Nyerere ndio alisababisha Rushwa, Umaskini, Ufisadi Tanzania

tuachane na longolongo za marehemu. katuacha hai, hatuko vitani, na muundo wa nchi unaoeleweka. tukae chin tupige kazi
 
Huyu jamaa ni mtupu kichwani na ameonesha jinsi asivyo jua chochote kuhusu nchi yake zaidi ya kuropoka tuu kwenye radio! Hivi hajui kama Idd Amini alitaka kuchukua ardhi ya Tanzania(kagera), na pamoja na kuonywa Idd Amini aliendelea kuchokoza tanzania na kwenda kufanya vurugu mtukula na akidai eneo la tanzania ni lake!

Kweli hizi hazikuwa sababu tosha kwa Idd Amini kushikishwa adabu? Hivi leo tunaweza kumuacha kweli Joyce banda akachukua ardhi yetu kirahisi?


Yani nashindwa kuamini kama huyu alisoma hata kidogo, kwakweli kibonde ni mtupu sana kichwani sijui uandishi wa habari
ameusomea wapi? Hivi kwa nini wanajidharirisha kiasi hiki? Hivi kwanini asikae kimya kama hajui au aulize tumwambie?

Kibonde huu utoto wako unaidharirisha clouds fm!
Jana katika kipindi cha jahazi cha radio clouds FM, mtangazaji wa wa kipindi Bw, Kibonde katika kujadiri kigoda cha Mwalimu Nyerere, Kibonde alisema kuwa Baba wa taifa Hayati Mwl J.K Nyerere (R.I.P) ndiye aliyeleta anguko la uchumi wa Tanzania wakati nchi aliikuta katika hali nzuri sana, aliendelea kusema kuwa Mwalimu kuamua kwenda vitani na Uganda ndiyo chanzo cha umasikini ulipo mpaka sasa. Kibonde aliendelea kuutangazia umma kuwa hapakuwa na sababu ya kwenda vitani kwaani Idd Amin hakuwa ameichokoza Tanzania. Ila Mwalimu alikuwa na sababu zake binafsi. Niliposikia habari hii binafsi niliona ni vibaya na kukosa heshima kwa kumsema baba wa Taifa katika chombo cha habari huku hakuna upande wa pili kulisemea jambo hili, Je taaluma ya habari inasemaje? Je ni halali kumsema mtu wakati hakuna upande wa pili wa kulisemea jambo hili. Na kama ni kweli hapakuwa na sababu ya kewnda vitani je Uganda wadai tuwalipe compensation ya kuanzisha viat bila sababu? Kama kibonde amepotoka tunaomba serikali iliweke sawa swala hili kwaani habari inavuka mipaka ya nchi.

UTAIFA KWANZA SIASA BAADAE.
 
Kwa watu wengi wa nchi hii ukweli ukisemwa juu ya nyerere, wanalalama eti nyrere kasemwa vibaya. Baba yao wa taifa.
 
Jana katika kipindi cha jahazi cha radio clouds FM, mtangazaji wa wa kipindi Bw, Kibonde katika kujadiri kigoda cha Mwalimu Nyerere, Kibonde alisema kuwa Baba wa taifa Hayati Mwl J.K Nyerere (R.I.P) ndiye aliyeleta anguko la uchumi wa Tanzania wakati nchi aliikuta katika hali nzuri sana, aliendelea kusema kuwa Mwalimu kuamua kwenda vitani na Uganda ndiyo chanzo cha umasikini ulipo mpaka sasa. Kibonde aliendelea kuutangazia umma kuwa hapakuwa na sababu ya kwenda vitani kwaani Idd Amin hakuwa ameichokoza Tanzania. Ila Mwalimu alikuwa na sababu zake binafsi. Niliposikia habari hii binafsi niliona ni vibaya na kukosa heshima kwa kumsema baba wa Taifa katika chombo cha habari huku hakuna upande wa pili kulisemea jambo hili, Je taaluma ya habari inasemaje? Je ni halali kumsema mtu wakati hakuna upande wa pili wa kulisemea jambo hili. Na kama ni kweli hapakuwa na sababu ya kewnda vitani je Uganda wadai tuwalipe compensation ya kuanzisha viat bila sababu? Kama kibonde amepotoka tunaomba serikali iliweke sawa swala hili kwaani habari inavuka mipaka ya nchi.

UTAIFA KWANZA SIASA BAADAE.
Ndo maana wenye akili zao walishasema kichwa siyo kwa ajili ya kifuga nywele. Nyerere aliipokea nchi ikiwa nzuri kutoka kwa nani?


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
kweli tukitaka maendeleo ya kweli itabidi kizazi chote cha nyerere kiondoke madarakani.akiwemo na dr slaa pia.
 
Enough with romantization of Mwalimu.

99% ya watawala wetu leo wote walilelewa na mwalimu hivyo ni uzao wake

kwa hiyo its fair to say matatizo yetu yalianza toka enzi zake na sasa wanaendelea kuruthishana kama ambavyo CCM wanawapitisha watoto wao kuchukua na nafasi na CHADEMA akina mtei kuwaandaa akina Mbowe kututawala

Mimi naona Mwalimu ndio cause ya matatizo yetu yote haya

hakutaka accountability wala transparency kwa hiyo wanasiasa wetu wa leo wanaendeleza yale yale ya mwalimu.

Kama hamuamini Tazama Cabinet imejaa akina nani na wametokea wapi? Mtu kama Mathias Chikawe tazama profile yake utaelewa naongelea nini

Kama wewe ungekua Nyerere ungefanya nini wakati ule? Mbona kuna watoto wa masheikh na maaskofu ambao ni wahuni na wahovyo, tuwalaimu baba zao?
 
Mtatukana sana ila Hakuna kama nyerere nchi hii.
kweli kuna mijitu haina Shukrani
  • hapa kuna Makabila mengine yasingesikika leo
  • Kuna watu wasingesikika kabisa kwani Nyerere ni mtoto wa Mtemi na Watemi wangetawala daima
  • Sisi tusingesoma kabisa tungebaki kuchunga ng'ombe kwani ukoo wetu wote hawakubahatika kuwa na Shule
  • MWISHO HII MIJITU ITAJASEMA HUKUNA MUNGU NA KAMA YUPO ASIMAME MBELE YAO
Game Theory wewe una matatizo ya kiakili au huna fadhila waulize Congo, Msumbiji, Somalia nk hivi Nyerere angewapendelea Watutsi ambalo linasemekana ni Kabila lake wewe ungeweza kufikia hapa?
 
Last edited by a moderator:
kuna mwandish mmoja aliwah kuandika kuwa huku kupotea kwetu kumepitiliza kupotea. nianze tu kuwakumbusha wote wasiojua ni kuwa cku zote rais yule wa kwanza huwa halet maendeleo kazi yake kubwa ni kuset taifa kwa maana kuwaandaa watu kiakili na kisaikolozijia na kuweka misingi imara ya taifa. mara nyingi yule anaefuata ndio ufunguo wa taifa. katika mataifa nimekaa ni China. kule yule mzee Mao na kundi lake walichofanya ni kuiset china kwa kuwaanda watu wajitambue kwa utaifa wao na uzalendo kuweka na kusimamia plan za muda mfupi na muda mrefu. baada ya yule mzee kufa yule aliyefuata ndio ameifanya China iwe kama ilivyo aliwah kunukuliwa akisema kuwa kwenye masuala ya uchumi yeye hata chagua paka wa rangi gan mradi anajua kukamata panya akimaanisha hataangalia afuate sera za uchumi wa aina gan uwe ubepar au ukomunist anachoangalia yeye ni ule unaoleta maendeleo kwa haraka na nyie ni mashahd ukienda china leo na Cuba au Russia utajua hawa watu wanafuata mfumo gan. ukirud kwa nyerere ni wale wavivu wa kufikir tu wanaweza kumlaumu, yule mzee ni wale watu maalum wanaozaliwa wamejitoa kwa taifa lao. sasa mimi binafs cwapingi coz kuna watu wanapinga yule mzee kwasabbu ya dini yake, wengine ni wale waliozea kufanyiwa kila kitu na serikal au jamaa zao ni watu ambao hayaamin mawazo yao ukikutana nao sana sana wanaweza kukuhadisia labda baba yangu alichezea maisha ndio maana nateseka, wanataka cku zote watu wa aina hiyo ukikutana nao wanasingizia historia. hawajui kuwa na wao kuna siku watakuwa historia.
 
Jana katika kipindi cha jahazi cha radio clouds FM, mtangazaji wa wa kipindi Bw, Kibonde katika kujadiri kigoda cha Mwalimu Nyerere, Kibonde alisema kuwa Baba wa taifa Hayati Mwl J.K Nyerere (R.I.P) ndiye aliyeleta anguko la uchumi wa Tanzania wakati nchi aliikuta katika hali nzuri sana, aliendelea kusema kuwa Mwalimu kuamua kwenda vitani na Uganda ndiyo chanzo cha umasikini ulipo mpaka sasa. Kibonde aliendelea kuutangazia umma kuwa hapakuwa na sababu ya kwenda vitani kwaani Idd Amin hakuwa ameichokoza Tanzania. Ila Mwalimu alikuwa na sababu zake binafsi. Niliposikia habari hii binafsi niliona ni vibaya na kukosa heshima kwa kumsema baba wa Taifa katika chombo cha habari huku hakuna upande wa pili kulisemea jambo hili, Je taaluma ya habari inasemaje? Je ni halali kumsema mtu wakati hakuna upande wa pili wa kulisemea jambo hili. Na kama ni kweli hapakuwa na sababu ya kewnda vitani je Uganda wadai tuwalipe compensation ya kuanzisha viat bila sababu? Kama kibonde amepotoka tunaomba serikali iliweke sawa swala hili kwaani habari inavuka mipaka ya nchi.

UTAIFA KWANZA SIASA BAADAE.

Nakubaliana na uliyoyasema, sikuelewa Jana Kibonde alikua anamaanisha nini? Kwa kweli nilikereka kwa aliyokua akiyasema. Ingekua hata busara kwa yeye kutupa angalau reference ya yale aliyokua akiyaongea.
Nasikia sio muajiliwa wa Clouds Fm ila ni day worker tu sasa kiburi cha kuongea yote hayo anakitoa wapi? Pia nilisoma moja ya makala za Lula Mwananzela kwenye Raia Mwema kuwa kuna watu wanataka kubadili historia ya nchi hii na kumshambulia Baba wa Taifa na Dr FastJet akiwemo, kwa connection za Kibonde naona jana haikua bahati mbaya.
Lakini mtu mzima kusema uongo ni AIBU KUU.
 
Nyere enzi zake meneja wa posta akila rushwa alikuwa anahamishiwa shirika la bima.
 
Mbona sikuelewi? Mimi nakuambia Nyerere kawacha mazuri tu, alikuta nchi haina kiwanda alipoondoka yeye vimejaa viwanda na vinafanya kazi. Vya machine tools, vya nguo, vya matrekta, oohh tena Tanzania tulikuwa tunazalisha Matrekta bora duniani, yanaitwa Velmet, hivyo vyote ni viwanda alivyoacha Nyerere vinazalisha kwa wingi sana. Kaacha uchumi uko juu sana, tuna akiba kibao benki. hatuna madeni wala hatuhitaji msaada. Nani anaesema Nyerere hajafanya kitu?

so from fall of mkwawa isike et el tulipoteza mwelekeo, hata nyerere alirithi philosophy za kikoloni. niambie before ukoloni what we had that nyerere did not endeleza?
 
Mwalimu alisababisha Fundikira akachapwa viboko kwa rushwa! Chenge na Rushwa ya Radder amefanywa nini? Karamagi alisaini mikataba Casino amefanywa nini? Mkapa aliihujumu TANESCO live kwa kuwaleta NETGROUP SOLUTION na mikataba mibovu yote plus ANBEN kunyakua KIWIRA! Hawajashtakiwa... Nyerere alijitahidi sana kipindi chake, Elimu ilikuwa bure, Huduma Bure za Afya, Kilimo kilishamiri, Viwanda vilifanyakazi, Mashamba makubwa yalikuwa yanazalisha ONLY Hujuma za mataifa ya ulaya kumpiganisha vita na Amin plus mdororo wa uchumi kwa nchi washirika ndo zilizosababisha uchumi wetu kusuasua!

Miaka 27 baada ya Mwalimu 60% ya wanafunzi wanafeli! 5000 wamefaulu lakini hawajui kusoma wala kuandika, CCM wameingia mikataba ya kugawa Rasilimali zetu bure bure... RIP Mwalimu, Uliipigania nchi yako, bahati mbaya sana umeacha nazi nyingi tena koroma! wanatoa almasi, dhahabu, uranium, nickel, Tanzanite kwa kupewa ahadi feki kuwa wamewekewa $$$$$ uswis! Wanahangaikia maendeleo ya vitu vyao vichache na kuacha kuhangaikia maendeleo ya watu uliyo ya asisi...
 
Alituachia UWT ambao wanafanya madudu sasa
Alituachia Jeshi la Polisi
Alituchagulia Mkapa
 
Alituachia UWT ambao wanafanya madudu sasa
Alituachia Jeshi la Polisi
Alituchagulia Mkapa

Hivi umewahi kujiuliza asingetuchagulia Mkapa tungekuwa wapi sasa hivi? Taani tungekuwa ten times worse off than we are today.
 
Enough with romantization of Mwalimu.

99% ya watawala wetu leo wote walilelewa na mwalimu hivyo ni uzao wake

kwa hiyo its fair to say matatizo yetu yalianza toka enzi zake na sasa wanaendelea kuruthishana kama ambavyo CCM wanawapitisha watoto wao kuchukua na nafasi na CHADEMA akina mtei kuwaandaa akina Mbowe kututawala

Mimi naona Mwalimu ndio cause ya matatizo yetu yote haya

hakutaka accountability wala transparency kwa hiyo wanasiasa wetu wa leo wanaendeleza yale yale ya mwalimu.

Kama hamuamini Tazama Cabinet imejaa akina nani na wametokea wapi? Mtu kama Mathias Chikawe tazama profile yake utaelewa naongelea nini
mmmh. Kweli akutukanaye akuchagulii tusi! Tumekusoma mkuu!
 
"katika uongozi wangu,tumefanya mambo mazuri,na pia tumefanya ya kipuuzi....tatizo lenu mnaacha kuendeleza yale mazuri mnafuata yale ya kipuuzi" aliwah kutamka mwalim!!!
 
La kuongezea hapa katika historia ya tanganyika hata siku moja wakti wa ukoloni haikuwai kutokea neno Rushwa. Neno Rushwa na ufisadi uliasisiwa wakti wa utawala wa Mwalimu JKN na ilianzia mwendo wa kuruka katika bidhaa muhimu na hadimu na kuendelea mpaka leo mnaita ufisadi na kuzunguka mlango wa nyuma ambayo sasa inaitwa rushwa.

ujakosea kabisa yeye ndio muasisi wa yote
 
Back
Top Bottom