Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

Kosa kubwa sana la Nyerere ni kuwekeza resources nyingi sana kwenye ukombozi wa Africa akasahau ukombozi wa watu wake kiuchumi. Alijua ukishapata uhuru tu basi kumbe mtu masikini hayupo huru. Mengine alijitahidi kwakweli maana wazee wetu masikini walisoma bure.Labda isingekuwa jitihada zake za kuwekeza South Africa, Mozambique,Rhodesia, Angola, Namibia etc tungeweza kuwa mbali kiasi.

Mimi nakumbuka early 80's ukienda ugawaji National Milling kupanga foleni ni balaa kabisa. Marehemu dada yangu alipigwa kofi kwenye foleni ya sukari akiwa na umri wa miaka 7. Bahati mbaya alikuwa na Sickle Cell ndio ikawa chanzo cha msururu wa matatizo hadi kifo.
 
mimi nadhan tumefika hapa tulipo kwa upuuzi, ujinga na udikteta wa mwl.nyerere. Nimefatilia lile azimio lake la kijinga la Arusha daaah kiukwel alikuwa ana agenda binafsi yule mzee na ndio maana hayat mzee karume alisema azimio la arusha liishie chumbe znz hawalitaki. Umafia alioufanya ni wa kutisha hasa kwa wapinzani wake
 
Ninaweza kusema kwaujasiri kabisa kwamba wewe una miaka si zaidi ya 16, hujawahi kumuona nyerere akiwa hai, humjui,humfahamu wala hujawahi kuona tanzania kabla ya mwaka 1998. Huijui historia ya tanzania, na kama umewahi kuisoma umechagua kuto kuitilia maanani, hivyo hufahamu tumetoka wapi, tumepitia wapi na hata sasa tuko wapi.

Ninaweza kusema kwa ujasiri kabisa kuwa wewe simsomaji wa vitabu. Na hujawahi kusoma kitabu chochote chenyekuelezea habari ya tanganyika na uhuru wake, siasa ya ujamaa na kujitegemea, azimio la arusha, vita ya kagera, viwanda na uzalishaji tanzania wala hujui chochote kuhusu national policy za tanzania kipindi hicho wala sasa.

Nitasema tena na kwa ujasiri mkubwa, kwamba si tu kwamba wewe una umri mdogo sana kumzungumzia nyerere kama vile unamfahamu, wewe pia simfuatiliaji hata wa mambo ya sasa, current affairs za taifa hili katika nyanja zote za uchumi na hata siasa huzifahamu., kwamfano, hujui Tanzania Vision 2025 nini nini na inavitu gani. hujui NSGRP ni nini na ina clusters gani. Hufahamu kabisa hata policy zakawaida kabisa kama KILIMO KWANZA nikitu gani zina malengo gani na zinatekelezekaje? hujui hata habari za uchumi wa kimataifa wa sasa kama kwamfano MDG's nivitu gani na targets zake ni zipi huzijui., wala hufuatilii., ninasema hivi kwasababu hata argument yako ni shaky na imejengwa juu ya msingi usio informed vyakutosha.

lakini umesukumwa na mihemuko tu na kuja kuandika vitu usivyo vifahamu hapa!

lakini niwieradhi, kama unaumri mkubwa zaidi ya miaka kumi na sita, na kama umewahi kumuona mw. nyerere akiwa hai, na kama ulikuwepo tanzania kabla ya 1998, na kama umewahi kusoma habari za azimio la arusha na siasa ya ujamaa na kujitegemea na kama umewahi kujua kuhusu vita vya kagera na kama unajua kuhusu viwanda na uzalishaji wa tanzania kipindi kile., nabado ukaya andika haya uliyo yaandika., niwieradhi kwa kukudhania haya yote! kwakua umeandika kama mtoto wa miaka kumi na sita anaye mzungumzia nyerere asiye mjua!!

ninachoweza kukuambia tu ndugu yangu nikwamba tanzania hii imetoka mbali sana, na chochote unachokiona kipo sasa hivi ni matokeo ya misingi iliyo wekwa ya utaifa hapo mwanzo.

natambua yako madhaifu ya uongozi wa kipindikile pia lakini lazima unapotaka kutathmini na ku comment juu ya ufanyaji kazi wa mtu flani wakati flani, Ni muhimu ku take into consideration mazingira ya wakati huo.

Kwa haya mengi niliyo sema, Ninaomba kutokubaliana na wewe kwa sehemu kubwa, hasa pale uliposema uongozi wa nyerere ulikua corrupt, hatakama yeye hakuwa korupt, na kwamba eti hakuwa mkali kwa viongozi iresponsible, tena viwanda vilikufa mikononi mwake., ninasisitiza tena ni muhimu kuangalia mazingira ya wakati ule kabla huja nyoosha kidole ku criticise mtu kwa kitu chochote.
nevertheless, sisemi nyerere alikua malaika!
comrade,
niwieradhi.
Aisee! Ndo taabu yenu...karibu wote tatizo lenu lipo pale pale....ni kukanusha mwanzo hadi mwisho lakini hamtaki kusema hayo mazuri! hamtaki kujibu hoja kwa hoja..anyway, thanx for ur contribution!
 
Insane..mtoa mada umeipresent kwa bias,umeipresent kwa udini na chuki..ni kosa kujistify ugoi goi wa Jk eti kwa sababu mwalimu alikua goi goi..ni ujinga. Usilinganishe kasi ya ukuaji wa maendeleo sasa na wakati ule mf.hakuna resource ya nchi hii ambayo haijauzwa hivyo kuongeza wigo wa kodi lakini mpaka mwaka jana april ni makampuni yasiyopungua 530 yanachimba Tanzanite,kati ya hayo ni 13 tu yanatunza na kuwasilisha taarifa zake lakini ni makampuni 3 tu yanayolipa kodi..ujuha mkubwa, bado namuunga mkono mwalimu kwa siasa ya ujamaa na kujitegemea ni bora tungefukia mashimo ya migodi tukaendeleza kilimo kwanza. Mpaka sasa rasilimali tunazozigeuza kua disgrace tunazo kwa sababu ya mwl.

Sijui unaongeleaje selikali corrupt kwa kulinganisha na enzi za mwalimu tena kwa kumsifia mzee mwinyi “eti fagio la chuma",kwa nchi alipoipokea shujaa huyu aliyeiongoza kwa maadili makubwa na falsafa kubwa hatumtendei haki kupindisha vision zake. Pamoja na kua na wasomi kibao bado hatujafanya lolote..eg. Kushindwa kwa prof.tibaijuka..namshauri angeaza na kupanga kodi za nyumba dar kama sumatra wanayopanga kodi za nauli nchi imekua kama Ghana kwenye makazi.
sasa tukumbushane uozo wa sasa..visa vya madawa ya kulevya, viongozi kushindwa kuwajibika, unafiki wa wapinzani, kupanda kwa gharama za maisha, umeme [hoja binafsi], ubovu wa barabara eg.kurudiwa kwa barabara ya tegeta mwenge kabla hata ya kukabidhiwa..tuungane wote bila kujali inferiority ya dini ya mtoa mada kudai mabadiliko na tusipoteze muda kuchafua legacy ya mwalimu.
Mwisho namshukuru mlw nami nmeweza kumiliki kijieneo ningekua kenya sijui ingekuaje.
Nimekudharau tangu mwanzo tu wa hoja yako na wala sikujisumbua kusoma baada ya kuona nawe ni mmoja wa wenye hoja mbovu na za hovyo hovyo!! You've all it take to be ignored...
 
Wewe mleta uzi huu;
1.0. Unavuta bangi hana ubungo wako umeathirika au
2.0.Waraka huu umeandika ukiwa klabuni ukigegeda komini au
3.0. Una laana aidha ya mama au baba yako au
4.0.Mila ambazo umekuwa ukifanyiwa tangu utoto ktk ukoo wa baba yako sio sawa kwani wewe huyo sio baba yako halali!
Sasa kama mimi ni mvuta bhangi wewe sijui utakuwa unavuta nini sijui ikiwa hii ndiyo limiti ya uwezo wako wa kufikiri!
 
Kwa kifupi mleta mada ni mongoloid Nahisi hawezi ku manage hata maisha yake mwenyewe.Makosa kwa binadamu yapo lakini hayajustify kumshusha mwalimu kiasi hiki.His legacy shall stay
Thanx mr. Clever-Dick lakini jifunze kujibu hoja badala ya kuleta viroja!
 
Nasdaz

Nyerere alifanya mazuri kwa wakati wake.Kwa mfano nyerere ametujengea misingi ya amani na umoja tunaojivunia mpaka leo.La sivyo Tanzania ingweweza kuwa kama Kongo mana ina ardhi na madini yanayoweza kupiganiwa na nchi nyingine ndani ya ardhi yetu .Sawa huenda alikuwa na madhaifu yake na hata yeye alisema hakuwa malaika.Kinachokera ni wewe kumwandika as if hakuwa na hakufanya lolote.Hukumtendea haki.Pia unaweza kuchangia kwa lugha nadhifu na ukaeleweka tu.Huna haja ya kudhihaki
 
Kama kawaida mkuu, hawana hoja ni mipasho tu na wala hajui anasema kitu gani. Anadai Nyerere alikuwa ndio favorite president wake na wakati huo huo anasema alikuwa pamoja na Mwinyi the two poorest presidents in Tanzania. Inakuwaje your favorite anakuwa tena the poorest?
Hi ni mipasho ya pwani tu. Pamoja na upungufu wake kama kiongozi, kusema Mwl hakuwa mkali kwa wala rushwa ni upuuzi uliopita kifani.
Nani asiyejua kuwa wakati wa Mwinyi ndio rushwa iliota mizizi Tanzania?
Mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni,
Na wewe ndo umeongea nini hapa? c kila thread lazima uchangie especially kama huna hoja ya msingi!
 
Kwa kuwa umeanza kwa kujitambulisha kuwa wewe ni muislamu nadhani itakuwa ngumu sana kukubali nguvu ya hoja kwa sababu hoja zako zitasukumwa zaidi na imani kuliko uhalisia, ila napenda kukushauri huwezi kupima mafanikio au mapungufu ya Original JK kwa kulinganisha na maraisi waliofuata (Mwinyi, Benjamini na Fake JK or JM) bila kuangalia nchi jirani zilifanya nini wakati huo wa NYERERE na zinafanya nini sasa (kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na kijamii). LABDA nikuulize unadhani umoja wetu umeimarika zaidi au unadhoofika ukilinganisha na majirani zetu wakati wa JK na sasa? Je vipi kuhusu shilingi yetu, elimu yetu, uwezo wetu wa kusimamia siasa zetu za ndani na nje, pamoja na yote uliyoyagusia yapime kwa kuzingatia nyakati na jamii zilizotuzunguka.
Sioni sababu ya kukujibu kwavile tayari umeshatangulia kuleta suala la udini!! Yaani sio siri mnachefua na kutia kinyaa!
 
Mleta mada hujipendi,kwamba NYerere hakupiga vita rushwa?
Azimio la Arusha lilikuwa kwa ajili nini?
Kamuulize Lowassa kama JK halisi alikuwa na urafiki na wala rushwa!
Hebu nisaidie wewe....ni wakati gani uliasisiwa mtindo wa mtu anaharibu hapa kisha anahamishwa na kupelekwa kwingine?
 
myahud yup anamzungumzia hitler wewe umewah kufika Israel wewe. watu wako busy wewe ucfikir wanawaza yaliyopita. wenzio wanadeal na future

Hata kama hakuna myahudi mwenye shida kama sisi........ni upuuzi kwa mleta mada kuhusisha suala la wanao mpinga na uislamu...... kwa kuweka udini ndani ya mada yake ameharibu na ku onekana punguwani........
 
Nasdaz

Nyerere alifanya mazuri kwa wakati wake.Kwa mfano nyerere ametujengea misingi ya amani na umoja tunaojivunia mpaka leo.La sivyo Tanzania ingweweza kuwa kama Kongo mana ina ardhi na madini yanayoweza kupiganiwa na nchi nyingine ndani ya ardhi yetu .Sawa huenda alikuwa na madhaifu yake na hata yeye alisema hakuwa malaika.Kinachokera ni wewe kumwandika as if hakuwa na hakufanya lolote.Hukumtendea haki.Pia unaweza kuchangia kwa lugha nadhifu na ukaeleweka tu.Huna haja ya kudhihaki
Ungeangalia kwa makini wakati naanza hoja yangu ungegundua kwamba tatizo la msingi si ubovu au uzuri wa Nyerere bali hoja ya msingi hapa ni ule upumbavu wa watu wengine ambao wanahusisha suala la kuongea negative side za Nyerere basi chuki dhidi ya Nyerere kwavile tu alikuwa ni Mkristo! Hili sitaacha kulisema; ni upumbavu uliopitilia kuliko upumbavu wenyewe pale mtu anaposema kuhusu negative sides za Mwalimu basi anamchukia kwavile alikuwa ni Mkristo! Nyerere kama mtu mwingine yeyote yule nae alikuwa na negative sides sasa ni upumbavu mtu anaposema hizo negative side kwamba ni mdini! Nyerere kama mtu mwingine yeyote yule ataendelea kuchambuliwa in both sides hivyo ni upumbavu ikiwa mtu atahusishwa na udini! Mwisho unaeleza kwamba namdhihaki, kwanini nimdhihaki? Nilichofanya ni kutaja negative sides ili kuonesha kwamba mtu unaposema hili au lile si kwamba ni chuki bali ni vitu ambavyo vina-exist sasa unless wewe uniambie ni kipi nilichosema si cha kweli ndipo u-conclude kwamba namdhihaki!! Na hata ukipitia posts zangu karibu zote; huwezi kukuta nilipomuhusisha Nyerere ni dini yake sasa na mimi wala si miongoni mwa wale wanaoamini kwamba Nyerere aliwakandamiza Waislamu! Kama ni kweli au si kweli, that had never been the topic of my interest na wala sijawahi kuondoka popote kuhusu Nyerere na chuki dhidi ya Waislamu na ndio maana wale wote wanaoona kwamba nina chuki za kidini nawaona wao ni wapumbavu tu.
 
Hata kama hakuna myahudi mwenye shida kama sisi........ni upuuzi kwa mleta mada kuhusisha suala la wanao mpinga na uislamu...... kwa kuweka udini ndani ya mada yake ameharibu na ku onekana punguwani........
Hujui unachokiongea wewe kwahiyo ni bora ukinyamaza!
 
mimi nadhan tumefika hapa tulipo kwa upuuzi, ujinga na udikteta wa mwl.nyerere. Nimefatilia lile azimio lake la kijinga la Arusha daaah kiukwel alikuwa ana agenda binafsi yule mzee na ndio maana hayat mzee karume alisema azimio la arusha liishie chumbe znz hawalitaki. Umafia alioufanya ni wa kutisha hasa kwa wapinzani wake

Azimo la Arusha lingefika Zanzibar Karume asingechinja watu kama mbuzi.
Bila Nyerere kuna watu wengi wasingekuwa na elimu ya kuwawezesha hata kuandika upuuzi wao hapa JF
 
Baba yangu mzaz ananiambia wakati anaajiriwa kwa Mara ya kwanza mwaka 1972 Ilikuwa analipwa sh 500 na mshahara wake wa kwanza wa mwezi ulimwezesha kununua fenicha zote za ndani na kubaki na akiba kidogo. Mimi kwa sasa nalipwa kwenye secta binafsi mshahara ambao ni zaidi ya million na siwez kununua hata nusu ya fenicha muhimu. Kama kweli wewe ni muungwana naamini utaiona tofauti.
 
HII DHAMBI ITAWATAFUNA MPAKA "MFUPA" WENU WA MWISHO, YA BILA KUJUA NINI NA NANI CHANZO NA WAPI TATIZO.??

Pumzika kwa Amani mwalimu.!!!!!!!!

Dhambi ipo wapi hapo? Tutolee mawazo mgando hapa. Acha watu ukweli usemwe tatizo la nchi hii limeanzia kwake.
 
Humu ndani, kuna watu wakiona Hayati Julius Nyerere, the First Preisdent wa URT anasemwa vibaya basi wanakuja juu!! Kinachonikera mimi, ni wengi wao kuhusisha na imani za dini! Kwamba, mtu akisema ubaya wa Nyerere, na hasa mtu huyo akihisiwa ni Mwislamu, basi hoja ya wapofu wa hoja watachukulia ukosoaji huo ni chuki ya waislamu dhidi ya Nyerere!! Hivi ni lini Waislamu wamepata kuwa na chuki na mwalimu?! Sasa haya mambo kwamba mtu akitaja mabovu ya Mwalimu basi ni chuki za waislamu dhidi ya mwalimu yanatoka wapi?! Binafsi, am muslim, na kama utaniambia nikutajie my favorite president sitasita kumtaja Julius Nyerere. lakini pamoja na yote hayo, kama nitaambiwa nitaje top two poorest presidents ever happaned in our history, basi Nyerere ni mmoja wapo, akiwa sambamba na mwinyi! Binafsi, nikimwangalia Nyerere, ni eneo moja peke yake ambalo linaweza kumweka kama best leader! hakuwa corrupt leader ingawaje serikali yake ilikuwa very corrupt government!! Na wala si kweli kwamba Nyerere alikuwa mkali kwa corrupt leaders, vinginevyo nchi hii Mwinyi asingeikuta alipoikuta! Sana sana ki2 ambacho labda Nyerere aliweza kuzuia ni kutokuwa na State House corrupt leaders...lakini ukitoka hapo, wengi walikuwa corrupts!

Serikali ya Nyerere ilijaa watendaji ambao walikosa kabisa uwajibikaji na ndio maana Mwinyi alikuja na kitu kilichojulikana kama Fagio La Chuma! Kwanini awe na fagi la chuma wakati uwajibikaji ulikuwapo?! Serikali isiyo corrupt, haiwezi kuwa na irresponsible leaders. Ni kweli, Nyerere hakuwa corrupt leader, lakini aliendesha corrupt government na anayebisha aniambie kwanini viwanda vyote vilifia mikononi mwake!!

Ni kweli JK ni goi goi! hata Nyerere alikuwa ni goi goi kupita kiasi!! hakuwa mkali kama tunavyoaminishwa watu ambao hatukuwa na ufahamu wakati wa utawala wake. Nyerer alikuwa mkali kwa wapinzani wake wa kisiasa, and not otherwise!! Kama alikuwa mkali kweli, umasikini tulionao ulitokea wapi?! Aliwafanya nini waliokuwa wanaharibu mali za umma zaidi ya kuwahamisha?! kama sio ugoi goi tuite nini hii?!

Kulikuwa na miradi kadhaa ambayo ilianzishwa wakati wa utawala wake, na vilevile ilikufa hata kabla haijafika kokote....sasa kama sio ubadhirifu huo tuite nini?! Siwezi kumsifia kiongozi aliye msafi yeye pekee na familia yake wakati serikali yake imejaa watu irresponsible!!

Amekaa Ikulu more than 20 years lakini ametoka akiwa ameachwa barabara zimejaa mahandaki kila mahali!! Bahati mbaya sana, sehemu ambazo zilikuwa na corrupt leaders toka kwenye serikali yake ndio sehemu pekee ambazo angalau zilikuwa na barabara nzuri kidogo! Sehemu ambazo walitoka honest leaders kama yeye, ndizo zikabaki balaa tupu!!! Hiyo ndio sababu kuu iliyofanya mikoa ya kusini kuwa hoe hae zaidi kwani viongozi wake wengi walikuwa honest kama yeye...hawa ni pamoja na akina Kawawa na Nnauye! Hivyo, umaskini wa kusini haukusababishwa na Nyerere kama Nyerere, bali ulisababishwa na irresponsible central government ambayo ugawaji wa keki ya taifa haukuwa the same! ilitegemea sana sehemu husika ana power gani serikalini and how corrupt s/he is!!!

Nyerere ameondoka akiwa ameacha vyuo vikuu viwili tu, UDSM na SUA na kuishia tu ktk kujenga vyuo vya kati ambavyo hata hivyo navyo productivity yake ilikuwa chini. Chuo pekee cha kati ambacho kilikuwa kinatoa elimu ya maana labda ni Mzumbe peke yake....na sababu kuu ni kwavile kilikuwa more political! Tena hata nina mashaka kama kweli kilikuwa kinatoa elimu ya maana!! tangu lini katibu wa nini sijui mwenye miaka 45++ akaweza kuhimili mikiki mikiki ya elimu ya juu?! Tunaambiwa enzi zake elimu ilikuwa na ubora kuliko sasa!! na hii ndio tabia ya wazee....kwamba kila ki2 chao kilikuwa bora!!! Huo ubora ulisaidia nini basi katika kutatua matatizo ya uchumi wa nchi hii?! Sana sana hao tunaoambiwa walikuwa wasomi wakati wa elimu bora ndio hao hao waliogeuka kuwa corrupts wasio na haya wakati wa Mwinyi.....bisheni!!! Kama ni kweli wakati huo elimu ilikuwa bora basi vilevile ilisaidia kuzalisha BEST CORRUPT LEADERS!!! Serkali corrupt haiwezi kuwa na jeuri ya kujenga vyuo vikuu vya kutiosha kwavile haina fedha.....kutokuwa na fedha ni dalili ya serikali corrupt!!!
MATATIZO ya umeme tuliyonayo hivi sasa source yake ilikuwa enzi za mwalimu!!! Serikali ya Mwalimu haiku-forecast mahitaji ya umeme over the next 50 years!! Ni kweli, wakati wa Nyerere, haukuwa wa mgao! Sasa mgao ungetoka wapi wakati nyumba zenyewe za umeme zilikuwa chache?! Mgao ungetoka wapi wakati hakukuwa na uzalishaji mkubwa wa kuhitaji matumizi ya umeme?! Mgao ungetoka wapi wakati hata kumiliki radio ilikuwa ni anasa?! Kwahiyo, si kwamba ni uongozi bora wa Nyerere ambao ulifanya nchi isiwe na mgao/upungufu wa umeme, bali hiyo ilikuwa ni matokeo ya serikali mbovu!

Tunaambiwa huduma za jamii zilikuwa bure! Huduma gani za jamii?! hizo za kufuata zahanati kilometa 50 na shule ya msingi kilometa 10?! Dar es salaam yote hii aliacha shule saba tu za sekondari (za serikali, ambazo hata hivyo hakujenga yeye)-Jangwani, Azania, Tambaza, Forodhani, Kisutu na Kibasila!!! Nani atakayethubutu kusema kwamba shule hizo zilikuwa zinakidhi mahitaji ya elimu ya sekondari jijini? Huko mikoani ndo ilikuwa balaa tupu, unaweza kukuta mkoa mzima una shule moja au mbili za serkali.....bado tunaambiwa huduma za jamii zilikuwa bure! Ni serikali gani ingeshindwa kuhudumia shule chache kama hizo?!

Ubovu wa serikali ya Nyerere ni mwingi kuliko uzuri wake, otherwise, wale wanaoona kwamba mgtu akisema basi ana chuki za kidini (styupid thinking) basi anitajie hapa mazuri yaliyofanywa na serikali yake ambayo natarajia yawe mengi kuliko mabovu!

wapo watakaosema kwamba Nyerere amewezesha nchi hii kuwa na amani! Kwani aliichukuwa wakati nchi haina amani?! Sifa kama hizo anatastahili kupewa Kagame aliyechukua nchi baada ya mauaji ya kutisha nchini mwake! Anyway, waliosoma historia wanisaidie kunitajia ni vita gani vya wenyewe kwa wenyewe ambavyo vimepata kupiganwa Tanganyika katika karne ya 19! Kama hakuna au zilikuwa si za kutisha sana, basi inawezekana Watanganyika hatuna silika ya kupigana tangu zama hizo!!

Hivyo basi, mtu anavyotaja ubovu wa Nyerere inakuwa ni ujinga uliepitiliza kusema kwamba ni chuki binafsi...Na inakuwa sio ujinga, bali ni upumbavu mtu akisema ni chuki za kidini! Nyerere kama Nyerere alikuwa was a very good person BUT NOT A GOOD LEADER! He was a good person who was a poor leader! Kutokana na hayo, sipati kigumumizi hata chembe kusema wazi kwamba SI KWAMBA NYERERE ALIKUWA NA MAPUNGUFU, BALI ALIKUWA KIONGOZI MBOVU! Ukweli wenyewe ndio huo, ukiona mgumu kuumeza, chukua maji ushushie!

Anayekataa, atoe data za mazuri yake kama kiongozi yenyewe manufaa kwa Tanzania!


Hata uandike pages elfu 1 kumtakasa nyerere haiwezi kufuta hila na ukatoliki wa nyerere., nyerere alikuwa muuaji alimuua Rais wa kwanza wa zanzibar Abeid Aman Karume once Zanzibar walipotaka kujitoa katika muungano wa kidhalim akaamrisha auliwe.,

Nyerere pia alihakikisha ukiristo unakuja juu kote Tanzania na zanzibar visiwani kujenga makanisa na kutapakaza ukiristo kila pembe kisha akasema hii nchi haina dini., wakati akijuwa zanzibar 99% ya wazanzibar ni waislamu.

Migogoro hii unayoiyona sasaivi kwenye muungano na watu kuteswa jela na kila aina ya udhalilishaji njaa, kukosa ajira, zanzibar kutokuwa huru ni out come ambayo nyerere aliiandaa wakati wa uongozi wake.,

Julius nyerere ni mtu mbaya sana alikuwa na kibri kikubwa sana kuna siku alikufuru alisema yeye angemuwahi rais wa 2010 kwa sababu anakula vizuri ana afya njea tofuati na baadhi ya watanzania huwa wanakufa mapema kwasababu ya njaa na hawana afya bora.,

Alienda kule nchi za nje wakati anaumwa akawekewa mashine za kumupua ili afike hiyo 2010., alimsahau Allah uwezo wake., sisi kule visiwani akitajwa Nyerere huwa tunasema ''laana za Mungu ziwe juu yake'' ingawa nyinyi munamuita baba wa taifa kwasababu munatabia ya kumtukuza mtu na kumuita baba then muchonge midoli yake muweke sebuleni na kuanza kuiyabudu.,
 
Humu ndani, kuna watu wakiona Hayati Julius Nyerere, the First Preisdent wa URT anasemwa vibaya basi wanakuja juu!! Kinachonikera mimi, ni wengi wao kuhusisha na imani za dini! Kwamba, mtu akisema ubaya wa Nyerere, na hasa mtu huyo akihisiwa ni Mwislamu, basi hoja ya wapofu wa hoja watachukulia ukosoaji huo ni chuki ya waislamu dhidi ya Nyerere!! Hivi ni lini Waislamu wamepata kuwa na chuki na mwalimu?! Sasa haya mambo kwamba mtu akitaja mabovu ya Mwalimu basi ni chuki za waislamu dhidi ya mwalimu yanatoka wapi?! Binafsi, am muslim, na kama utaniambia nikutajie my favorite president sitasita kumtaja Julius Nyerere. lakini pamoja na yote hayo, kama nitaambiwa nitaje top two poorest presidents ever happaned in our history, basi Nyerere ni mmoja wapo, akiwa sambamba na mwinyi! Binafsi, nikimwangalia Nyerere, ni eneo moja peke yake ambalo linaweza kumweka kama best leader! hakuwa corrupt leader ingawaje serikali yake ilikuwa very corrupt government!! Na wala si kweli kwamba Nyerere alikuwa mkali kwa corrupt leaders, vinginevyo nchi hii Mwinyi asingeikuta alipoikuta! Sana sana ki2 ambacho labda Nyerere aliweza kuzuia ni kutokuwa na State House corrupt leaders...lakini ukitoka hapo, wengi walikuwa corrupts!

Serikali ya Nyerere ilijaa watendaji ambao walikosa kabisa uwajibikaji na ndio maana Mwinyi alikuja na kitu kilichojulikana kama Fagio La Chuma! Kwanini awe na fagi la chuma wakati uwajibikaji ulikuwapo?! Serikali isiyo corrupt, haiwezi kuwa na irresponsible leaders. Ni kweli, Nyerere hakuwa corrupt leader, lakini aliendesha corrupt government na anayebisha aniambie kwanini viwanda vyote vilifia mikononi mwake!!

Ni kweli JK ni goi goi! hata Nyerere alikuwa ni goi goi kupita kiasi!! hakuwa mkali kama tunavyoaminishwa watu ambao hatukuwa na ufahamu wakati wa utawala wake. Nyerer alikuwa mkali kwa wapinzani wake wa kisiasa, and not otherwise!! Kama alikuwa mkali kweli, umasikini tulionao ulitokea wapi?! Aliwafanya nini waliokuwa wanaharibu mali za umma zaidi ya kuwahamisha?! kama sio ugoi goi tuite nini hii?!

Kulikuwa na miradi kadhaa ambayo ilianzishwa wakati wa utawala wake, na vilevile ilikufa hata kabla haijafika kokote....sasa kama sio ubadhirifu huo tuite nini?! Siwezi kumsifia kiongozi aliye msafi yeye pekee na familia yake wakati serikali yake imejaa watu irresponsible!!

Amekaa Ikulu more than 20 years lakini ametoka akiwa ameachwa barabara zimejaa mahandaki kila mahali!! Bahati mbaya sana, sehemu ambazo zilikuwa na corrupt leaders toka kwenye serikali yake ndio sehemu pekee ambazo angalau zilikuwa na barabara nzuri kidogo! Sehemu ambazo walitoka honest leaders kama yeye, ndizo zikabaki balaa tupu!!! Hiyo ndio sababu kuu iliyofanya mikoa ya kusini kuwa hoe hae zaidi kwani viongozi wake wengi walikuwa honest kama yeye...hawa ni pamoja na akina Kawawa na Nnauye! Hivyo, umaskini wa kusini haukusababishwa na Nyerere kama Nyerere, bali ulisababishwa na irresponsible central government ambayo ugawaji wa keki ya taifa haukuwa the same! ilitegemea sana sehemu husika ana power gani serikalini and how corrupt s/he is!!!

Nyerere ameondoka akiwa ameacha vyuo vikuu viwili tu, UDSM na SUA na kuishia tu ktk kujenga vyuo vya kati ambavyo hata hivyo navyo productivity yake ilikuwa chini. Chuo pekee cha kati ambacho kilikuwa kinatoa elimu ya maana labda ni Mzumbe peke yake....na sababu kuu ni kwavile kilikuwa more political! Tena hata nina mashaka kama kweli kilikuwa kinatoa elimu ya maana!! tangu lini katibu wa nini sijui mwenye miaka 45++ akaweza kuhimili mikiki mikiki ya elimu ya juu?! Tunaambiwa enzi zake elimu ilikuwa na ubora kuliko sasa!! na hii ndio tabia ya wazee....kwamba kila ki2 chao kilikuwa bora!!! Huo ubora ulisaidia nini basi katika kutatua matatizo ya uchumi wa nchi hii?! Sana sana hao tunaoambiwa walikuwa wasomi wakati wa elimu bora ndio hao hao waliogeuka kuwa corrupts wasio na haya wakati wa Mwinyi.....bisheni!!! Kama ni kweli wakati huo elimu ilikuwa bora basi vilevile ilisaidia kuzalisha BEST CORRUPT LEADERS!!! Serkali corrupt haiwezi kuwa na jeuri ya kujenga vyuo vikuu vya kutiosha kwavile haina fedha.....kutokuwa na fedha ni dalili ya serikali corrupt!!!
MATATIZO ya umeme tuliyonayo hivi sasa source yake ilikuwa enzi za mwalimu!!! Serikali ya Mwalimu haiku-forecast mahitaji ya umeme over the next 50 years!! Ni kweli, wakati wa Nyerere, haukuwa wa mgao! Sasa mgao ungetoka wapi wakati nyumba zenyewe za umeme zilikuwa chache?! Mgao ungetoka wapi wakati hakukuwa na uzalishaji mkubwa wa kuhitaji matumizi ya umeme?! Mgao ungetoka wapi wakati hata kumiliki radio ilikuwa ni anasa?! Kwahiyo, si kwamba ni uongozi bora wa Nyerere ambao ulifanya nchi isiwe na mgao/upungufu wa umeme, bali hiyo ilikuwa ni matokeo ya serikali mbovu!

Tunaambiwa huduma za jamii zilikuwa bure! Huduma gani za jamii?! hizo za kufuata zahanati kilometa 50 na shule ya msingi kilometa 10?! Dar es salaam yote hii aliacha shule saba tu za sekondari (za serikali, ambazo hata hivyo hakujenga yeye)-Jangwani, Azania, Tambaza, Forodhani, Kisutu na Kibasila!!! Nani atakayethubutu kusema kwamba shule hizo zilikuwa zinakidhi mahitaji ya elimu ya sekondari jijini? Huko mikoani ndo ilikuwa balaa tupu, unaweza kukuta mkoa mzima una shule moja au mbili za serkali.....bado tunaambiwa huduma za jamii zilikuwa bure! Ni serikali gani ingeshindwa kuhudumia shule chache kama hizo?!

Ubovu wa serikali ya Nyerere ni mwingi kuliko uzuri wake, otherwise, wale wanaoona kwamba mgtu akisema basi ana chuki za kidini (styupid thinking) basi anitajie hapa mazuri yaliyofanywa na serikali yake ambayo natarajia yawe mengi kuliko mabovu!

wapo watakaosema kwamba Nyerere amewezesha nchi hii kuwa na amani! Kwani aliichukuwa wakati nchi haina amani?! Sifa kama hizo anatastahili kupewa Kagame aliyechukua nchi baada ya mauaji ya kutisha nchini mwake! Anyway, waliosoma historia wanisaidie kunitajia ni vita gani vya wenyewe kwa wenyewe ambavyo vimepata kupiganwa Tanganyika katika karne ya 19! Kama hakuna au zilikuwa si za kutisha sana, basi inawezekana Watanganyika hatuna silika ya kupigana tangu zama hizo!!

Hivyo basi, mtu anavyotaja ubovu wa Nyerere inakuwa ni ujinga uliepitiliza kusema kwamba ni chuki binafsi...Na inakuwa sio ujinga, bali ni upumbavu mtu akisema ni chuki za kidini! Nyerere kama Nyerere alikuwa was a very good person BUT NOT A GOOD LEADER! He was a good person who was a poor leader! Kutokana na hayo, sipati kigumumizi hata chembe kusema wazi kwamba SI KWAMBA NYERERE ALIKUWA NA MAPUNGUFU, BALI ALIKUWA KIONGOZI MBOVU! Ukweli wenyewe ndio huo, ukiona mgumu kuumeza, chukua maji ushushie!

Anayekataa, atoe data za mazuri yake kama kiongozi yenyewe manufaa kwa Tanzania!


Unaweza kuwa na pointi kadhaa hivi, lakini pia zingatia haya kumhusu Mwalimu Nyerere:

1. Alikemea udini
2. Alikemea ukabila
3. Alikemea umajimbo
4. Alikemea rushwa
5. Alisimamia kwa nguvu maadili ya uongozi
6. Alikemea waliojaribu kuchezea Katiba ya nchi (kumbuka yaliyomkuta Mzee Aboud Jumbe)
7. Aliulinda Muungano (katiba ya JMT?) kwa nguvu zake zote (enzi zake hakukuwa na mwimbo wa Taifa/bendera Zenji)
8. Alihakikisha uongozi na biashara vinatenganishwa
9. Alichukua hatua kwa wala rushwa (kumbuka yaliyomkuta marehemu mzee Fundikira)
10. Sera za kisiasa na kiuchumi zilifahamika wazi na mwelekeo wa nchi ukifahamika (siasa ya ujamaa na kujitegemea)
11. Sera na siasa za nje za Tanzania zikifahamika wazi (kutofungamana na upande wowote)
12. Tanzania iliheshimika sana kimataifa (akihutubia Nyerere UN General Assembly ukumbi ukifurika!)
13. Tanzania ilikuwa kiranja wa kiaina Afrika Mashariki na Afrika (kumbuka harakati za ukombozi kusini mwa Afrika?)
15. Aliilinda nchi kwa ukakamavu mkubwa (kumbuka yaliyomkuta Idi Amin!)
16. Alijenga viwanda vingi (kumbuka Kilitex, Mwatex, Mutex, Moro Shoes, Nyumbu, Scannia etc. etc)
17. Alianzisha mashamba makubwa ili kuinusuru nchi na njaa
18. Tanzania ilikuwa imara kimichezo katika eneo la Afrika Mashariki aliyenusa alisambaratishwa vibaya!
19. Alikuwa mwadilifu mno!
20. Aliishi maisha ya kawaida kama walivyo Watanzania wengi (akivaa simple, akila simple, akizungumza simple etc.)
21. Alijitahidi sana kuhakikisha vipato vya wananchi havitofautiani sana
22. Aliwajali sana masikini
23. Kutokana na no. 19-22, alipendwa na kuheshimiwa na wengi.
24. Kutokana na 1-3, aliimarisha amani, utulivu, umoja na mshikamano wa Watanzania.
25. Aliishi kwa kipato chake halali (hakujitajirisha Ikulu)
26. Alishauri palipostahili
27. Alikosoa bila majungu
28. Alijaaliwa akili nyingi na miono (hakuwa malaika though)

NB: Nyerere hakuwa malaika, alifanya makosa, lakini kwa nia njema! (please pima!)
 
Unaweza kuwa na pointi kadhaa hivi, lakini pia zingatia haya kumhusu Mwalimu Nyerere:

1. Alikemea udini
2. Alikemea ukabila
3. Alikemea umajimbo
4. Alikemea rushwa
5. Alisimamia kwa nguvu maadili ya uongozi
6. Alikemea waliojaribu kuchezea Katiba ya nchi (kumbuka yaliyomkuta Mzee Aboud Jumbe)
7. Aliulinda Muungano (katiba ya JMT?) kwa nguvu zake zote (enzi zake hakukuwa na mwimbo wa Taifa/bendera Zenji)
8. Alihakikisha uongozi na biashara vinatenganishwa
9. Alichukua hatua kwa wala rushwa (kumbuka yaliyomkuta marehemu mzee Fundikira)
10. Sera za kisiasa na kiuchumi zilifahamika wazi na mwelekeo wa nchi ukifahamika (siasa ya ujamaa na kujitegemea)
11. Sera na siasa za nje za Tanzania zikifahamika wazi (kutofungamana na upande wowote)
12. Tanzania iliheshimika sana kimataifa (akihutubia Nyerere UN General Assembly ukumbi ukifurika!)
13. Tanzania ilikuwa kiranja wa kiaina Afrika Mashariki na Afrika (kumbuka harakati za ukombozi kusini mwa Afrika?)
15. Aliilinda nchi kwa ukakamavu mkubwa (kumbuka yaliyomkuta Idi Amin!)
16. Alijenga viwanda vingi (kumbuka Kilitex, Mwatex, Mutex, Moro Shoes, Nyumbu, Scannia etc. etc)
17. Alianzisha mashamba makubwa ili kuinusuru nchi na njaa
18. Tanzania ilikuwa imara kimichezo katika eneo la Afrika Mashariki aliyenusa alisambaratishwa vibaya!
19. Alikuwa mwadilifu mno!
20. Aliishi maisha ya kawaida kama walivyo Watanzania wengi (akivaa simple, akila simple, akizungumza simple etc.)
21. Alijitahidi sana kuhakikisha vipato vya wananchi havitofautiani sana
22. Aliwajali sana masikini
23. Kutokana na no. 19-22, alipendwa na kuheshimiwa na wengi.
24. Kutokana na 1-3, aliimarisha amani, utulivu, umoja na mshikamano wa Watanzania.
25. Aliishi kwa kipato chake halali (hakujitajirisha Ikulu)
26. Alishauri palipostahili
27. Alikosoa bila majungu
28. Alijaaliwa akili nyingi na miono (hakuwa malaika though)

NB: Nyerere hakuwa malaika, alifanya makosa, lakini kwa nia njema! (please pima!)
Ingekuwa wote wanatoa hoja kama zako(hata kama zisiwe sahihi) wala pasingekuwa na sababu za kuleta mada kama hii...badala yake wengine wanaishia tu kuongea mambo ya reja reja bila kusumbua ubongo japo kidogo!!
 
Back
Top Bottom