Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Kudate na mademu njaa njaa maskini ni taabu sana. Yani wanahisi sie wanaume tuna hela muda wote. Hawatambui hii Corona watu tumepunguza madili ya hela
Wadada nyie michepuko mnaoishi kwa kudanga danga tambueni kwamba hela tulizonazo kwa sasa ni kwa ajili ya kuhudumia familia zetu na si za kuhonga honga ovyo
Watu tunakaa majumbani saa hivi kuepuka Corona lakini nyie kutwa kutuma tuma msg kuomba hela. Binafsi naogopa kwenda kwenye mabanda ya m-pesa kutuma hela ,ila nyie wadada kutwa kuomba omba
Mnakera ,kama huna hela tulia nyumbani vizinga vizinga vya nini unataka hela ya kusukia huoni huko saloon utapata Corona wee chana nywele paka mafuta tulia home.
Acheni vizinga ,uchumi umebana hamuoni tu.
Wadada nyie michepuko mnaoishi kwa kudanga danga tambueni kwamba hela tulizonazo kwa sasa ni kwa ajili ya kuhudumia familia zetu na si za kuhonga honga ovyo
Watu tunakaa majumbani saa hivi kuepuka Corona lakini nyie kutwa kutuma tuma msg kuomba hela. Binafsi naogopa kwenda kwenye mabanda ya m-pesa kutuma hela ,ila nyie wadada kutwa kuomba omba
Mnakera ,kama huna hela tulia nyumbani vizinga vizinga vya nini unataka hela ya kusukia huoni huko saloon utapata Corona wee chana nywele paka mafuta tulia home.
Acheni vizinga ,uchumi umebana hamuoni tu.