Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
Hivi ukiacha mkeo huku kijijini ukakuta amesababisha kifo cha mzee wa miaka 60 utafanyaje? Kwa nini msikae na wake zenu huko mjini?
Mzee wa watu anaduka la nyama pale kijijini, mkeo huwa ananunua nusu kilo pale mara 2 kwa wiki. Mzee wa watu anamezea mate binti huyu yaani mkeo ulamwacha huku. Akija tu ooo mwali na hii nakuongezea ukanywe supu. Mara mazoea yanaanza mzee akaanza kumegewa kiaina kule green guest house. Kilichotustua siku moja ni kelele za mzee wa watu anaomba mkeo asiingate. Kuchunguza kumbe mkeo alikuwa amekamata mic anaimba na maic ya mzee wa watu. Kama sio watu kujaa saa hizi mzee wa watu angekuwa marehemu. Jamani chukueni wake zenu huku kijijini wakale koni za bakhresa huko mjini watatuulia wazee wetu!
Mzee wa watu anaduka la nyama pale kijijini, mkeo huwa ananunua nusu kilo pale mara 2 kwa wiki. Mzee wa watu anamezea mate binti huyu yaani mkeo ulamwacha huku. Akija tu ooo mwali na hii nakuongezea ukanywe supu. Mara mazoea yanaanza mzee akaanza kumegewa kiaina kule green guest house. Kilichotustua siku moja ni kelele za mzee wa watu anaomba mkeo asiingate. Kuchunguza kumbe mkeo alikuwa amekamata mic anaimba na maic ya mzee wa watu. Kama sio watu kujaa saa hizi mzee wa watu angekuwa marehemu. Jamani chukueni wake zenu huku kijijini wakale koni za bakhresa huko mjini watatuulia wazee wetu!