nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
mwandishi charles mullinda wa gazeti la dira ya mtanzania la 6/10/2011 anaripoti kuhusishwa kwa baba wa taifa na uuzaji wa wanyamapori,
hawa mang'unyuka ndiye anayetajwa kuombewa kibali na baba wa taifa ili apate pesa ya kuwasomesha watoto wake,..marehemu baba yake(hawa)alikuwa mzee wa ccm na alikuwa karibu sana na baba wa taifa...
hakuna barua ya maombi ya kuwinda ya hawa mang'unyuka au ya baba wa taifa ya kumuombea kibali iliyoambatanishwa kwenye habari
ps..
kampuni ya hawa mang'unyuka ya ham marketing company ltd ndio inayohusishwa na utoroshaji wa wanyamapori hai 116 nje ya nchi mwaka jana...
nawasilsha
hawa mang'unyuka ndiye anayetajwa kuombewa kibali na baba wa taifa ili apate pesa ya kuwasomesha watoto wake,..marehemu baba yake(hawa)alikuwa mzee wa ccm na alikuwa karibu sana na baba wa taifa...
hakuna barua ya maombi ya kuwinda ya hawa mang'unyuka au ya baba wa taifa ya kumuombea kibali iliyoambatanishwa kwenye habari
ps..
kampuni ya hawa mang'unyuka ya ham marketing company ltd ndio inayohusishwa na utoroshaji wa wanyamapori hai 116 nje ya nchi mwaka jana...
nawasilsha