Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Hivi nyie tanesco wa mwanza kutoka hicho kituo chenu cha Nyakato mnatutafuta nini sie wananchi wa buswelu,yani Leo mnafanya kazi ya kukata umeme na kuwasha
Yani kama mnachezea switch hivi
Sasa mkiunguza bufa langu walahi mtalipa,tangu Jana Huduma ya umeme huku buswelu imekua ya ovyo sana na sidhani kama mmetoa taarifa chanzo cha tatizo
Mnakera Mnaboa
Yani kama mnachezea switch hivi
Sasa mkiunguza bufa langu walahi mtalipa,tangu Jana Huduma ya umeme huku buswelu imekua ya ovyo sana na sidhani kama mmetoa taarifa chanzo cha tatizo
Mnakera Mnaboa