Wanajamii with all the respect hebu tuchukue nafasi hii kuwajadili viongozi wetu wawili mahiri katika Afrika yetu ya Mashariki waliochukua mikondo miwili iliyopinzana. Mafanikio yao, makosa yao pamoja na hatua nchi hizi mbili zilizopiga.
Tukianza na elimu, Kenyatta aliwacha kiingereza kuwa ni lugha ya kufundishia na Mwalimu alikifanya kama ni somo. Kenyata Ali-introduce Harambee na Mwalimu Akaja na azimio la Arusha na kadhalika.
Pia tujadili athari za maamuzi haya katika maisha yetu ya sasa kiuchumi, kielimu na kimaendeleo.
SAHIBA.
Tukianza na elimu, Kenyatta aliwacha kiingereza kuwa ni lugha ya kufundishia na Mwalimu alikifanya kama ni somo. Kenyata Ali-introduce Harambee na Mwalimu Akaja na azimio la Arusha na kadhalika.
Pia tujadili athari za maamuzi haya katika maisha yetu ya sasa kiuchumi, kielimu na kimaendeleo.
SAHIBA.