Nyerere Aponda Safari za nje Za Rais

Ama kweli Mama Porojo! Utandawazi hauhitaji face-to-face contact- angalia tunachofanya hapa! Ni vyema Raisi akajiwekea vipaumbele! Angalia kule Davos- maraisi waliotaka Africa ni Zuma na JK tu! Unakumbuka walipokutana mara ya mwisho, ZUMA alivyoonyesha umahiri wa kuchenza ngoma za utamaduni? Nchi zingine zimetuma Prime Minsiters, kwa nini? Pengine ili kushughulikia mambo mengine nyumbani!

Kweli mgomo wa madaktari upo- usingetegemea Raisi atoe neno- walau awepo na kuagiza kufanyika kitu! Kule anaenda kuomba? Anakwenda kuomba madaktari waje wachukue nafasi za hawa ambao wamegoma? KIPAUMBELE!

Lakini pia ni vizuri tukajivunia utanzania wetu- na hili ni through SELF RELIANCE, TUSIWE KUPE!
Rais satta tangia achaguliwe amesafiri mara moja tu, hapa kwetu kusafiri tunaona fashion, eti bila kwenda kuzungumza na wakubwa hawa hatuwezi kupata misaada. mimi napenda business trips, uende uka negotiate miakataba na pia wao waje hapa kufanya hivyo si wewe kwenda mara kwa mara kuomba wakati una mali watatupuuza
 
Nyerere ndio aliotufanya mpaka leo tuwe maskini. Aliwaweka watu kisiasa zaidi kuliko kiutendaji, aliingiza nchi vita vya uganda tukatumia rasilimali zetu zote, aliwafukuza watu wenye akili ili abakie na mazuzu awatawale vizuri, alitumia rasilimali zetu kukomboa nchi zingine ambazo baadae hata shukurani hawana . Hana na nyie endeleeni kuonyesha ubaya .


Kama mawazo Yako ndio hayo kuhusu Mwl. Nyerere basi your too wrong unaitaji kufanya utafiti zaidi. Nyerere alijuwa watanzania hawako tayari since then that's why aliwatimua/ akupatana na hao walafi wachache wa enzi hizo bottom line aliconcentrate na key factors kwa mtanzania elimu bora na afya njema kwa kila mtanzania sio kukumbatia mafisadi aka Lowasa/Kambona nd so....

B back
 
Back
Top Bottom