Regnald Patrick Almasi
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 325
- 155
Unajuwa vigezo vya kuitwa mtakatifu! Kama ni mapungufu basi hata Mungu kuumba wengine weusi na wengine weupe, au vilema na wengine wafupi na wengine warefu alikosea, maana yangu kila kitu kilichofanyika wakati wake kilikuwa sahihi! Mnamsema hayo sasa kwa sababu kuna vitu vya kupigia mfano fananisheni na zama hizi mtuambie kama hamuoni chochote!A government is an instrument of oppression (Prof. Chamungwana UDSM-RIP). Nyerere was heading the government and therefore he oppressed many! How comes that he is to be a Saint?