Nyie watu mbadilike 2017

TASMANIA

JF-Expert Member
Jun 7, 2013
656
723
Broh sio kila mdada akikusalimia anakupenda na anakutaka. Maana kuna watu wakisalimiwa tu wanalianzisha.

Na nyinyi wadada sio mkianza kusalimiwa mnakausha. Salamu sio ugonjwa. Wengine husalimia tu kiungwana.
 
Salamu isiyo na sababu iyangalie kwa jicho la tatu! Siyo kila salamu lazima uitikie na siyo lazima usalimie kila mtu! Dunia ya leo siyo ya miaka ile mtu ukiwa na njaa unaenda shamba la jirani unachuma kisamvu unaenda nyumbani kwako kupika na mwenye shamba hakuulizi au unaingia shamba la mtu unavunja miwa unakula ukimaliza unaenda zako. Je hiko haja ya kukusalimia? Hiko haja ya kuitikia salamu yako?
 
Salamu isiyo na sababu iyangalie kwa jicho la tatu! Siyo kila salamu lazima uitikie na siyo lazima usalimie kila mtu! Dunia ya leo siyo ya miaka ile mtu ukiwa na njaa unaenda shamba la jirani unachuma kisamvu unaenda nyumbani kwako kupika na mwenye shamba hakuulizi au unaingia shamba la mtu unavunja miwa unakula ukimaliza unaenda zako. Je hiko haja ya kukusalimia? Hiko haja ya kuitikia salamu yako?
We sema hivo hivo nyie ndio wale mwenzako anakusemesha unajifanya humsikii baadae unaomba akuelekeze kitu.

Mi naona hakuna salamu isiyo sababu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom