangu tuishi na yeye ampende mtoto asiye wake?""

5. MIFANO
i. Nina watu wengi wa karibu, yale waliyopanga hayakufanikiwa baada ya kuoa.

ii. Nina rafiki zangu tuliajiriwa wote tukapanga kurudi Shule, ila tokea waoe MIPANGO IMEKUFA. Nilirudi Shule pekee yangu wao hawakurudi.

Yaani marafiki zangu wengi sanaa wameacha mipango yao mingi kuitekeleza baada ya kuoa. Kipindi kile kabla hawajaoa nikiwa nao bar, dah walikuwa na plan nyingi ila walivyooa tu SIONI UTEKELEZAJI.

Hili LINANIOGOPESHA.

iii. Watu wengii wanaonizunguka naona tu wanalalamika na ndoa zao tuu.

iv. Wake za watu kazini na nilivyokuwa chuo niliona wanagongwa sanaa.

Yaani kifupi, wanawake wengi ninao wajua na niliowahi kuwa nao karibu ambao wanaishi mbali na waume zao kwasababu yoyote wanagongana na vijana wasio na ndoa na wenye ndoa wenzao.

Sasa nyie mlioa, MLIWEZAJE KUJITOSA KWENYE NDOA NA MIPANGO YENU IKADUMU. VIJANA TUENDELEE KUZALISHA SECONDARY SOURCES OF INCOME.

Mbinu za UTAJIRI ni UBAHILI.

#YNWA

Ngoja nisemezane na mkufunzi kuhusu hii mada, akinipa majibu ntayaweka hapa.
 
Unahitaji mwanamke ambae mnaendana kifikra, kimawazo, kimtazamo na most of all, you share your dreams together, mbali na hapo itakua ni ngumu kutimiza ndoto zako

Usiogope kuoa, Mwombe Mungu akupatie mwanamke wa kufanana na wewe.
bahati mbaya saaana hawapo hao wa hivyo
 
According to economics...
In nature every human is mean, we always struggle to attain our satisfaction by maximizing our utility.

Ndio maana Dewji pamoja na utajiri wake wotee alionao aliona haitoshi akawekeza SIMBA FC.

Hakuna ulimbukeni wowote, sasa Dangote ni Tajiri wa Africa kwanini kawekeza Mtwara Tena?
Hela anazitafuta za nini?

#YNWA
Hilo swali na mimi linaniumiza kichwa. Wanadamu haturidhiki na mleta mada hakuna siku utakaa useme sasa nina pesa ninaweza kuoa. Kila siku ni investment investment and go on and go on until death find us on the way.
 
Hilo swali na mimi linaniumiza kichwa. Wanadamu haturidhiki na mleta mada hakuna siku utakaa useme sasa nina pesa ninaweza kuoa. Kila siku ni investment investment and go on and go on until death find us on the way.
Let's keep struggling..
That's NATURE.

#YNWA
 
There's no perfect woman, rotteness has exceded nowadays, labda niseme tu huwezi pata mwanamke timilifu wanadamu tuna mapungufu na kaa ukijua dunia ya sasa uadilifu umepungua.

Mwaka 2018 ulifanya kosa kutosamehe mwanamke wako yaani unatoa msamaha mbele ya kanisa (impress others) kwanza utajidharaulisha. Zipo duty hukumpa mke wako au ulikosea kumuamini mch. yaani hawa wanawake wetu tuna wapeleka kwa mapadri na wachungaji itatucost.

Mke wako hata agongwe vipi solve hilo tatizo sio kufukuza nowadays wanalika karibu wote tu. Vile watu hawajui tu wake za watu amna kitu ila waume zao wamechangia wawe hivo.

All in all kupata new wife ni wewe bidii zako.
 
There's no perfect woman, rotteness has exceded nowadays, labda niseme tu huwezi pata mwanamke timilifu wanadamu tuna mapungufu na kaa ukijua dunia ya sasa uadilifu umepungua.

Mwaka 2018 ulifanya kosa kutosamehe mwanamke wako yaani unatoa msamaha mbele ya kanisa (impress others) kwanza utajidharaulisha. Zipo duty hukumpa mke wako au ulikosea kumuamini mch. yaani hawa wanawake wetu tuna wapeleka kwa mapadri na wachungaji itatucost.

Mke wako hata agongwe vipi solve hilo tatizo sio kufukuza nowadays wanalika karibu wote tu. Vile watu hawajui tu wake za watu amna kitu ila waume zao wamechangia wawe hivo.

All in all kupata new wife ni wewe bidii zako.
Si kumwamini mchungaji ila tu niliwakuta chumbani from no were..!!

Kengine Siwezi ishi na mwanamke nikijua kabisa eti kaliwa na fulani...
HAPANA AISEE..

#YNWA
 
UKITAKA KUISHI MAISHA MAREFU YA AMANI NA BARAKA HAPA DUNIANI KAMWE USIOE...
Kama shida ni watoto za tuu na mwanamke yeyote. Kuoa ni upuuzi...
95% ya ndoa unazoziona ni vurugu kero kerere presha mateso n.k
#NIMEOA_NINA_UZOEFU
 
Wanajamvi salama?

SAMAHANI KWA HILI ANDIKO REFU KIDOGO.

Naomba mliooa mnipe darasa kidogo. Nina Miaka 31 na nyumbani kelele nyingii ni utaoa lini? Mimi ni yatima na nimelelewa na ndugu@extended family. Tatizo lilianza pale ndugu wa kiume niliokuwa nao wotee wameoa. Na rafiki zangu wotee (wale close friends) wameoa.

Sasa bana ndugu zangu wotee kwasasa ni "NA WEWE UTAOA LINI?" Yaani ni kama movement wameianzisha kunishinikiza nioe. Sababu zinazonifanya nisite kuoa. Kwanza kabisa Mimi ni mwajiriwa wa Serikali.

1. ELIMU
Nilipanga kuoa nikimaliza bachelor (nilianza Kazi nikiwa na diploma) nilivyomaliza bachelor, nikapata fursa kusoma Masters nayo nikamaliza. Sasa hivi naona Masters haitoshi Nahitaji PhD.

Huwa nawaza vile naoa halafu namwacha mke wangu TZ mi napanda ndege kwenda kusoma PhD, sasa naoa ili niache mke alone?

2. KAZI
Niliajiriwa nikiwa very low level civil servant. Nilikua na mshahara hata Mimi haunibariki, nikawaza ""Kama huu mshahara Mimi tu haunitoshi je huyo mke atalishwa na nini, na je akileta mtoto duniani atalelewa na mshahara gani?""

Nilivyomaliza tu masters nikakaimishwa idara (kaimu mkuu wa idara).

Nilihoji utumishi Dodoma kuwa mkuu wa Idara kamili. Nilijibiwa Mimi bado mdogo kazini (period of work vs Cheo), nivumilie soon nitakua senior, hivyo nivumilie muda ukifika nitakua mkuu wa Idara kamili.

Kazini nao kila siku "We boss oa bana" Ila wasichokijua Nina mawazo tofauti, hii ofisi/Cheo nilikipata April/2020 ila kwasasa nishakichoka. Nakiona kidogo nahitaji something big. Kwasasa niko nafanya lobbying na connections ili nipate post kubwaa ofisi nyengine huko.

Pia tokea April nisha aply sanaa UN, AU, SADC na kwengine huko (Inter. Org) ili nikafanye Kazi, naiona ofisi yangu ndogo sanaa kwangu. Ila Hawa inter. Org hawajawahi kuniita hata interview jamani😭😭

Sasa nawaza, ""Kwasasa akili yangu iko race na finding green pasture, huyo mke akija sasa asipo kuwa sambasamba na ndoto zangu itakuaje?""

3. INVESTMENTS
Nina uwekezaji naufanya wa project za kilimo. Nimepanda maembe, Parachichi na miti ya mbao. Na lengo langu ni kuwa na Eka 1000 za uwekezaji. Uwekezaji wangu bado ni mdogo kiumri ila ni wa eka nyingi, haujaanza kutoa return, hapa sasa ndio tatizo linaanza.

Kwakuwa mashamba yangu yotee bado yanahitaji huduma, then asilimia kubwa ya mshahara wangu unaenda Shambani. Naweza kupeleka hela yotee shambani mi nikabaki na mpaka na 50,000/= ndio inilee mwezi. Na hii ndio sababu imenifanya nipotezee marafiki, maana hawanioni Tena bar Wala starehe yoyote. Yaani nimekua bahili hasaaa, nimepiga chini pombe, kuchoma nyama na vituu vingii vya kuwa pamoja na marafiki.

Mimi ni kazini >>> nyumbani >>> shambani.

Sasa najiuliza ""Mimi na mashamba yangu mshahara haututoshi, huyu mke atalelewa na pesa gani?"" Vile anasema "baby nataka hela ya kusuka" huku kibarua nae shambani "bosi nataka hela Kazi" Hapa nani atapewa na nani atanyimwa?

4. MTOTO
Nina mtoto ila mimi na mama ake hatukufanikiwa kufika mbali, baada ya kudumu miaka mi3. Nilikuja kumfumania akigongana na mchungaji wa Kanisa langu KKKT baada ya Mimi kurudi kutoka safari ghafla. Aisee niliumia balaa yaani kitandani kwangu na mchungaji wangu. Niliwaambia tu ""mkimaliza muondoke""

Nilirudi nje nikasepa, nilivyorudi sikuwakuta, ilikuwa 2018. Yule mwanamke aliomba msamaha sanaaa, nikamwambia "ili nikusamehe katoe USHUHUDA kanisani juu ya mchungaji" alishindwa ndio ikawa mwisho wetu.

Na yule mchungaji alihamaga usharika wa huku. Tena Kuna siku niliiona post FB ana hubiri kuhusu vijana tuoe, nilimshangaa yule mbwaaa. Nikionaga vile watu Wana comment video zake za mahubiri wakimtukuzaa dah huwa nachoka sanaa na hawa wachungaji.

Then mtoto nipo nae sanaa, mama ake yupo DSM anapambana na maisha, mwaka jana nilitumiwa sms na mdogo ake "shemeji" kuwa mama mtoto/dada ake kaamua kubadili dini na kuolewa na shekhe.

Nilimwambie tu amwambie ""maisha mema"" Hii ndio ikiwa chatting ya mwisho na ukoo wa mama wa mwanangu. Sina mawasiliano nao yoyotee tokea 2018. Nampenda sanaa mwanangu. Sasa nawaza ""Mwanamke gani atakuja kwangu tuishi na yeye ampende mtoto asiye wake?""

5. MIFANO
i. Nina watu wengi wa karibu, yale waliyopanga hayakufanikiwa baada ya kuoa.

ii. Nina rafiki zangu tuliajiriwa wote tukapanga kurudi Shule, ila tokea waoe MIPANGO IMEKUFA. Nilirudi Shule pekee yangu wao hawakurudi.

Yaani marafiki zangu wengi sanaa wameacha mipango yao mingi kuitekeleza baada ya kuoa. Kipindi kile kabla hawajaoa nikiwa nao bar, dah walikuwa na plan nyingi ila walivyooa tu SIONI UTEKELEZAJI.

Hili LINANIOGOPESHA.

iii. Watu wengii wanaonizunguka naona tu wanalalamika na ndoa zao tuu.

iv. Wake za watu kazini na nilivyokuwa chuo niliona wanagongwa sanaa.

Yaani kifupi, wanawake wengi ninao wajua na niliowahi kuwa nao karibu ambao wanaishi mbali na waume zao kwasababu yoyote wanagongana na vijana wasio na ndoa na wenye ndoa wenzao.

Sasa nyie mlioa, MLIWEZAJE KUJITOSA KWENYE NDOA NA MIPANGO YENU IKADUMU. VIJANA TUENDELEE KUZALISHA SECONDARY SOURCES OF INCOME.

Mbinu za UTAJIRI ni UBAHILI.

#YNWA
Kweli ndoa ni changamoto asikuambie mtu, Ila Pamoja na yote hayo muda ndo mwal. mzuri utaamua saa ikifika bila kuwa na risala ndefu hivi na usiache kuleta tena ushuda hapa
 
Wanajamvi salama?

SAMAHANI KWA HILI ANDIKO REFU KIDOGO.

Naomba mliooa mnipe darasa kidogo. Nina Miaka 31 na nyumbani kelele nyingii ni utaoa lini? Mimi ni yatima na nimelelewa na ndugu@extended family. Tatizo lilianza pale ndugu wa kiume niliokuwa nao wotee wameoa. Na rafiki zangu wotee (wale close friends) wameoa.

Sasa bana ndugu zangu wotee kwasasa ni "NA WEWE UTAOA LINI?" Yaani ni kama movement wameianzisha kunishinikiza nioe. Sababu zinazonifanya nisite kuoa. Kwanza kabisa Mimi ni mwajiriwa wa Serikali.

1. ELIMU
Nilipanga kuoa nikimaliza bachelor (nilianza Kazi nikiwa na diploma) nilivyomaliza bachelor, nikapata fursa kusoma Masters nayo nikamaliza. Sasa hivi naona Masters haitoshi Nahitaji PhD.

Huwa nawaza vile naoa halafu namwacha mke wangu TZ mi napanda ndege kwenda kusoma PhD, sasa naoa ili niache mke alone?

2. KAZI
Niliajiriwa nikiwa very low level civil servant. Nilikua na mshahara hata Mimi haunibariki, nikawaza ""Kama huu mshahara Mimi tu haunitoshi je huyo mke atalishwa na nini, na je akileta mtoto duniani atalelewa na mshahara gani?""

Nilivyomaliza tu masters nikakaimishwa idara (kaimu mkuu wa idara).

Nilihoji utumishi Dodoma kuwa mkuu wa Idara kamili. Nilijibiwa Mimi bado mdogo kazini (period of work vs Cheo), nivumilie soon nitakua senior, hivyo nivumilie muda ukifika nitakua mkuu wa Idara kamili.

Kazini nao kila siku "We boss oa bana" Ila wasichokijua Nina mawazo tofauti, hii ofisi/Cheo nilikipata April/2020 ila kwasasa nishakichoka. Nakiona kidogo nahitaji something big. Kwasasa niko nafanya lobbying na connections ili nipate post kubwaa ofisi nyengine huko.

Pia tokea April nisha aply sanaa UN, AU, SADC na kwengine huko (Inter. Org) ili nikafanye Kazi, naiona ofisi yangu ndogo sanaa kwangu. Ila Hawa inter. Org hawajawahi kuniita hata interview jamani😭😭

Sasa nawaza, ""Kwasasa akili yangu iko race na finding green pasture, huyo mke akija sasa asipo kuwa sambasamba na ndoto zangu itakuaje?""

3. INVESTMENTS
Nina uwekezaji naufanya wa project za kilimo. Nimepanda maembe, Parachichi na miti ya mbao. Na lengo langu ni kuwa na Eka 1000 za uwekezaji. Uwekezaji wangu bado ni mdogo kiumri ila ni wa eka nyingi, haujaanza kutoa return, hapa sasa ndio tatizo linaanza.

Kwakuwa mashamba yangu yotee bado yanahitaji huduma, then asilimia kubwa ya mshahara wangu unaenda Shambani. Naweza kupeleka hela yotee shambani mi nikabaki na mpaka na 50,000/= ndio inilee mwezi. Na hii ndio sababu imenifanya nipotezee marafiki, maana hawanioni Tena bar Wala starehe yoyote. Yaani nimekua bahili hasaaa, nimepiga chini pombe, kuchoma nyama na vituu vingii vya kuwa pamoja na marafiki.

Mimi ni kazini >>> nyumbani >>> shambani.

Sasa najiuliza ""Mimi na mashamba yangu mshahara haututoshi, huyu mke atalelewa na pesa gani?"" Vile anasema "baby nataka hela ya kusuka" huku kibarua nae shambani "bosi nataka hela Kazi" Hapa nani atapewa na nani atanyimwa?

4. MTOTO
Nina mtoto ila mimi na mama ake hatukufanikiwa kufika mbali, baada ya kudumu miaka mi3. Nilikuja kumfumania akigongana na mchungaji wa Kanisa langu KKKT baada ya Mimi kurudi kutoka safari ghafla. Aisee niliumia balaa yaani kitandani kwangu na mchungaji wangu. Niliwaambia tu ""mkimaliza muondoke""

Nilirudi nje nikasepa, nilivyorudi sikuwakuta, ilikuwa 2018. Yule mwanamke aliomba msamaha sanaaa, nikamwambia "ili nikusamehe katoe USHUHUDA kanisani juu ya mchungaji" alishindwa ndio ikawa mwisho wetu.

Na yule mchungaji alihamaga usharika wa huku. Tena Kuna siku niliiona post FB ana hubiri kuhusu vijana tuoe, nilimshangaa yule mbwaaa. Nikionaga vile watu Wana comment video zake za mahubiri wakimtukuzaa dah huwa nachoka sanaa na hawa wachungaji.

Then mtoto nipo nae sanaa, mama ake yupo DSM anapambana na maisha, mwaka jana nilitumiwa sms na mdogo ake "shemeji" kuwa mama mtoto/dada ake kaamua kubadili dini na kuolewa na shekhe.

Nilimwambie tu amwambie ""maisha mema"" Hii ndio ikiwa chatting ya mwisho na ukoo wa mama wa mwanangu. Sina mawasiliano nao yoyotee tokea 2018. Nampenda sanaa mwanangu. Sasa nawaza ""Mwanamke gani atakuja kwangu tuishi na yeye ampende mtoto asiye wake?""

5. MIFANO
i. Nina watu wengi wa karibu, yale waliyopanga hayakufanikiwa baada ya kuoa.

ii. Nina rafiki zangu tuliajiriwa wote tukapanga kurudi Shule, ila tokea waoe MIPANGO IMEKUFA. Nilirudi Shule pekee yangu wao hawakurudi.

Yaani marafiki zangu wengi sanaa wameacha mipango yao mingi kuitekeleza baada ya kuoa. Kipindi kile kabla hawajaoa nikiwa nao bar, dah walikuwa na plan nyingi ila walivyooa tu SIONI UTEKELEZAJI.

Hili LINANIOGOPESHA.

iii. Watu wengii wanaonizunguka naona tu wanalalamika na ndoa zao tuu.

iv. Wake za watu kazini na nilivyokuwa chuo niliona wanagongwa sanaa.

Yaani kifupi, wanawake wengi ninao wajua na niliowahi kuwa nao karibu ambao wanaishi mbali na waume zao kwasababu yoyote wanagongana na vijana wasio na ndoa na wenye ndoa wenzao.

Sasa nyie mlioa, MLIWEZAJE KUJITOSA KWENYE NDOA NA MIPANGO YENU IKADUMU. VIJANA TUENDELEE KUZALISHA SECONDARY SOURCES OF INCOME.

Mbinu za UTAJIRI ni UBAHILI.

#YNWA
usiwasikilize wachungaji uchwara kama huyu

mwamposa.jpg
 
UKITAKA KUISHI MAISHA MAREFU YA AMANI NA BARAKA HAPA DUNIANI KAMWE USIOE...
Kama shida ni watoto za tuu na mwanamke yeyote. Kuoa ni upuuzi...
95% ya ndoa unazoziona ni vurugu kero kerere presha mateso n.k
#NIMEOA_NINA_UZOEFU
Asante kwa USHUHUDA.

#YNWA
 
Mkuu kuoa sio lazima kwa ilo nakutoa ofu na kua na amani kabisa, personally nilishawai kuanzisha familia na nilichokutana nacho kimenifanya nifute ndoto ya kuoa kwenye maisha yangu yote. Ungana na Mimi single father na soon tunaanzisha umoja wa masingle father Tanzania(UMAFATA) Utakua katibu na bila shaka utafanya vema kwenye hiyo nafasi.

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kuoa sio lazima kwa ilo nakutoa ofu na kua na amani kabisa, personally nilishawai kuanzisha familia na nilichokutana nacho kimenifanya nifute ndoto ya kuoa kwenye maisha yangu yote. Ungana na Mimi single father na soon tunaanzisha umoja wa masingle father Tanzania(UMAFATA) Utakua katibu na bila shaka utafanya vema kwenye hiyo nafasi.

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
Duh upo vizuri mwenyekiti mtarajiwa wa UMAFATA

#YNWA
 
Yenye changamoto ni mahusiano, sio ndoa.
we hangaika na ulimwengu uhangaikavyo ila baadae jitahidi utulie na familia. maisha ya ndoa ni mazuri ukimpata mtu sahihi.

picha kama hii ikikaa ukutani ndani ya nyumba, nyumba inapendeza.
20210702_162525.jpg


Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom