harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Asubuhi kwenye Jamabo tz naangalia mara mabinti wawili wanaojiita wanafuata nyayo za mzee wa Taifa hili wanatangaza mdahalo utakaofanyika
chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere pale kigamboni ikawa hivi kwa yule mmoja
marine Hasan:Kwa hiyo unafuata nayayo za mwl.....
Binti:Eh unajua sisi ndio haswa tunafuata nyayo na maneno mengi ya kujifagi.........
Marine:Kwani mwalimu alikufa akiwa na miaka mingapi ?
Binti :miaka themannini na kitu hivi.......
Marine :kumbe hata ujui sasa unafuataje kitu ambacho hata ukiukizwa hujui?
Binti :kimnya.....
Sasa mtu unaenda kubwabwaja tu hujui hata unaweza ulizwa ukaleta fedheha...............
chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere pale kigamboni ikawa hivi kwa yule mmoja
marine Hasan:Kwa hiyo unafuata nayayo za mwl.....
Binti:Eh unajua sisi ndio haswa tunafuata nyayo na maneno mengi ya kujifagi.........
Marine:Kwani mwalimu alikufa akiwa na miaka mingapi ?
Binti :miaka themannini na kitu hivi.......
Marine :kumbe hata ujui sasa unafuataje kitu ambacho hata ukiukizwa hujui?
Binti :kimnya.....
Sasa mtu unaenda kubwabwaja tu hujui hata unaweza ulizwa ukaleta fedheha...............