Nyerere na Wachina waliwezaje kujenga reli ya TAZARA kwa miaka minne tu KM zaidi ya 2000?

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
Je, kuna hujuma za muda wa kukamilika mradi unaofanywa na makandarasi?

Reli ya TAZARA ilipitia njia ngumu Sana yenye milima na mabonde mengi. Lakini mradi ulichukua muda mchache Sana.

Ilijengwa kwa miaka tokea '70 mpaka '75 tu. Yenye taaluma za zege Kama hii ya kisasa.

Kilomita zaidi ya 1800
Kwa Kasi ya mradi wa Sasa inaweza kuchukua miaka 25 Hadi 30 reli kufika kigoma.

Ni vyema Miradi ya serikali iwe na time limit sio mradi unaanza hujulikani utakamilika lini.

Wachina kupitia Exim Benki walihaidi kutoa mkopo wa tilion 16 kumaliza mradi wote. Kwanini wasiutoe tu kwa pamoja huo mkopo ili wakandarasi wagawiwe vipande uishe kwa muda mfupi uanze kuingiza pesa turejeshe Deni lao kwa wakati.
 
Reli ya Tazara sio SGR wewe
Reli zote ziko Sawa tuu
ila hii itakuja tuu kuwekwa post za umeme.

treni-ya-kisasa.jpg
 
Chadema mumepanga lile banda LA kufugia kuku mnalotumia kama makao makuu kwa miaka mingapi?

Huu sasa ni ugomvi wa wazi kabisa! Mimi kwanza siyo Chadema hivyo sina cha kujibu. Ila na wewe usisahau karibia majengo yote na viwanja mlivyojimilikisha, vikiwemo vya michezo mlivichukua kijanja janja tu.

Vilijengwa enzi za mfumo wa chama kimoja! Hivyo Chadema ikifanikiwa kuchukua Nchi mwaka huu, tutawashauri wataifishe vyote ili virudishwe kwa Watanzania.
 
Back
Top Bottom