Nyie baby daddies mnatutesa sana hamjui tu. Mwenzenu niko njia panda sielewi

Status
Not open for further replies.
Akitulize tu, mume wamtu ni mume wa mtu tu, angekuwa hamuhitaji mkewe angeshamuacha. Ila kwa huyu bidada anataka tu mtoto, mtie tu moyo mwenzio adanganyike na picha za nyumba na gari. Atakuwa double mom sio muda mrefu

Hiyo channel ya kueleweka unayoisubiri ndiyo baby daddy number 2 au? Na inaeleweka kwa vigezo gani (samahani sana kama nimekukwaza, nimetamani tu kujua hilo)
Nakuelewa sana.
Nami napitia same situation kuzaa home na mtoto dah basi tu. Kuna vijineno hivi mwanzon viliniumiza nikawa kauzu flani i dont care imenisaidia sana.
Now kuhusu huyo mbaba muandikishane mapema nyumba iwe mbali na kwenu. Abadilishe hati na kadi ya gari isome majina yako akupe ww ushike na ww unachukua unaweka nyumban kwenu kwenye vitu vyako. Home aga umepata tenda ya kazi na unapewa nyumba ya kuishi. Mzee baba unamwambia kabisa kama ni 100,000 unatuma nyumbani kwa wazee. Ukiwa na pesa no 1 will bother u nani baba wa mtoto.
Then hio feeling unataka kuzaa ipo sana my daughter she is 6yrz nawewezeka tumbo la taka mtto ila najizuia nipate channel inayoeleweka
 
Kwanza nikupongeze kwa kuwa mama na pili nikwambie tu kuwa Huwa nina washangaa sana wanawake wanaojiona Single Mother's,hivi mbona hiyo ni bahati mimi naona? usiuchukie u single Mother,utaona faida yake ukipambana mwanao akaja akawa na maisha yake "uta enjoy sana" hakuna raha kama kula mkate wa slace 24 peke yako..(sijui kama unanielewa)

Turudi kwenye mada sasa,nisikie bibie pole kwa misukosuko unayopitia hapo home ni misukosuko hiyo hiyo ilinifanya nikaondoka nyumbani kwetu miaka hiyo bila kuaga mtu (nilichoka asee) kwahyo naelewa sana unapta ktk kipindi gani.

chakufanya mimi siwezi kukushauri eti sjui vumili,hao n wazazi,sijui uliwaumiza,nk nk mimi ni mmoja ya wale wanao amini "Hata wazazi wanakosea" wao si malaika,kwahiyo solution ya wewe kutulia na kuepuka hyo misuko suko ya home ni wewe kuondoka.

Unaondokaje?! (Akili kichwani mwako) Huyo baba anaejipendekeza kwako,hilo jitu zima La saba failure namuita la saba failure kwasababu mtu mzima mwenye akili huwezi muonyesha mwanamke unaempenda kwa dhati Ka nyumba na kagari eti ili akukubalie,shenzi kbsa (jitu zima hovyo hilo) sasa kwasababu na wewe humpendi ni vzuri "umenifurahisha" hapo.

Njia ya kutoka ni lazima awe huyo kenge maji,kwasasa sijui kama una kamchepuko zaidi ya hilo small dadie,sio ukubali enda olewa kwasasa sahau maswala za Kuolewa "futa kabisa huko kichwani" sahau maswala ya kuishi na mwanaume "futa kabisa huko kichwani" ila mtumie huyo dingi kupata Pesa ya kuondokea hapo home.

Mwambie kama kweli anakupenda akupe hela ufungue biashara,uweze jisimamia mwenyewe,mwambie haupo tyr akuoe ukawe goli kipa,mwambie kuna leo na kesho akifa nani atasimamia familia? mwambie kama kweli ana upendo wa dhati kwako,akupe mkwanja ufungue biashara yako mwenyewe.

Then' ukipewa pesa Hama hapo Home,tena swala la kuhama hapo home mshirikishe huyo mzee mwambie unataka kwenda kupanga ila ndio akupe pesa ukapange (usije fanya makosa ya kuruhusu ajue unapoenda kupanga) wewe kazi yako iwe n kumpgia picha ya chumba ukipata,picha za godoro ulilonunua kwa pesa yake,nk nk yani info zote zimfikie kupitia picha.

Usiende kupanga kama hajakupa hela ya biashara,kwahyo hela ya biashara kwanza kisha kodi baadae...Ukifanikisha yote hayo akayafanya kwako nadhani swala la kuhama home utakua umelimaliza na biashara utakua nayo,hapo umepga ndege wawili kwa jiwe 1.

Kuhusu maumivu ya tumbo,usidanganywe sijui kuzaa sijui mafyoko fyoko gani Tumia dawa hizo hizo kunywa dawa ya kila mzizi wa mmea ulioota juu ya ardhi yani,usidanganyike eti na wanaosema uzae,ni Uongoooooo hiyo ya kuzaa si ya kila mtu Unaweza ukazaaa na maumivu yakawepo au yakaondoka ni betting unafanya.

sasa yanini ubetie maisha yako,meza mizizi hadi ya muwashawasha ikibidi ilimradi hayo maumivu yatoke..Ona future yako na zaidi Ona future ya mwanao usiongeze mzigo mwingine wakati ulionao tu unakutoa jasho.

Mwisho nikwambie tu kitu kimoja Tafuta sehemu mtoto wako atapata upendo wa kila anaemzunguka na kama hakuna n bora uishi nae mwenyewe,mpende na mthamini mwanao Teseka sasa kwa ajili yake kama iliandikwa uteseke kwa ajili ya huyo mtoto Kubali mama sio dhambi,Usichezee tena future yako na zaidi usije hta siku 1 ukamuona huyo mtoto ni mzigoo N bahati na ana sababu kwann wewe n mama yake.

Mimi n mzee wa kuandika,pole kwa kusoma risala langu n refu ila lahitaji roho ngumu kulitekeleza,na kweli uwe umedhamiria.
 
Wewe msichana washukuru hata wazazi wako kwa kukupokea na mtoto wako. Hakuna kitu kinachomuuma mzazi; kama ambavyo mzazi anajinyimakwa ajili ya mtoto wake kusoma, only kwa huyo mtoto kurudi na degree zake mbili. Afu kama haitoshi muhusika wa degree ameingia mitini, automatically unawaongezea mzigo mwingine wazazi wako. Narudia tena washukuru sana, hayo manyanyaso madogo madogo sio kwa sababu hawakupendi wewe na mtoto wako nope; ni uchungu tu kwamba wewe huwaonei huruma unawaongezea majukumu kwa sababu ya starehe zako.

Huo uhuru wa wewe kutoka na kuingia nyumbani kwenu kadri unavyojisikia wewe, unautaka wa kazi gani? Wanakunyima kutoka kufanya mambo yako ya msingi au una hamu ya kwenda kutafuta mtoto mwingine huko? Tulia nyumbani wewe, uhuru ukizidi kwa mtoto wa kike una gharama kubwa sana.

Huyo mume wa mtu achana naye, huyo baby daddy wako achana naye pia; focus yako iwe mtoto wako na kutafuta kazi. Kazi peke yake ndiyo itakufanya utoke hapo nyumbani, ukapambane huko nje kwa ajili ya mwanao. Huyo mtoto wa kwanza umemzaa bila utaratibu, sasa kurupuka ulete mimba ya 2 kwa wazazi wako. Hayo maumivu em nenda hospital nako.

Afu huyo baby daddy wako bado unamtaka au? Yaani leo hii uolewe eti aje akunyang'anye mtoto; anaanzia wapi kwanza, na hizo nguvu anazitolea wapi? Sasa wewe ukipata mwanaume serious usiolewe naye, endelea kuogopa fujo za baba mtoto ambaye hata kwenu hatambuliki

Jamani hawa watoto tuwazae kwa utaratibu, tunawatesa sana. Itokee tu sababu ya msingi ya mtoto kulelewa na mzazi moja, sio kwa sababu ya tamaa na upumbavu wetu. Imagine mtoto akiita tu baba anavyoshambuliwa, bado hajapata akili akaanza kuona wenzie na baba zao afu yeye baba mwenyewe hata kujitambulisha hataki. God forbid hapo umedondoka ghafla, after years mtoto anaanza kujitokeza kwenye mitandao "namtafuta baba yangu, niliambiwaga anaitwa fulani". Sio sawa
Yaani mwanamke kama wewe nikiambiwa apewe nchi nitapiga kura kabisa. Hii ndio sampuli ya mwanamke wakuoa bwana. Hongera u r a very wise lady.
 
Kwanza nikupongeze kwa kuwa mama na pili nikwambie tu kuwa Huwa nina washangaa sana wanawake wanaojiona Single Mother's,hivi mbona hiyo ni bahati mimi naona? usiuchukie u single Mother,utaona faida yake ukipambana mwanao akaja akawa na maisha yake "uta enjoy sana" hakuna raha kama kula mkate wa slace 24 peke yako..(sijui kama unanielewa)

Turudi kwenye mada sasa,nisikie bibie pole kwa misukosuko unayopitia hapo home ni misukosuko hiyo hiyo ilinifanya nikaondoka nyumbani kwetu miaka hiyo bila kuaga mtu (nilichoka asee) kwahyo naelewa sana unapta ktk kipindi gani.

chakufanya mimi siwezi kukushauri eti sjui vumili,hao n wazazi,sijui uliwaumiza,nk nk mimi ni mmoja ya wale wanao amini "Hata wazazi wanakosea" wao si malaika,kwahiyo solution ya wewe kutulia na kuepuka hyo misuko suko ya home ni wewe kuondoka.

Unaondokaje?! (Akili kichwani mwako) Huyo baba anaejipendekeza kwako,hilo jitu zima La saba failure namuita la saba failure kwasababu mtu mzima mwenye akili huwezi muonyesha mwanamke unaempenda kwa dhati Ka nyumba na kagari eti ili akukubalie,shenzi kbsa (jitu zima hovyo hilo) sasa kwasababu na wewe humpendi ni vzuri "umenifurahisha" hapo.

Njia ya kutoka ni lazima awe huyo kenge maji,kwasasa sijui kama una kamchepuko zaidi ya hilo small dadie,sio ukubali enda olewa kwasasa sahau maswala za Kuolewa "futa kabisa huko kichwani" sahau maswala ya kuishi na mwanaume "futa kabisa huko kichwani" ila mtumie huyo dingi kupata Pesa ya kuondokea hapo home.

Mwambie kama kweli anakupenda akupe hela ufungue biashara,uweze jisimamia mwenyewe,mwambie haupo tyr akuoe ukawe goli kipa,mwambie kuna leo na kesho akifa nani atasimamia familia? mwambie kama kweli ana upendo wa dhati kwako,akupe mkwanja ufungue biashara yako mwenyewe.

Then' ukipewa pesa Hama hapo Home,tena swala la kuhama hapo home mshirikishe huyo mzee mwambie unataka kwenda kupanga ila ndio akupe pesa ukapange (usije fanya makosa ya kuruhusu ajue unapoenda kupanga) wewe kazi yako iwe n kumpgia picha ya chumba ukipata,picha za godoro ulilonunua kwa pesa yake,nk nk yani info zote zimfikie kupitia picha.

Usiende kupanga kama hajakupa hela ya biashara,kwahyo hela ya biashara kwanza kisha kodi baadae...Ukifanikisha yote hayo akayafanya kwako nadhani swala la kuhama home utakua umelimaliza na biashara utakua nayo,hapo umepga ndege wawili kwa jiwe 1.

Kuhusu maumivu ya tumbo,usidanganywe sijui kuzaa sijui mafyoko fyoko gani Tumia dawa hizo hizo kunywa dawa ya kila mzizi wa mmea ulioota juu ya ardhi yani,usidanganyike eti na wanaosema uzae,ni Uongoooooo hiyo ya kuzaa si ya kila mtu Unaweza ukazaaa na maumivu yakawepo au yakaondoka ni betting unafanya.

sasa yanini ubetie maisha yako,meza mizizi hadi ya muwashawasha ikibidi ilimradi hayo maumivu yatoke..Ona future yako na zaidi Ona future ya mwanao usiongeze mzigo mwingine wakati ulionao tu unakutoa jasho.

Mwisho nikwambie tu kitu kimoja Tafuta sehemu mtoto wako atapata upendo wa kila anaemzunguka na kama hakuna n bora uishi nae mwenyewe,mpende na mthamini mwanao Teseka sasa kwa ajili yake kama iliandikwa uteseke kwa ajili ya huyo mtoto Kubali mama sio dhambi,Usichezee tena future yako na zaidi usije hta siku 1 ukamuona huyo mtoto ni mzigoo N bahati na ana sababu kwann wewe n mama yake.

Mimi n mzee wa kuandika,pole kwa kusoma risala langu n refu ila lahitaji roho ngumu kulitekeleza,na kweli uwe umedhamiria.

Hivi kweli ni wanaume mabwege wangapi wataokuhudumia wewe na mwanao bila hata kukugusa, afu kama haitoshi eti akupe mtaji na hela ya kodi ya nyumba, then wewe umtumie picha za geto tu? Afu kufanya biashara ni jambo moja kufanikiwa ni jambo lingine, biashara nyingi zinachukua muda hadi zije kusimama kabisa. Sasa asije akakurupuka kuondoka nyumbani kwa mbwembwe afu siku mbili biashara zimebuma, na danga limegutuka akataka kurudi tena nyumbani mikono nyuma. Apambane tu mwenyewe atafute kazi, sio kwenda kujitafutia shida na waume wa watu. Wanaume si mabwege kiasi hicho + mwanaume wa kuanza kukutongoza na gia za mali ni wa kumuangalia sana
 
Ushauri wangu anza kupata kwanza pa kuanzia. Fanya juhudi uwe na cha kufanya,iwe biashara au kazi yoyote kwa uchache, isiyopungua laki 150 kwa mwezi. Mbananishe huyo njemba iwe kwa kumbembeleza au njia yoyote,akupe mtaji,wa biashara utakayofikiria. Kisha fuata ondoka nyumbani kapange. Usifikirie kuoelewa tena itokee tu kwa bahati,na huyo mtu lazima uwe umemchunguza sana. Shida mnayopitia nyie wadada wa siku hizi ni wengi kufikiria maisha yenu yote lazima uolewe. Waoaji siku hizi hawapo. Lazima mjiandae kwa hilo. Huyo mbaba anaekumendea ksbb humpendi achana nae tu. Ukipata tu cha kufanya hasa biashara hiyo itakuwa njia ya kutoka home. Nazijua madhira unayopitia. Kuna familia nyingi hizi za kimasikini binti akizalia nyumbani anapata tabu sana. Njia ni kufanya biashara itakayokufanya uwe na kipato cha kukutosha ukichanganya na sapot ya mzazi mwenzio,mbele itajulikanaga,kwa sasa anzia hapo kwanza.
 
Wewe msichana washukuru hata wazazi wako kwa kukupokea na mtoto wako. Hakuna kitu kinachomuuma mzazi; kama ambavyo mzazi anajinyimakwa ajili ya mtoto wake kusoma, only kwa huyo mtoto kurudi na degree zake mbili. Afu kama haitoshi muhusika wa degree ameingia mitini, automatically unawaongezea majukumu mengine wazazi wako. Narudia tena washukuru sana, hayo manyanyaso madogo madogo sio kwa sababu hawakupendi wewe na mtoto wako nope; ni uchungu tu kwamba wewe huwaonei huruma unawaongezea majukumu kwa sababu ya starehe zako.

Huo uhuru wa wewe kutoka na kuingia nyumbani kwenu kadri unavyojisikia wewe, unautaka wa kazi gani? Wanakunyima kutoka kufanya mambo yako ya msingi au una hamu ya kwenda kutafuta mtoto mwingine huko? Tulia nyumbani wewe, uhuru ukizidi kwa mtoto wa kike una gharama kubwa sana.

Huyo mume wa mtu achana naye, huyo baby daddy wako achana naye pia; focus yako iwe mtoto wako na kutafuta kazi. Kazi peke yake ndiyo itakufanya utoke hapo nyumbani, ukapambane huko nje kwa ajili ya mwanao. Huyo mtoto wa kwanza umemzaa bila utaratibu, sasa kurupuka ulete mimba ya 2 kwa wazazi wako. Hayo maumivu em nenda hospital nako.

Afu huyo baby daddy wako bado unamtaka au? Yaani leo hii uolewe eti aje akunyang'anye mtoto; anaanzia wapi kwanza, na hizo nguvu anazitolea wapi? Sasa wewe ukipata mwanaume serious usiolewe naye, endelea kuogopa fujo za baba mtoto ambaye hata kwenu hatambuliki

Jamani hawa watoto tuwazae kwa utaratibu, tunawatesa sana. Itokee tu sababu ya msingi ya mtoto kulelewa na mzazi moja, sio kwa sababu ya tamaa na upumbavu wetu. Imagine mtoto akiita tu baba anavyoshambuliwa, bado hajapata akili akaanza kuona wenzie na baba zao afu yeye baba mwenyewe hata kujitambulisha hataki. God forbid hapo umedondoka ghafla, after years mtoto anaanza kujitokeza kwenye mitandao "namtafuta baba yangu, niliambiwaga anaitwa fulani". Sio sawa
I admire you, I adore you, I like you very much!

Uko njema sana mkuu, ni hiyo basi tu.
 
Kwanza nikupongeze kwa kuwa mama na pili nikwambie tu kuwa Huwa nina washangaa sana wanawake wanaojiona Single Mother's,hivi mbona hiyo ni bahati mimi naona? usiuchukie u single Mother,utaona faida yake ukipambana mwanao akaja akawa na maisha yake "uta enjoy sana" hakuna raha kama kula mkate wa slace 24 peke yako..(sijui kama unanielewa)

Turudi kwenye mada sasa,nisikie bibie pole kwa misukosuko unayopitia hapo home ni misukosuko hiyo hiyo ilinifanya nikaondoka nyumbani kwetu miaka hiyo bila kuaga mtu (nilichoka asee) kwahyo naelewa sana unapta ktk kipindi gani.

chakufanya mimi siwezi kukushauri eti sjui vumili,hao n wazazi,sijui uliwaumiza,nk nk mimi ni mmoja ya wale wanao amini "Hata wazazi wanakosea" wao si malaika,kwahiyo solution ya wewe kutulia na kuepuka hyo misuko suko ya home ni wewe kuondoka.

Unaondokaje?! (Akili kichwani mwako) Huyo baba anaejipendekeza kwako,hilo jitu zima La saba failure namuita la saba failure kwasababu mtu mzima mwenye akili huwezi muonyesha mwanamke unaempenda kwa dhati Ka nyumba na kagari eti ili akukubalie,shenzi kbsa (jitu zima hovyo hilo) sasa kwasababu na wewe humpendi ni vzuri "umenifurahisha" hapo.

Njia ya kutoka ni lazima awe huyo kenge maji,kwasasa sijui kama una kamchepuko zaidi ya hilo small dadie,sio ukubali enda olewa kwasasa sahau maswala za Kuolewa "futa kabisa huko kichwani" sahau maswala ya kuishi na mwanaume "futa kabisa huko kichwani" ila mtumie huyo dingi kupata Pesa ya kuondokea hapo home.

Mwambie kama kweli anakupenda akupe hela ufungue biashara,uweze jisimamia mwenyewe,mwambie haupo tyr akuoe ukawe goli kipa,mwambie kuna leo na kesho akifa nani atasimamia familia? mwambie kama kweli ana upendo wa dhati kwako,akupe mkwanja ufungue biashara yako mwenyewe.

Then' ukipewa pesa Hama hapo Home,tena swala la kuhama hapo home mshirikishe huyo mzee mwambie unataka kwenda kupanga ila ndio akupe pesa ukapange (usije fanya makosa ya kuruhusu ajue unapoenda kupanga) wewe kazi yako iwe n kumpgia picha ya chumba ukipata,picha za godoro ulilonunua kwa pesa yake,nk nk yani info zote zimfikie kupitia picha.

Usiende kupanga kama hajakupa hela ya biashara,kwahyo hela ya biashara kwanza kisha kodi baadae...Ukifanikisha yote hayo akayafanya kwako nadhani swala la kuhama home utakua umelimaliza na biashara utakua nayo,hapo umepga ndege wawili kwa jiwe 1.

Kuhusu maumivu ya tumbo,usidanganywe sijui kuzaa sijui mafyoko fyoko gani Tumia dawa hizo hizo kunywa dawa ya kila mzizi wa mmea ulioota juu ya ardhi yani,usidanganyike eti na wanaosema uzae,ni Uongoooooo hiyo ya kuzaa si ya kila mtu Unaweza ukazaaa na maumivu yakawepo au yakaondoka ni betting unafanya.

sasa yanini ubetie maisha yako,meza mizizi hadi ya muwashawasha ikibidi ilimradi hayo maumivu yatoke..Ona future yako na zaidi Ona future ya mwanao usiongeze mzigo mwingine wakati ulionao tu unakutoa jasho.

Mwisho nikwambie tu kitu kimoja Tafuta sehemu mtoto wako atapata upendo wa kila anaemzunguka na kama hakuna n bora uishi nae mwenyewe,mpende na mthamini mwanao Teseka sasa kwa ajili yake kama iliandikwa uteseke kwa ajili ya huyo mtoto Kubali mama sio dhambi,Usichezee tena future yako na zaidi usije hta siku 1 ukamuona huyo mtoto ni mzigoo N bahati na ana sababu kwann wewe n mama yake.

Mimi n mzee wa kuandika,pole kwa kusoma risala langu n refu ila lahitaji roho ngumu kulitekeleza,na kweli uwe umedhamiria.
You sound like iddi makengo.mshauri fulani wa mahusiano na biashara huko insta na fb.
 
Nakuelewa sana.
Nami napitia same situation kuzaa home na mtoto dah basi tu. Kuna vijineno hivi mwanzon viliniumiza nikawa kauzu flani i dont care imenisaidia sana.
Now kuhusu huyo mbaba muandikishane mapema nyumba iwe mbali na kwenu. Abadilishe hati na kadi ya gari isome majina yako akupe ww ushike na ww unachukua unaweka nyumban kwenu kwenye vitu vyako. Home aga umepata tenda ya kazi na unapewa nyumba ya kuishi. Mzee baba unamwambia kabisa kama ni 100,000 unatuma nyumbani kwa wazee. Ukiwa na pesa no 1 will bother u nani baba wa mtoto.
Then hio feeling unataka kuzaa ipo sana my daughter she is 6yrz nawewezeka tumbo la taka mtto ila najizuia nipate channel inayoeleweka
wewe unaonekana mtoto wa mjini.

Samahani mkuu na wewe ni degree holder??
 
Hivi kweli ni wanaume mabwege wangapi wataokuhudumia wewe na mwanao bila hata kukugusa, afu kama haitoshi eti akupe mtaji na hela ya kodi ya nyumba, then wewe umtumie picha za geto tu? Afu kufanya biashara ni jambo moja kufanikiwa ni jambo lingine, biashara nyingi zinachukua muda hadi zije kusimama kabisa. Sasa asije akakurupuka kuondoka nyumbani kwa mbwembwe afu siku mbili biashara zimebuma, na danga limegutuka akataka kurudi tena nyumbani mikono nyuma. Apambane tu mwenyewe atafute kazi, sio kwenda kujitafutia shida na waume wa watu. Wanaume si mabwege kiasi hicho + mwanaume wa kuanza kukutongoza na gia za mali ni wa kumuangalia sana
Nadhani wanaume kwenye swala la mapenzi ubwege wetu huonekana,hasa tukiwa tumependa kweli lakini pia mwanamke nae anaweza tumia nafasi hiyo kutimiza matakwa yake kama kweli kajiaminisha muhusika anampenda kwa kumaanisha.

Kuhus mwanaume kumgusa mwanamke,uamuzi upo kwa mwanamke na si mwanaume,Mimi kukuhudumia haiwi ndio ticket ya kulala na wewe ila ni huruma zako tu unaamua kulainika unanitunuku.

huyu mwanamke ndio mana nimemwambia "akamate akili zake kisawa sawa anapochukua maamuzi" (kazi yetu ni kushauri) utendaji upo kwake,kitendo cha mwanaume kutaka kumuoa na angali ana mke kwanza tyr n ticket ya huyu bibie kumlamba hela huyo mwanaume,nifupishe tu kwa kusema kama huyu mwanamke ataamua kumfanya huyo baba kitega uchumi anaweza sana tu.

ila kama na yeye anatuandikia hapa kuwa hampendi ila kumbe anampenda kimoyo moyo shauri lake ila kama ni kweli ipo kama anavyosema Hampendi huyo baba,uwezo wa kumchuna upo na Asiguswe K yake ikabaki pale salama salmin.

Kuhusu biashara akishakaa mwenyewe akaanza biashara atatoka tu,n kweli kila biashara huchukua muda hadi ianze kutoka kuleta faida ile uliyokua ukiitaka,lakini hatokosa vicent vyakumlisha mwanae jamani,biashara sio yakuogopwa namna hiyo ni yeye tu awe na utayari na nia INATOSHA.
 
Wewe msichana washukuru hata wazazi wako kwa kukupokea na mtoto wako. Hakuna kitu kinachomuuma mzazi; kama ambavyo mzazi anajinyimakwa ajili ya mtoto wake kusoma, only kwa huyo mtoto kurudi na degree zake mbili. Afu kama haitoshi muhusika wa degree ameingia mitini, automatically unawaongezea majukumu mengine wazazi wako. Narudia tena washukuru sana, hayo manyanyaso madogo madogo sio kwa sababu hawakupendi wewe na mtoto wako nope; ni uchungu tu kwamba wewe huwaonei huruma unawaongezea majukumu kwa sababu ya starehe zako.

Huo uhuru wa wewe kutoka na kuingia nyumbani kwenu kadri unavyojisikia wewe, unautaka wa kazi gani? Wanakunyima kutoka kufanya mambo yako ya msingi au una hamu ya kwenda kutafuta mtoto mwingine huko? Tulia nyumbani wewe, uhuru ukizidi kwa mtoto wa kike una gharama kubwa sana.

Huyo mume wa mtu achana naye, huyo baby daddy wako achana naye pia; focus yako iwe mtoto wako na kutafuta kazi. Kazi peke yake ndiyo itakufanya utoke hapo nyumbani, ukapambane huko nje kwa ajili ya mwanao. Huyo mtoto wa kwanza umemzaa bila utaratibu, sasa kurupuka ulete mimba ya 2 kwa wazazi wako. Hayo maumivu em nenda hospital nako.

Afu huyo baby daddy wako bado unamtaka au? Yaani leo hii uolewe eti aje akunyang'anye mtoto; anaanzia wapi kwanza, na hizo nguvu anazitolea wapi? Sasa wewe ukipata mwanaume serious usiolewe naye, endelea kuogopa fujo za baba mtoto ambaye hata kwenu hatambuliki

Jamani hawa watoto tuwazae kwa utaratibu, tunawatesa sana. Itokee tu sababu ya msingi ya mtoto kulelewa na mzazi moja, sio kwa sababu ya tamaa na upumbavu wetu. Imagine mtoto akiita tu baba anavyoshambuliwa, bado hajapata akili akaanza kuona wenzie na baba zao afu yeye baba mwenyewe hata kujitambulisha hataki. God forbid hapo umedondoka ghafla, after years mtoto anaanza kujitokeza kwenye mitandao "namtafuta baba yangu, niliambiwaga anaitwa fulani". Sio sawa
 
Kwanza nikupongeze kwa kuwa mama na pili nikwambie tu kuwa Huwa nina washangaa sana wanawake wanaojiona Single Mother's,hivi mbona hiyo ni bahati mimi naona? usiuchukie u single Mother,utaona faida yake ukipambana mwanao akaja akawa na maisha yake "uta enjoy sana" hakuna raha kama kula mkate wa slace 24 peke yako..(sijui kama unanielewa)

Turudi kwenye mada sasa,nisikie bibie pole kwa misukosuko unayopitia hapo home ni misukosuko hiyo hiyo ilinifanya nikaondoka nyumbani kwetu miaka hiyo bila kuaga mtu (nilichoka asee) kwahyo naelewa sana unapta ktk kipindi gani.

chakufanya mimi siwezi kukushauri eti sjui vumili,hao n wazazi,sijui uliwaumiza,nk nk mimi ni mmoja ya wale wanao amini "Hata wazazi wanakosea" wao si malaika,kwahiyo solution ya wewe kutulia na kuepuka hyo misuko suko ya home ni wewe kuondoka.

Unaondokaje?! (Akili kichwani mwako) Huyo baba anaejipendekeza kwako,hilo jitu zima La saba failure namuita la saba failure kwasababu mtu mzima mwenye akili huwezi muonyesha mwanamke unaempenda kwa dhati Ka nyumba na kagari eti ili akukubalie,shenzi kbsa (jitu zima hovyo hilo) sasa kwasababu na wewe humpendi ni vzuri "umenifurahisha" hapo.

Njia ya kutoka ni lazima awe huyo kenge maji,kwasasa sijui kama una kamchepuko zaidi ya hilo small dadie,sio ukubali enda olewa kwasasa sahau maswala za Kuolewa "futa kabisa huko kichwani" sahau maswala ya kuishi na mwanaume "futa kabisa huko kichwani" ila mtumie huyo dingi kupata Pesa ya kuondokea hapo home.

Mwambie kama kweli anakupenda akupe hela ufungue biashara,uweze jisimamia mwenyewe,mwambie haupo tyr akuoe ukawe goli kipa,mwambie kuna leo na kesho akifa nani atasimamia familia? mwambie kama kweli ana upendo wa dhati kwako,akupe mkwanja ufungue biashara yako mwenyewe.

Then' ukipewa pesa Hama hapo Home,tena swala la kuhama hapo home mshirikishe huyo mzee mwambie unataka kwenda kupanga ila ndio akupe pesa ukapange (usije fanya makosa ya kuruhusu ajue unapoenda kupanga) wewe kazi yako iwe n kumpgia picha ya chumba ukipata,picha za godoro ulilonunua kwa pesa yake,nk nk yani info zote zimfikie kupitia picha.

Usiende kupanga kama hajakupa hela ya biashara,kwahyo hela ya biashara kwanza kisha kodi baadae...Ukifanikisha yote hayo akayafanya kwako nadhani swala la kuhama home utakua umelimaliza na biashara utakua nayo,hapo umepga ndege wawili kwa jiwe 1.

Kuhusu maumivu ya tumbo,usidanganywe sijui kuzaa sijui mafyoko fyoko gani Tumia dawa hizo hizo kunywa dawa ya kila mzizi wa mmea ulioota juu ya ardhi yani,usidanganyike eti na wanaosema uzae,ni Uongoooooo hiyo ya kuzaa si ya kila mtu Unaweza ukazaaa na maumivu yakawepo au yakaondoka ni betting unafanya.

sasa yanini ubetie maisha yako,meza mizizi hadi ya muwashawasha ikibidi ilimradi hayo maumivu yatoke..Ona future yako na zaidi Ona future ya mwanao usiongeze mzigo mwingine wakati ulionao tu unakutoa jasho.

Mwisho nikwambie tu kitu kimoja Tafuta sehemu mtoto wako atapata upendo wa kila anaemzunguka na kama hakuna n bora uishi nae mwenyewe,mpende na mthamini mwanao Teseka sasa kwa ajili yake kama iliandikwa uteseke kwa ajili ya huyo mtoto Kubali mama sio dhambi,Usichezee tena future yako na zaidi usije hta siku 1 ukamuona huyo mtoto ni mzigoo N bahati na ana sababu kwann wewe n mama yake.

Mimi n mzee wa kuandika,pole kwa kusoma risala langu n refu ila lahitaji roho ngumu kulitekeleza,na kweli uwe umedhamiria.
Asipokuelewa hapa Basi Tena, lakini hapo kwenye kutomualika sponsa kujua alipopanga na mzee anatuma tu mpunga naona ni Kama ngumu not sure lakini itategemea na ujanja wake
 
Kwanza nikupongeze kwa kuwa mama na pili nikwambie tu kuwa Huwa nina washangaa sana wanawake wanaojiona Single Mother's,hivi mbona hiyo ni bahati mimi naona? usiuchukie u single Mother,utaona faida yake ukipambana mwanao akaja akawa na maisha yake "uta enjoy sana" hakuna raha kama kula mkate wa slace 24 peke yako..(sijui kama unanielewa)

Turudi kwenye mada sasa,nisikie bibie pole kwa misukosuko unayopitia hapo home ni misukosuko hiyo hiyo ilinifanya nikaondoka nyumbani kwetu miaka hiyo bila kuaga mtu (nilichoka asee) kwahyo naelewa sana unapta ktk kipindi gani.

chakufanya mimi siwezi kukushauri eti sjui vumili,hao n wazazi,sijui uliwaumiza,nk nk mimi ni mmoja ya wale wanao amini "Hata wazazi wanakosea" wao si malaika,kwahiyo solution ya wewe kutulia na kuepuka hyo misuko suko ya home ni wewe kuondoka.

Unaondokaje?! (Akili kichwani mwako) Huyo baba anaejipendekeza kwako,hilo jitu zima La saba failure namuita la saba failure kwasababu mtu mzima mwenye akili huwezi muonyesha mwanamke unaempenda kwa dhati Ka nyumba na kagari eti ili akukubalie,shenzi kbsa (jitu zima hovyo hilo) sasa kwasababu na wewe humpendi ni vzuri "umenifurahisha" hapo.

Njia ya kutoka ni lazima awe huyo kenge maji,kwasasa sijui kama una kamchepuko zaidi ya hilo small dadie,sio ukubali enda olewa kwasasa sahau maswala za Kuolewa "futa kabisa huko kichwani" sahau maswala ya kuishi na mwanaume "futa kabisa huko kichwani" ila mtumie huyo dingi kupata Pesa ya kuondokea hapo home.

Mwambie kama kweli anakupenda akupe hela ufungue biashara,uweze jisimamia mwenyewe,mwambie haupo tyr akuoe ukawe goli kipa,mwambie kuna leo na kesho akifa nani atasimamia familia? mwambie kama kweli ana upendo wa dhati kwako,akupe mkwanja ufungue biashara yako mwenyewe.

Then' ukipewa pesa Hama hapo Home,tena swala la kuhama hapo home mshirikishe huyo mzee mwambie unataka kwenda kupanga ila ndio akupe pesa ukapange (usije fanya makosa ya kuruhusu ajue unapoenda kupanga) wewe kazi yako iwe n kumpgia picha ya chumba ukipata,picha za godoro ulilonunua kwa pesa yake,nk nk yani info zote zimfikie kupitia picha.

Usiende kupanga kama hajakupa hela ya biashara,kwahyo hela ya biashara kwanza kisha kodi baadae...Ukifanikisha yote hayo akayafanya kwako nadhani swala la kuhama home utakua umelimaliza na biashara utakua nayo,hapo umepga ndege wawili kwa jiwe 1.

Kuhusu maumivu ya tumbo,usidanganywe sijui kuzaa sijui mafyoko fyoko gani Tumia dawa hizo hizo kunywa dawa ya kila mzizi wa mmea ulioota juu ya ardhi yani,usidanganyike eti na wanaosema uzae,ni Uongoooooo hiyo ya kuzaa si ya kila mtu Unaweza ukazaaa na maumivu yakawepo au yakaondoka ni betting unafanya.

sasa yanini ubetie maisha yako,meza mizizi hadi ya muwashawasha ikibidi ilimradi hayo maumivu yatoke..Ona future yako na zaidi Ona future ya mwanao usiongeze mzigo mwingine wakati ulionao tu unakutoa jasho.

Mwisho nikwambie tu kitu kimoja Tafuta sehemu mtoto wako atapata upendo wa kila anaemzunguka na kama hakuna n bora uishi nae mwenyewe,mpende na mthamini mwanao Teseka sasa kwa ajili yake kama iliandikwa uteseke kwa ajili ya huyo mtoto Kubali mama sio dhambi,Usichezee tena future yako na zaidi usije hta siku 1 ukamuona huyo mtoto ni mzigoo N bahati na ana sababu kwann wewe n mama yake.

Mimi n mzee wa kuandika,pole kwa kusoma risala langu n refu ila lahitaji roho ngumu kulitekeleza,na kweli uwe umedhamiria.
Sijasoma yote ila nimejitahidi kusoma mpaka pale ulipoanza kumfundisha utapeli huyu dada nikaanza kukosa interest za kumalizia kusoma na kweli nikaamua kuacha. Hivi unajua ni maumivu kiasi gani atamsababishia huyo mwanaume kama atachukua ushauri wako? Ulishawahi kuliwa hela na mwanamke unayempenda na yeye alikuaminisha anakupenda? Yeye kama ataweza kutoboa bila kufanya utapeli wa kimapenzi hapo sawa ila asithubutu kuwatumia wanaume kama daraja kufika anakotaka, yatamtokea puani. Ushauri kama baba wa mwanae hajaoa afanye kila awezalo arudiane naye. Tatizo huyu demu anaonekana jeuri, kwa maelezo yake anaonekana ni pasua kichwa. Mwanamke anayeweza kuchambana na mwanaume huyo ni kichwa maji. Huyu demu ni wale wanaojifanya wanayaweza maisha bila usaidizi wa wazazi wenzao hivyo huwa wajeuri balaa, huwa hawataki kujishusha, hawaambiliki anaweza hata kukublock mkikwaruzana.
 
Single mother umekua wimbo saizi, kesi zetu ni nyingi tunachekwa na kudiscussiwa sana but ndo ishatokea Maisha hayana rewind button.

Haya wajameni ushauli wenu ni muhim kwa single mother mim, Kwanza nimshukulu Mungu kwa yote despite Maisha ya usingle mother kua na changamoto namshukulu kwa kunijalia kakijana flani kahensam very genius and talented boy. Mungu asante kwa ilo.

Twende kwenye kilichonileta, mim na baba mtoto wangu tulifalakana tangu mimba ikiwa na two weeks, and the boy is almost three now.
Yes we talk sio kivile...anatoa hela ya matumizi akijiskia na hii ni kwa sababu mala nyingi hua tunagombana sana
Yaan tunaweza tukanana kiasi kwamba unasema hapa hamna atakaemuongelesha mwenzie lakini somehow tunajikuta tunaongea
Nothing serious ni kuhusu mtoto anaendeleaje ivo basi.
Mtoto wangu nilimzaa nikiwa third year chuoni namshukulu Mungu nilimaliza na degree zote mbili yaan kabachelor ka uchumi na haka kengine nilikojiongezea mwenyewe.
Nilikua mejipangia but kutokana na kwamba nimezaa mtoto na source kubwa ilikua ni boom ikanibidi niludi nyumbani. maana nisingeweza kumudu Maisha ya kupanga, na pia nilikua naumwa sana watu wa uku wanaita kamtoto yaan metoka tu kuzaa wananambia usikawie sana uzae mwingine, ako akana tiba adi uzae Yaan n maumivu flani ivi unaweza kua kichaa kizazi kinauma adi unapoteza network but nashukulu nilipewa mizizi naitumia mpaka sasa inanisaidia.
So nikawa ni mtu wa nyumbani, mzee wangu n mkulima na kwa bahati nzuri ana eneo kubwa sana apa nyumbani nikapewa kiplot changu nikaanza kulima lima kibustani.
Mungu Asante nikawa sikosi vihela vya rishe na pampus na baba mtoto tukichambana chambana nae anatoa Maisha yanaenda.

Mind u mi na ba mtoto tukionana ni mala moja moja sana, akiamua kuja kumsalimia mtoto. naweza sema haizidi mala tano kwa mwaka.

But ikumbukwe naishi nyumbani so ni kama nipo gerezani, hauruhusiwi kutoka apa ndani bila kua na sababu maalum na hauluhusiwi kuchelewa kuludi or else kelele zake unaweza pata kichaa.
So to avoid all of that nikakubaliana na hali ya hapa ndani sababu tayari wananilea mim na mtoto ambae hawamjui baba ake.....

Maisha yakawa yanaenda lakin tangu nimezaa kuna mbaba jiran yetu ambae kwa bahati mbaya sana mkewe ni mgumba, alikua akiniomba sana anioe, sijawai kumuelewa kwa kweli yaan niolewe na mume wa mtu hapana.
Basi mi nkawa busy tu Maisha yangu na yule baba akawa akiniomba sana unsuccessful
Mtoto anafunga mitatu next month na sio kwamba baba ake yuko mbali hapana, yaan kwao na kwetu ni daladala moja tu sh mianne na si kwamba hana hela labda za kuja kumgombolea mtoto na uwezo anao ila hataki.
Nimejarbu ata kumbembeleza basi njoo kwa ajili ya mtoto tu wakujue kwani wangap siku izi wanazaa hawaoani?! wakujue tu ili kila mtu aendelee na Maisha yake...hayupo wa kukulazimisha unioe hayupo kama labda unawasiwasi
Wapi kama napigia mbuzi gita

Uvumilivu hua na kikomo yaan najitaidi vumilia lakin Maisha ya umu ndani ni ya manyanyaso sana ni nyumbani sawa lakin ii fungiwa fungiwa nachoka, bado kejeli kibao mtoto hana baba, mwanangu akitamka tu neno baba wanamshambulia yukwapi uyo baba ako una baba wewe... Sasa na kizazi kinauma adi naona ntakufa
Solution ni kuzaa, mi apo ndo sielewi sielewi nina mtoto hana baba afu naambiwa nizae basi natumia tu mitishamba nimekua wakuumwa umwa
Nataman kuhama but unaambiwa unahangaika uende kubebeshwa tena mimba yaan acheni tu ii shuruba ya usingle mother ikiisha ntahema sana
Sasa last week yule baba sasa jiran kantumia picha ya nyumba na kigari kanambia ukinikubalia ivo vyote vyako, na uyo mtoto ntamlea kama wakwangu bila kusita sita.
Sijajibu chochote adi saivi.. kwanini
Najiuliza ivi nikitoka kweli kwenda kuolewa yule baba mtoto wangu si atafanya kila aina ya fujo amchukue mtoto, namuelewa mjinga yule hawezi kubali, nyumbani hawamfaham lakini akili zake anazijua mwenyewe
Mwanangu nimemzoea sana siwezi kaa nae mbali
Maisha ya umu ndani nimeyachoka sana yamenifika kooni yule baba simpendi hata kidogo si mbaba sana he's 43 but kutoka moyoni simpendi na naona ndo the only gate pass kutoka umu ndani ila naendaje kuishi na mwanaume nsieweza hata kuitikia salam ake and worse ni mume wa mtu na mkewe hakupenda kua mgumba na bado ni jiran kabisa si ntaonekana kamalaya first class . mitihani ya duniani migum jaman

Nyie baby daddies mnatutesa sana hamjui tu.
Mwenzenu niko njia panda sielewi na sijielewi na haya maumivu ya kizazi haya ndo nawehuka kabisa
Usitupe lawama tusiohusika. Wakati mnakutana huko vichochoroni sisi hatukuwepo.

Miongoni mwa wanaume uliwabetulia midomo na kuwachukulia poa pengine alikuwako mume wako ila sababu ya mawazo ya usichana ukaona utafute bishoo na blazaman ndio awe boyfriend wako.

Mabinti wa sasa kuna elimu kubwa sana mnakosa ya kuwafunza tofauti ya wanaume wa kufanya nao maisha na wanaume wa kupoteza nao muda.

Wewe ulikuwa unadate kwaajiri ya mapenzi ya kupoteza muda na sio mapenzi ya kuja kufunga ndoa na kuanzisha familia.

Usinambie kuwa wewe ulitaka na ulilenga kujenga familia na jamaa ila yeye akakuchezea huo ni uongo.

Mabinti wa siku hizi mnavigezo vya kipuuzi sana mnapochagua wanaume na nashukuru MUNGU huwa mnapata majibu haraka sana MUNGU huwa hawacheleweshi. Ila still bado huwa hamjifunzi chochote bado mnakuwa na maujinga mengi kichwani.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom