system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 705
Nimekosa kwenye kamusi yangu....!
Nenda Google utaipata kwa kirefu kwa kifupi Competency-based education ilikuwa na shabaha ya kumwandaa mwanafunzi kwa changamoto za baadae
We nawe....Nenda Google utaipata kwa kirefu kwa kifupi Competency education ilikuwa na shabaha ya kumwandaa mwanafunzi kwa changamoto za baadae
We nawe....Nenda Google utaipata kwa kirefu kwa kifupi Competency education ilikuwa na shabaha ya kumwandaa mwanafunzi kwa changamoto za baadae
Wao wameandika compentency sio competencyNenda Google utaipata kwa kirefu kwa kifupi Competency education ilikuwa na shabaha ya kumwandaa mwanafunzi kwa changamoto za baadae
Hiyo ni yaoWao wameandika compentency sio competency
Imagine huyo ndo yupo kwenye jopo la marking....noma sana bongoWao wameandika compentency sio competency
Hahahaha ndo warekebishe sasa....kwani sie kwenye exams zao tukikosea wanatuelewaje kwaniTyping error,
walimaanisha competency kiazi Wewe
Tulia
HahahahahahaTulia
Tayari tatizo la lugha ya inayolalamikiwa kila leo imejitokoza hadi kwa wanaosimamia mitihani yetu. Na wao wamekumbwa na tatizo la lugha. Tukubaliane tu kwa pamoja kuilazimisha serikali kwamba lugha ya kufundishiaa kuanzia Shule za Msingi iwe Kiigereza. Kiswahili ibaki kama somo tu kati ya masomo yote.Typing error,
walimaanisha competency kiazi Wewe
Very nice comment...Tayari tatizo la lugha ya inayolalamikiwa kila leo imejitokoza hadi kwa wanaosimamia mitihani yetu. Na wao wamekumbwa na tatizo la lugha. Tukubaliane tu kwa pamoja kuilazimisha serikali kwamba lugha ya kufundishiaa kuanzia Shule za Msingi iwe Kiigereza. Kiswahili ibaki kama somo tu kati ya masomo yote.
Uwiiiiiii nchi yangu dah hadi hurumamwalimu unafeli wapi?
Not typing error. Ni incompetence ya wanaosimamia elimu yetu. sasa sijui walisahihishaje somo la English wakati na wao wana matatizo ya lugha hiyo. Tukubali tu Kiingereza ni tatizo la Kitaifa.Typing error,
walimaanisha competency kiazi Wewe
We jamaa nakukubali sana arguments zakoNot typing error. Ni incompetence ya wanaosimamia elimu yetu. sasa sijui walisahihishaje somo la English wakati na wao wana matatizo ya lugha hiyo. Tukubali tu Kiingereza ni tatizo la Kitaifa.
Uwezo kisodaKosa hilo la uchapaji halitabadilisha matokeo ya mwanao,kaa kwa kutulia,kunywa maji...