- Thread starter
- #41
Hata ulivyopost inaonyesha unafiki na prejudice ya hali ya juu! on "NYERERE 'HAKUWA NA MAPUNGUFU' LAKINI ALIKUWA KIONGOZI MBOVU" Unakubaliana na lipi kati hizi contadicting statements?! mnafiki mkubwa. UDINI unauleta wewe kwa ujinga wa kujemga hoja! Unaposema waislamu hawakuwa/hawana na chuki na Nyerere una maana gani? tumeona threads nyingi sana hum nyingi zikionyesha kuwa waislamu walitafuta/pigania uhuru wa tanganyika Nyerere akawadhulumu haki ya kuongoza. Eti vile nyerere alianzisha mfumo Kristo Crazy ****** bila yeye wote nyie wala msingekuwa na lolote kwa wamisionari waliokuja kuhamasisha madrasa na Ilimu Ahera.
Kwa kipindi kile "Nyerere was the greatest but also a human being"
Kama mapungufu na ubovu kwako ni ki2 kimoja then u have long way to go!