Nyerere, Sitta na Lowassa: Pembe tatu ya siasa za Tanzania

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,845
141,767
Hawa ni viongozi wenye itikadi tofauti ambazo hazikuwa wazi sana kwakuwa itikadi ya chama iliwabana.Wote wana ushawishi na ufuasi wa kutosha.Nyerere ni kama ameshapata mrithi wa itikadi yake,Lowasa tunaye je ni nani atavaa viatu vya Sitta?Au ameondoka na zama zake na kwahiyo tutabaki na itikadi ya mwalimu ambayo bado inaishi na ya ubepari ikisimamiwa kichama na chadema!
 
Hawa ni viongozi wenye itikadi tofauti ambazo hazikuwa wazi sana kwakuwa itikadi ya chama iliwabana.Wote wana ushawishi na ufuasi wa kutosha.Nyerere ni kama ameshapata mrithi wa itikadi yake,Lowasa tunaye je ni nani atavaa viatu vya Sitta?Au ameondoka na zama zake na kwahiyo tutabaki na itikadi ya mwalimu ambayo bado inaishi na ya ubepari ikisimamiwa kichama na chadema!
Mawazo hewa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Sijawahi kuuona Ushawishi wa Sitta kwa Watanzania.
Nyerere sawa.
Lowasa kukurukakara zake kila mtu aliziona kuanzia Chimwaga mpaka kwenye Uchaguzi wa Urais.
 
Hawa ni viongozi wenye itikadi tofauti ambazo hazikuwa wazi sana kwakuwa itikadi ya chama iliwabana.Wote wana ushawishi na ufuasi wa kutosha.Nyerere ni kama ameshapata mrithi wa itikadi yake,Lowasa tunaye je ni nani atavaa viatu vya Sitta?Au ameondoka na zama zake na kwahiyo tutabaki na itikadi ya mwalimu ambayo bado inaishi na ya ubepari ikisimamiwa kichama na chadema!
Viongozi wa CCM ni makanjaja hakuna lolote huyu tuliyenaye sasa ndo kanjaja mara dufu ile ndoto itimie tupumzike
 
Hivi "huyo ambae tuhuma za kutia shaka uadilifu wake kiuongozi, nikizisikia tokea mwaka wa 1995, akiwa waziri wa ardhi, pale watanzania wa asili ya kiasia, waliokuwa ktk mgogoro na wenzao, juu ya kiwanja kilichopo makutano ya bibi titi, na azikiwe, waliposema bila kumung'unya maneno, kuwa wizara yake yoote, imeoza kwa rushwa"...anaweza vipi kulinganishwa na wazalendo wa aina ya JKN, au SJS?
 
Mbona mnaidhalilisha siasa ya Tanzania? Labda usema hayo ni mawazo yako tu ambayo mimi binafsi sikubaliani nayo..
Sita hafai kuongia kwenyw siasa za Tanzania kwa kutunyima katiba.. Angalia sasa hivi watu mil 50 tunateseka kwa sababu yake.. Shame on him.
 
Back
Top Bottom