GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Kama kuna Kitu ambacho Marais wa Afrika Mashariki wananiudhi na kunikera ni Kitendo cha kama vile wanamlea au wanamdekeza sana Rais wa Burundi Nkuruzinza kwa matendo yake anayofanya kila Siku ambayo yanaharibu pia taswira nzima ya Afrika Mashariki.
Rais Nkuruzinza alianza Kuishutumu nchi ya Rwanda hajakaa sawa tena akaanza Kuwalaumu Wazungu hasa Wabelgiji na Wafaransa kuwa wanaipendelea Rwanda na kuionea Burundi na hivi karibuni tena bila hata ya Aibu amelishutumu Shirika la Kuhudumia Wakimbizi ambao kwa bahati nzuri wengi wanatokea nchini Kwake akisema kwamba Shirika hilo limekuwa likiwapa Silaha na Sare Waasi wa Burundi ili wampindue.
Hivi nyie hamuoni kwamba haya matendo yote ya Rais wa Burundi Nkuruzinza yanaweza hadi Kuziathiri nchi zingine na kusababisha wana Afrika Mashariki wote sasa tuonekane ' Wapuuzi ' kama Waburundi na Rais wao huyo ' Kirusi ' kwa Amani? Kwanini huyu Nkuruzinza hajifunzi kwa nchi jirani yake tu ya Rwanda ambayo kila uchao inapiga hatua za Kimaendeleo na haina ' Bifu ' na Taifa lolote lile duniani?
Tafadhalini Marais wa Afrika Mashariki kama mnashindwa Kumfundisha ' adabu ' huyu Rais Mwenzenu Nkuruzinza basi Sisi Wanyarwanda hasa wa Kabila letu la Tutsi ' lililobarikiwa ' na Mwenyezi Mungu kama vile ' alivyowabariki ' Wayahudi tutamchukulia hatua kwa kumtoa hapo alipo ( Madarakani ) na kumuweka Rais mpya na Kipenzi cha Waburundi wote ambaye atakuwa anatokea Kabila la Tutsi ili aiwahishie Burundi Maendeleo kuliko huyu Mhutu anayewacheleweshea na kuwasumbua pia.
Nawasilisha.
Rais Nkuruzinza alianza Kuishutumu nchi ya Rwanda hajakaa sawa tena akaanza Kuwalaumu Wazungu hasa Wabelgiji na Wafaransa kuwa wanaipendelea Rwanda na kuionea Burundi na hivi karibuni tena bila hata ya Aibu amelishutumu Shirika la Kuhudumia Wakimbizi ambao kwa bahati nzuri wengi wanatokea nchini Kwake akisema kwamba Shirika hilo limekuwa likiwapa Silaha na Sare Waasi wa Burundi ili wampindue.
Hivi nyie hamuoni kwamba haya matendo yote ya Rais wa Burundi Nkuruzinza yanaweza hadi Kuziathiri nchi zingine na kusababisha wana Afrika Mashariki wote sasa tuonekane ' Wapuuzi ' kama Waburundi na Rais wao huyo ' Kirusi ' kwa Amani? Kwanini huyu Nkuruzinza hajifunzi kwa nchi jirani yake tu ya Rwanda ambayo kila uchao inapiga hatua za Kimaendeleo na haina ' Bifu ' na Taifa lolote lile duniani?
Tafadhalini Marais wa Afrika Mashariki kama mnashindwa Kumfundisha ' adabu ' huyu Rais Mwenzenu Nkuruzinza basi Sisi Wanyarwanda hasa wa Kabila letu la Tutsi ' lililobarikiwa ' na Mwenyezi Mungu kama vile ' alivyowabariki ' Wayahudi tutamchukulia hatua kwa kumtoa hapo alipo ( Madarakani ) na kumuweka Rais mpya na Kipenzi cha Waburundi wote ambaye atakuwa anatokea Kabila la Tutsi ili aiwahishie Burundi Maendeleo kuliko huyu Mhutu anayewacheleweshea na kuwasumbua pia.
Nawasilisha.