OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,714
wewe utakuwa unafuatisha imani za kidiniNyerere❌
Mwinyi✅
Mkapa❌
Kikwete✅
Magu❌
Samia✅
wewe utakuwa unafuatisha imani za kidiniNyerere❌
Mwinyi✅
Mkapa❌
Kikwete✅
Magu❌
Samia✅
unafikiri wavaa madera wengi wao wanajitambua?. Uswahili tu na majungu hawawezi kazi hao.wewe utakuwa unafuatisha imani za kidini
Nyerere alizoea vya kunyonga,By Tindu Lissu 😄😄Unamkosea heshima JK Nyerere kwa kumfananisha na vitu vya ajabu.
Unamkosea heshima Mwalimu Nyerere kumlinganisha na wahuni. Koma kabisa.Ni wazi CCM wanaamini kukosoana wenyewe ni kosa la jinai na hasa kumkosoa mwenyekiti ni dhambi isiyovumika!!
Vyama upinzani wanayo hii pia, Ila kwakuwa mada inawaangazia hao mashujaa watatu, ndipo nimeitaja CCM!
Ndani ya CCM usikosoe serikali hadharani
Watakushughulikia kungali kweupe!
Hii desturi si njema kwa afya ya Taifa, na hii inatokana na desturi ya kuthamini chama kuliko Taifa.
Hadi Sasa, kumbukumbu zangu zinaniambia, ni watatu wamethubutu kukiuka huo mwiko na kuonekana mashujaa, wakaamua waziwazi kusema wanaCCM wanakosea katika hili au lile
Kukosoa watendaji wa serikali ukiwa ndani ya CCM, ni ujasiri mkubwa!
Tunaomba Wana CCM tubadilike,
Uhai wa chama ni uwajibikaji Bora wa watendaji wetu.
Tujisahihishe
Hio nayo ni sehemu ya kumuenzi Mwl Nyerere!
Acha kabisa kumfananisha Mwalimu Nyerere (RIP) na vitu vya ajabu
Zanzibar inajitesa yenyewe,
unafikiri wavaa madera wengi wao wanajitambua?. Uswahili tu na majungu hawawezi kazi hao.
Ushujaa ni nini?Hoja ya msingi ni tabia ya kutotaka kukosoana, na sio ufananisho wa hao watu
unafikiri wavaa madera wengi wao wanajitambua?. Uswahili tu na majungu hawawezi kazi hao.
Hakuna mwenye jeuri kama magu tena mambo shwaliNi kweli inajitesa yenyewe kwani majeshi ya Tanganyika yapo kila mtaa pamoja na watu wasiojulikana kutoka Tanganyika . wanasubiri uchaguzi /uchafuzi ufike wauwe watu na kutia vilema watu huku wakinajisi na kuiba
wewe utakuwa unafuatisha imani za kidini
unafikiri wavaa madera wengi wao wanajitambua?. Uswahili tu na majungu hawawezi kazi hao.
😳😳😳😳kazi kweliHebu tuondolee huo ujinga hapo mwishoni! Shujaa hatumii KY