Nyie mnaopenda kusema eti mnatulisha, hebu kujeni kidogo


Hii ya mwaka Jana, msikilize vizuri Prof.Boga, katibu wenu mkuu wa KILIMO anavyoeleza umuhimu wa Tanzania katika ukanda huu.

Sijaskia penye amesema kua Kenya inaimport 80% of rice from Tanzania. I'm happy to see you struggling in order to prove your baseless claims.
 
Sijaskia penye amesema kua Kenya inaimport 80% of rice from Tanzania. I'm happy to see you struggling in order to prove your baseless claims.
Kenya depends on Tanzania for food supply, without Tanzanian food life becomes impossible in Kenya, that is the situation
 
Yuko na shamba kubwa Sana la Ngano huko Tz...hapigi simu kwa suluhu zetu Bali ni za kwake.

Si eti tunategemea Tz kwa chakula bali ni kuwa tutanunua kwa hela zetu hivyo basi ni sawa kusema kuwa Wa Tz wanategemea Kenya kwa Mapato.
Nendeni mkanunue mexico mahindi ya 1980 kama kweli mna pesa
Mngekua.na pesa msingwkopa.world bank
 
Tanzania hizo ekari 2k huwa zinamilikiwa na mtu mmoja tena wa kawaida tu, ninyi ni serikali nzima tena msaada wa Israel

Angalia shamba la serikali linaloendeshwa na wananchi pamoja na muwekezaji wakilima ekari zaidi ya 30k za mpunga kumbukeni mchele huko Kenya ni bei mara mbili ya mahindi.

Bado Kenya hamuwezi kutunishiana misuli na Tanzania linapokuja suala la kilimo, mpo nyuma sana na itawachukua muda sana kufika mahali Tanzania ipo

 
Kwanini unapenda kushindana mkuu? Bila kulumbana na waTz nafsi yako haina amani.

Kuhusu kuwalisha hilo liko wazi, hakuna anayepinga ndio mana mpaka sasa mmeshindwa kuwazuia madereva wetu wasiingie nchini mwenu, ukuona moja ya kiongozi wenu alijipendekeza kwetu,eti sisi ni "ndugu zenu"

Chief commwnt yako sio POA mbali na kusema ya kuwa tunawalisha na nini lkn kumbuka pia wakulima wetu pia wanapata kipato kupitia hayo manunuzi ya nafaka kwenda nke ya TZ na ni kweli hizo nchi zina unasaba miongon mwa raia wake
 
Yuko na shamba kubwa Sana la Ngano huko Tz...hapigi simu kwa suluhu zetu Bali ni za kwake.

Si eti tunategemea Tz kwa chakula bali ni kuwa tutanunua kwa hela zetu hivyo basi ni sawa kusema kuwa Wa Tz wanategemea Kenya kwa Mapato.

Nchi zote zina tegemeana chief !! Iv ukiwa na pesa bila chakula ndani how will survive ?
 
Tanzania hizo ekari 2k huwa zinamilikiwa na mtu mmoja tena wa kawaida tu, ninyi ni serikali nzima tena msaada wa Israel

Angalia shamba la serikali linaloendeshwa na wananchi pamoja na muwekezaji wakilima ekari zaidi ya 30k za mpunga kumbukeni mchele huko Kenya ni bei mara mbili ya mahindi.

Bado Kenya hamuwezi kutunishiana misuli na Tanzania linapokuja suala la kilimo, mpo nyuma sana na itawachukua muda sana kufika mahali Tanzania ipo


Tuna Ekari kubwa kubwa Kilimanjaro na Iringa za Ngano and nothing you can do about it 😉
 
Nchi zote zina tegemeana chief !! Iv ukiwa na pesa bila chakula ndani how will survive ?
Ukiringa na chakula chako nanunua Cha mwingine na maisha yanaendelea sio kunitisha ati nakutugemea. Tusitishane Mkuu hata yesu alisema huwezi ishi kwa mkate tu...
 
Nendeni mkanunue mexico mahindi ya 1980 kama kweli mna pesa
Mngekua.na pesa msingwkopa.world bank
Mikopo ni ya hao wakubwa wa serikali Ila Sisi wanainchi wa kawaida tunanunua chakula kwa hela zetu. Sijapata kununua unga au mahindi yenye nembo ya Tz, so nashindwa kuelewa vipi nategemea Mtanzania kwa chakula changu.
 
Tanzania hizo ekari 2k huwa zinamilikiwa na mtu mmoja tena wa kawaida tu, ninyi ni serikali nzima tena msaada wa Israel

Angalia shamba la serikali linaloendeshwa na wananchi pamoja na muwekezaji wakilima ekari zaidi ya 30k za mpunga kumbukeni mchele huko Kenya ni bei mara mbili ya mahindi.

Bado Kenya hamuwezi kutunishiana misuli na Tanzania linapokuja suala la kilimo, mpo nyuma sana na itawachukua muda sana kufika mahali Tanzania ipo


Sasa mnaturingia chakula?
 
Tuna Ekari kubwa kubwa Kilimanjaro na Iringa za Ngano and nothing you can do about it 😉
Tunazidi kuwachagiza mje kwa wingi sababu ardhi bado ni kubwa na tunataka serious investors.

Mkija mnatoa ajira, kodi, mnanunua malighafi Tanzania na kuineemesha Tanzania zaidi na ndio maana Tanzania Hakuna tatizo la ajira kama ilivyo kwenu.
 
Ukiringa na chakula chako nanunua Cha mwingine na maisha yanaendelea sio kunitisha ati nakutugemea. Tusitishane Mkuu hata yesu alisema huwezi ishi kwa mkate tu...
Ila kumbuka pia kuna wanunuaji wa Chakula wengine toka kanda zingine mfano sadec huku chini mataifa kama ya zambia , malawi and so on ss mfano tu wakazi wa esibania upande wa Kenya hauwez uka waambia wasubirie mazao tooaa ethiopia ili hali wapo karibu kabisa na Tz au watu wa lunga lunga
 
Tunazidi kuwachagiza mje kwa wingi sababu ardhi bado ni kubwa na tunataka serious investors

Mkija mnatoa ajira, kodi, mnanunua malighafi Tanzania na kuineemesha Tanzania zaidi na ndio maana Tanzania Hakuna tatizo la ajira kama ilivyo kwenu.
Lakini wazungu wakiwekeza hivi Kenya na kuwapa raia ajira wanaitwa mabeperu hehe.
Tz are hypocrites
 
Back
Top Bottom