Ha ha ha kiasili Mimi Ni msoshalisti,what did you expect?Ningekukosa wewe mwarabu wa kayenze kwenye huu uzi ningeshangaa sana
Yaan wewe uko Against USA every day
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuvute subira.Hahah,kwamba unahis corona ni biological weapon..hahah mzungu hachelewi..na kikitua tehran inakua hakuna haja ya vita ile
Haya baba karbu shamaliwaHa ha ha kiasili Mimi Ni msoshalisti,what did you expect?
Wamezidi nao kupenda kula Sana Hadi popoUnajua buana kujifanya fanya na kujimwambafy sometime kuna faida ila sometime unaweza umbuka,..sasa china jeur zote hzo ..kua mnamfukuzia Mmarekan nyuma nin nanini..kudindishiana kila siku na wakubwa
Jamani wazungu waachen ,wazungu ni wealthy pipo,kataen mkubali,..wazungu wameshamalizaga strugle za hapa dunian...mim nimetembea kdgo ngambo enz za kutapatapa kwenye mimeli ya mafuta huko,so nmezunguka kdgo..enz za schlumberger zile na BG,mnaojua mtakua mmenielewa
Corona tuu inamtoa jasho mchina,..china kwa upande mwingne mi naona bado ni 3rd world country tuu,.according to washkaj zangu waliosoma china,wanasema kuna maeneo china ni hovyo kabisa...ila ulaya huwez kuta hvyo,nadra saaana....kwanza wachafu...
Sasa kama chanjo tuu ni ishu had wazungu waingilie kat bas nadirik kusema China ni 3rd world country
Uzi tayar
wewe mkaruka unatuaibisha wazanaki population ya China ni Mara 4 zaidi ya population ya U.S.A bado unataka kuwalinganisha kwenye quality ya maisha utafeli bro!China imeuza raia wake.
Yaani Imeweka Mazingira Kwa Wazungu Wanaotaka Kufungua Biashara China Kuwa Ya Gharama Ndogo, Kwa Kuwalipa Wachina Ujira Kiduchu.
Sasa Mzungu Akizalisha Bidhaa Yake Kwa Gharama Ndogo Na Kuiuza Nje Ya Nchi, Inaonekana China Kaexport Sana Na Hivyo Uchumi Kukua.
Kumbe Beneficiaries Wakubwa Wa Exports China Ni Wazungu Wale Wale.
Mzungu Hawezi Kufanya Kazi Kwa Malipo Kiduchu, Bila Likizo, Bima Na Prestige Ila Mchina Mpaka Zege Anabeba
umemaliza nilitaka mkumbusha USA watu wengi wamekufa mafua kuliko watu waliokufa na CORONA ChinaIn total, the CDC estimates that up to 42.9 million people got sick during the 2018-2019 flu season, 647,000 people were hospitalized and 61,200 died.Jun 20, 2019
View attachment 1342380
TIME Homepage › 2018-2019-flu-se...
2018-2019 Flu Season Was the Longest in 10 Years, CDC Says | ...
Aisee......yaani hata hao wanaojiita super power kumbe wameshindwa ku-destroy hicho kirusi.....basi pro amerca wa kwamtogole watasema kuwa ni virus walio tengenezwa na USA wenyewe😃😃😃
wewe mkaruka unatuaibisha wazanaki population ya China ni Mara 4 zaidi ya population ya U.S.A bado unataka kuwalinganisha kwenye quality ya maisha utafeli bro!
Faida kubw ilipatikana kwenye ajira na technology transfer,wachina wakamove kutoka kutengeneza baiskeli za phone Hadi kuunda aircraft carrier ndani ya miaka 20 tu,China imeuza raia wake.
Yaani Imeweka Mazingira Kwa Wazungu Wanaotaka Kufungua Biashara China Kuwa Ya Gharama Ndogo, Kwa Kuwalipa Wachina Ujira Kiduchu.
Sasa Mzungu Akizalisha Bidhaa Yake Kwa Gharama Ndogo Na Kuiuza Nje Ya Nchi, Inaonekana China Kaexport Sana Na Hivyo Uchumi Kukua.
Kumbe Beneficiaries Wakubwa Wa Exports China Ni Wazungu Wale Wale.
Mzungu Hawezi Kufanya Kazi Kwa Malipo Kiduchu, Bila Likizo, Bima Na Prestige Ila Mchina Mpaka Zege Anabeba
Ni kweli na wanapiga hatua sana ila kusema kwamba wako vizuri sana kama nchi za ulaya na maerkani ni uwongo.Faida kubw ilipatikana kwenye ajira na technology transfer,wachina wakamove kutoka kutengeneza baiskeli za phone Hadi kuunda aircraft carrier ndani ya miaka 20 tu,
Mapato pia yakaongezeka juu ya Kodi,China ndo nchi pekee inaweza kufanya mradi hata wa dola bilioni 50 kwa mda mfupi na bado reserve yao iko vizuri
Yanawadondosha lini?Mafua Yandege Yanawadondosha Wamarekani Kwamaelfu Zaidi Yahili laCORONA kwahio US Nao Nidunia Yangapi?!...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hata hujui hilo unahisi naweza kukusaidiaje MKUU Fanya Kama Una Google Kama Ukikosa Majibu Nitafte TenaYanawadondosha lini?
Tatizo muda bwana utamKama hata hujui hilo unahisi naweza kukusaidiaje MKUU Fanya Kama Una Google Kama Ukikosa Majibu Nitafte Tena
Tusiwe Wavivu Wakutafta Mambo Madogo Kama Hayo MKUU
Sent using Jamii Forums mobile app