Juaangavu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2009
- 935
- 132
Nina wasiwasi na upeo wako wa kufikiri.Hata kama kweli umelipwa kupandikiza udini nchini,unafikiri ni sahihi?Unaonekana upo tayari kutetea ujinga mradi tu mwenye huo ujinga ni dini moja wa wewe.Na upo tayari kupingana na busara yoyote ati kwa kuwa busara hiyo inatoka kwa m2 mwenye dini tofauti na wewe!Kusema kwamba JK alijibu vizuri hilo swali umeonyesha wewe ni mtu wa aina gani.Inaonekana hata ungekuwa wewe umeulizwa hivyo ungeboronga zaidi kuliko hata unaemtetea.Ungesema umeona mito na mabonde kwa akili yako nilivyokusoma.Kama raisi na mgombea anayetetea kiti na ambaye ameshakuwepo madarakani miaka mitano,kwa lile jibu alienda kinyume na mantiki ya swali.Umesema nimefeli shule lakini kutambua swali linataka nini wala haliitaji shahada ya BA.Economics!That's why mwenye elimu hiyo hakulitendea haki swali,hata mimi 'niliyefeli nisingejibu shalow vile'.Iweke akili yako huru usibanwe na udini ndipo utakapoweza kutoa hoja ambazo haziko biased na udini.
Hivi jamaa ni Mchumi, aliahidi kazi kwa watz za kufungua vizibo vya bia. Tehe tehe! Anatwanga safari kwenda kuomba vyandarua in exchange of bars of gold. Kazi kweli kweli