Be visionary...!wana JF mnaonaje mimi nikimtuhumu nyerere hafai kuitwa BABA wa Taifa .
Maana yeye hakuunga mkono wapinzani na suala la kuunda Katiba mpya
Be visionary...!
Tunasonga mbele sio kuangalia kunako nyuma!
Usitupotezee broda!
Tunajadili Kauli ya Dr Slaa KESHO!
wana JF mnaonaje mimi nikimtuhumu nyerere hafai kuitwa BABA wa Taifa .
Maana yeye hakuunga mkono wapinzani na suala la kuunda Katiba mpya
wana jf mnaonaje mimi nikimtuhumu nyerere hafai kuitwa baba wa taifa .
Maana yeye hakuunga mkono wapinzani na suala la kuunda katiba mpya
Angalia wewe utakamatwa muda si mrefu, kashifu wote lakini siyo BABA WA TAIFA yeye ndo aliyeleta vyama vingi hapa nchini.wana JF mnaonaje mimi nikimtuhumu nyerere hafai kuitwa BABA wa Taifa .
Maana yeye hakuunga mkono wapinzani na suala la kuunda Katiba mpya
wana JF mnaonaje mimi nikimtuhumu nyerere hafai kuitwa BABA wa Taifa .
Maana yeye hakuunga mkono wapinzani na suala la kuunda Katiba mpya
Nanukuu baadhi ya maneno yake:
Chama cha Mapinduzi, kwa sababu ya uzito wa historia yake, hadhi ya jina lake, mfumo wa wavu wake, mazoea ya watu, na ubovu wa Vyama vya Upinzani, kinaweza kuchaguliwa na Watanzania, pamoja na kansa ya uongozi wake. Au watu wanaweza wakachoka, wakasema, "potelea mbali:" wakachagua Chama cho chote, ilimradi tu watokane na kansa ya uongozi wa CCM. Hainifurahishi kuyasema haya, lakini uhai wa Nchi yetu unataka yasemwe. (Ukurasa 61)
Mwalimu hakuishia hapo, bali aliongezea namna hii:
Nilisema awali kwamba kansa ya uongozi ndani ya Chama cha Mapinduzi isingekuwa ni jambo la kutisha sana kama tungekuwa tumeanza kuona Chama kizuri cha upinzani kinachoweza kuiongoza Nchi yetu badala ya CCM. Ubovu wa uongozi ndani ya CCM ndio uliofanya nikapendekeza tuanzishe mfumo wa Vyama Vingi. Nilitumaini kuwa tunaweza kupata Chama kingine kizuri ambacho kingeweza kuiongoza Nchi yetu badala ya CCM; au ambacho kingekilazimisha Chama cha Mapinduzi kusafisha uongozi wake, kwa kuhofia kuwa bila kufanya hivyo kitashindwa katika uchaguzi ujao. Lakini bado sijakiona Chama makini cha upinzani; na wala dalili zo zote za kuondoa kansa ya uongozi ndani ya CCM. Bila upinzani mzuri wa nje, na bila demokrasia halisi ndani ya Chama cha Mapinduzi, Chama hiki kitazidi kudidimia chini ya uzito wa uongozi mbovu. Kwa hali yetu ya kisiasa ilivyo nchini hili si jambo la kutarajia bila hofu na wasi wasi! (Ukurasa 66)
wana JF mnaonaje mimi nikimtuhumu nyerere hafai kuitwa BABA wa Taifa .
Maana yeye hakuunga mkono wapinzani na suala la kuunda Katiba mpya[/QUOT
80% ya watanzania walisema wanataka mfumo wa chama kimoja na 20% walisema wanataka mfumo wa vyama vingi. Yule mzee kwa uwezo wa akili aliokua nao akaona hawa 20% ndo wananchi wangu walioelimika kwa wakati huo akaamua kuruhusu mfumo wa vyama vingi. Hawa waliobaki ndo hamna kitu kabisa