Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,407
- Thread starter
- #41
Afrika
hilo ni gari au tetenus aka pepopunda?
UK Dealers NeededHiyo chuma inaitwa Katambuga na ina mifumo maalum ya umeme mwingi sana hivyo hainywi, soko letu kubwa tutakapoiuza ni Uingereza, Ujerumani na Marekani...hao wengine hawana hela ya kununua hii.
COSTECH haitoi ufadhili wa project za wanafunzi, wewe ndo hujui pamoja na matusi yote gayoThis is stupidity of highest level. Kweli kabisa unadhani na wao wanaona hicho no kitu kabisa???
COSTECH inafanya kazi gani? Hawa wangeongezewa pesa ya study yao wangecome up with a better version. Ukimwambia mtaalamu kwamba hiyo ndio pilot version dah
I appreciate the efforts Ila workdone=0 sorry
Huuu ni ujinga hakuna vha kujivunia hapa yaani miaka hii ambayo technology iko advanced unatengeneza midoliTujitahidi kujivunia vya kwetu
Jivunie cha kwako hata kama ni kibayaHuuu ni ujinga hakuna vha kujivunia hapa yaani miaka hii ambayo technology iko advanced unatengeneza midoli
MmhUsiogope nitaingia taratiibu utaenjoy
Labda useme ku-assemble.Hivi tunashindwa nini kuanzisha foundry, kiwanda cha kukunjia mabati, rim na matairi? Cha waya East african cables dhumuni lake lilikuwa kuunda nyaya za aina zote zikiwemo za magari! Sielewi tunafeli wapi!
Kwa teknolojia ilipofikia kutengeneza gari ni kama keki tu! Sijui tunakwama wapi
Ama kweli swali zuri yenyewe huko barabarani yako kimya tu?Kwani magari yenyewe yanasemaje?
Inasikitisha sana kugundua kitu ambacho kilishagunduliwa na sahivi ni obsoleteMaguful katuachia mifumo mizuri ya ugunduzi,
Tunajivunia tozo