Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,625
Wewe unakubali vipi kuzaa na mwanaume ambaye hata hajulikani kwenu wala hajajitambulisha......?!Haikua bahati mbaya tulipanga kupata mtoto but ikatokea tu hataki tena na akataka nitoe kitendo cha kukataa kutoa hapo ndo imekua vita adi leo
Ni vipi ikaja kutokea mwanaume unae pata nae mtoto kumbe anatoka kimahusiano na ndugu yako mwingine na wameshazaa wakashindwana.....
Watoto wa kike sijui akili gani mnatumia now days.....