Mimi kwa mawazo yangu raisi anatakiwa kusafiri zaidi ya anavyofanya sasa lakini si kwenye vilio au kuapishwa bali kwenye shughuli za maendeleo. Wizara ya Afya inategemea USA na Bill Gates Foundation, Wizara za elimu zinategemea Norway na Denmark, Barabara USA , Japan na China, IT na dawa India, Msaada kwenye shughuli za serikali EU sasa atawezaje kukaa wakati hatuna hata pesa za kuwalipa madaktari na walimu?.
Mkitaka Raisi akae nyumbani basi mnatakiwa kushinikiza yafuatayo (1) serikali ndogo ambayo haisaini mikataba mibaya, haijiusishi na kampuni kama Tanesco na ATC, yenye wafanyakazi wachache, kujitoa kwenye mikataba ya mashamba n.k (2) Serikali ikomeshe rushwa (3) Serikali ifanye marekebisho ya muhimu kama bank system,
Mkitaka Raisi akae nyumbani basi mnatakiwa kushinikiza yafuatayo (1) serikali ndogo ambayo haisaini mikataba mibaya, haijiusishi na kampuni kama Tanesco na ATC, yenye wafanyakazi wachache, kujitoa kwenye mikataba ya mashamba n.k (2) Serikali ikomeshe rushwa (3) Serikali ifanye marekebisho ya muhimu kama bank system,