johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,542
- 141,351
Nasoma moja ya vitabu vilivyoandikwa na hayati Julius Kambarage Nyerere, kwa kweli vimejaa hekima na busara.
Naipima Tanzania na vigezo vya maendeleo alivyoainisha Mwalimu Nyerere kwamba ni watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora.
Bado sijajua Tanzania tunakosa nini katika hivyo vinne!
Je, kuna tofauti kati ya mtu na binadamu?
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Naipima Tanzania na vigezo vya maendeleo alivyoainisha Mwalimu Nyerere kwamba ni watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora.
Bado sijajua Tanzania tunakosa nini katika hivyo vinne!
Je, kuna tofauti kati ya mtu na binadamu?
Nawasalimu kwa jina la JMT!