William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Je, kuna hujuma za muda wa kukamilika mradi unaofanywa na makandarasi?
Reli ya TAZARA ilipitia njia ngumu Sana yenye milima na mabonde mengi. Lakini mradi ulichukua muda mchache Sana.
Ilijengwa kwa miaka tokea '70 mpaka '75 tu. Yenye taaluma za zege Kama hii ya kisasa.
Kilomita zaidi ya 1800
Kwa Kasi ya mradi wa Sasa inaweza kuchukua miaka 25 Hadi 30 reli kufika kigoma.
Ni vyema Miradi ya serikali iwe na time limit sio mradi unaanza hujulikani utakamilika lini.
Wachina kupitia Exim Benki walihaidi kutoa mkopo wa tilion 16 kumaliza mradi wote. Kwanini wasiutoe tu kwa pamoja huo mkopo ili wakandarasi wagawiwe vipande uishe kwa muda mfupi uanze kuingiza pesa turejeshe Deni lao kwa wakati.
Reli ya TAZARA ilipitia njia ngumu Sana yenye milima na mabonde mengi. Lakini mradi ulichukua muda mchache Sana.
Ilijengwa kwa miaka tokea '70 mpaka '75 tu. Yenye taaluma za zege Kama hii ya kisasa.
Kilomita zaidi ya 1800
Kwa Kasi ya mradi wa Sasa inaweza kuchukua miaka 25 Hadi 30 reli kufika kigoma.
Ni vyema Miradi ya serikali iwe na time limit sio mradi unaanza hujulikani utakamilika lini.
Wachina kupitia Exim Benki walihaidi kutoa mkopo wa tilion 16 kumaliza mradi wote. Kwanini wasiutoe tu kwa pamoja huo mkopo ili wakandarasi wagawiwe vipande uishe kwa muda mfupi uanze kuingiza pesa turejeshe Deni lao kwa wakati.