Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,001
- 112,647
- Thread starter
- #101
Kuna mtu alisema "kila masika huja na mbu wake!".
Time will tell!!
Sehemu zingine nchini hakuna miradi ya maendeleo inayoendelea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu alisema "kila masika huja na mbu wake!".
Time will tell!!
Umeona enh?! Yaani Chato kumejengwa vitu na kuendelea kujengwa vitu ambavyo hata kwenye mikoa mikubwa hakuna! Tanga, Morogoro, Iringa, Tabora na manispaa zingine kadhaa hazina Bohari la Madawa wala International Airport lakini kijijini Chato vipo, na bado vinaendelea kujengwa, halafu anatokea mtu anajaribu kuhalalisha!Hakunaaa
there is IMPORTANT and there is EMERGENT we should learn to differentiate!.Sehemu zingine nchini hakuna miradi ya maendeleo inayoendelea?
there is IMPORTANT and there is EMERGENT we should learn to differentiate!.
Kweli kabisa tuache ubaguziMijitu ya hivyo siku inajikuta Chato kikazi au kibiashara sijui itaacha kutumia miundo mbinu hiyo,tuache ubaguzi Tanzania ni yetu sote
Kweli kabisa tuache ubaguzi
Nyazifa mhimu takribani zote zimetoka kanda pendwa.
Crazy crapExcuse my French and pardon my vernacular.
Nyie watu hebu acheni u$€#%¥ bana.
Mmezidi sasa. You are doing the most.
Likijengwa tawi la CRDB huko Chato....ni nongwa!
Likijengwa jengo la kawaida kabisa la mahakama huko Chato....ni nongwa!
Vikiwekwa vijitaa viwili vitatu vya kuongozea magari kwenye ki intersection kimoja kwenye barabara huko Chato....ni nongwa!
Chochote sasa hivi kifanyikacho Chato....ni nongwa!
Hebu acheni utoto bana. Kwani huko sehemu zingine hayo mambo hayafanyiki?
Huko kwingine hakuna majengo mapya ya mahakama?
Huko Ludewa hakuna hakuna barabara hata moja ya lami?
Mnavyolialia humu utadhani huko kwingine hakuna lolote linalofanyika!
Kwa mwendo huu hata mtu akifungua kamgahawa kake hapo downtown Chato mtakuja tu humu kulialia.
What a bunch of self righteous snowflakes.
Knock it off already!
Sitetei Chato mimi.
Nakemea tu upumbavu wa kunung’unikia vitu vya kawaida.
Alafu hivi chadema wataenda kuomba kura chato ma kanda ya ziwa kweli? 2020 Magufuli anawabamiza chadema kama kusukuma mlevi
Musiba namba mbiliNawewe umekuwa mwana harakati wa kujitolea wa kutetea chato?
My point is, Chato isn't the only place in Tannzania that needs development. Mtwara, Lindi, Manyara all needs development. Why International Airport in Chato? Only idiots will support the idea
Propaganda lumumba hazikufai ndugu hizo waachie kina SLOW SLOW.Excuse my French and pardon my vernacular.
Nyie watu hebu acheni u$€#%¥ bana.
Mmezidi sasa. You are doing the most.
Likijengwa tawi la CRDB huko Chato....ni nongwa!
Likijengwa jengo la kawaida kabisa la mahakama huko Chato....ni nongwa!
Vikiwekwa vijitaa viwili vitatu vya kuongozea magari kwenye ki intersection kimoja kwenye barabara huko Chato....ni nongwa!
Chochote sasa hivi kifanyikacho Chato....ni nongwa!
Hebu acheni utoto bana. Kwani huko sehemu zingine hayo mambo hayafanyiki?
Huko kwingine hakuna majengo mapya ya mahakama?
Huko Ludewa hakuna hakuna barabara hata moja ya lami?
Mnavyolialia humu utadhani huko kwingine hakuna lolote linalofanyika!
Kwa mwendo huu hata mtu akifungua kamgahawa kake hapo downtown Chato mtakuja tu humu kulialia.
What a bunch of self righteous snowflakes.
Knock it off already!
SaanaTeh teh umeelewa?
Halafu kila siku ukute unaomba na kutamani sana upate bwana mchaga,maana ndio walio "well loaded with reds" na wanaojua kutafuta. Wacha wamebarikiwa na kukuacha mbali sana. Pole sana. Unatamani ungezaliwa na mchaga wewe,sema ndio hivyo tena.Wachaga ni wabinafsi sana